green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Et inasemekana wakazi wa pwani wote bila kujali jinsia wametatuliwa marinda toka wakiwa watotoMijitu ya bara imeamka sasa tutakoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Et inasemekana wakazi wa pwani wote bila kujali jinsia wametatuliwa marinda toka wakiwa watotoMijitu ya bara imeamka sasa tutakoma
sasa utampa mtu uenyekiti hata lugha hajui
- Inaonekana humjui kinjekitile ngwale, basi kinjekitile ni WA bara si ndio kayumba?
- Kinjekitile alikuwa ni Mmatumbi wa Kilwa Kama hujui, Rudi shuleni kayumba ukapate Elimu
- Sio kweli kwamba Nyerere alikuja kufundisha kupigania Uhuru Watu wa Pwani ni Uongo, Nyerere anaingia Ndani ya TANU/TAA akikuta misingi ishawekwa na kina Abdulwahid Sykes, Kleist Sykes,Sheikh takadiri,Mshume kiate,Dosaa azizi, nk, Nyerere aliingia Ndani ya TANU/ TAA miaka ya 1954 hivi miaka michache nchi ikapata Uhuru
- hivi unajua kwamba Nyerere alishindwa kwenye uchaguzi Ndani ya TANU? busara ikatumika kumpa uenyekiti.
- Watu wamejenga AA, TAA Tangu miaka ya 1920s huko
- Uongo kina Kleist Sykes na Abdulwahid Sykes wote hao English wanaijua vizuri Sanasasa utampa mtu uenyekiti hata lugha hajui
Nyerere kaja mjini kama teacher nyie shoboshobo zenu mkamuomba hadi mkamlazimisha aache kazi mtamlipa
- ona ulivyokuwa Bwege, unaongea Ujinga Ujinga tu, au unafikiri kuwa kila mtu ni punga Kama ww ?Et inasemekana wakazi wa pwani wote bila kujali jinsia wametatuliwa marinda toka wakiwa watoto
Umechomwa na kitu chenye ncha kali mtoto wa pwani hauna marinda- ona ulivyokuwa Bwege, unaongea Ujinga Ujinga tu, au unafikiri kuwa kila mtu ni punga Kama ww ?
- umekiona ulivyokuwa Bwege, unatumia fallacy of generalization IQ Yako ndogo, Elimu Yako pia ndogo.Umechomwa na kitu chenye ncha kali mtoto wa pwani hauna marinda
Walimchagua kwa sababu waliona ana akili kuwazidi
- alikuwa Don, hata huelewi Historia, kipindi hicho TANU ilikuwa na wajumbe wote waislamu mostly wa Pwani, wakamchukua Mwalimu
- Nani kakwambia hao wazee ni wavivu? Uongoo, Kama unamjua Kuna Mzee wa Pwani anaitwa DOSSA Azizi huyu alikuwa tajiri Sana, alimiliki Hadi gari/ magari ya kifahari.
- Nyerere aliingia kwenye TANU huku akikuta Watu wa Pwani washaanzisha Chama kimeshasimama
- Historia yenyewe huijui, nenda kasome kitabu cha Kwaheri ukoloni Kwaheri Uhuru Zanzibar na Mapinduzi ya afrabiaWalimchagua kwa sababu waliona ana akili kuwazidi
Na ww leta chapisho linaloonesha kwamba watu wa pwani ni Bora kuliko wa pwani- Sio kweli, kalete chapisho lolote la kihistoria linalotaja huo Uongo?
-
- kamsome Dr Harith Ghassany, kwenye Kwaheri ukoloni Kwaheri Uhuru Zanzibar na Mapinduzi ya afrabiaNa ww leta chapisho linaloonesha kwamba watu wa pwani ni Bora kuliko wa pwani
Hahaha oya lihoyaWazaliwa wa Bara huwaona wazaliwa wa Pwani, wakuja, lihoya!
[emoji23]nilienda Nyamongo nikaitwa LIHOYA! Kutuliza nikaambiwa Sisi tunapenda kuita watu oyaah!
Makavu tu naulizwa wewe umetokea wapi, mwingine akadakia huyo ni lihoya!
Kwako mtu anayefuata utamaduni kutumia tiba za asili ni ujinga? basi wewe utakuwa mjinga mara mbili ya nilivyodhania.Wewe kama ni mzaramo utakuwa ni mganga wa kienyeji, huo ndio ujinga mkuu wa wazaramo.
Kwahiyo hapa hakuna mjadala wowote?
- Inaonekana hujui historia
- Historia ya Mji wa Kilwa, Kwa ufupi kilichotokea ni kwamba Wareno waliuchoma Moto mji wa Kilwa na Ndiyo ikawa mwanzo wa kuanguka Dola la Kilwa
- Kilwa, hakuna Washamba, Kwa sababu ni ukanda ule ule wa wastaarabu!
Ni maamuzi yao mkuu yasiyovunja sheria za nchi, ni kama wavaa jeans au vipensi vifupi vya nylon which technically ni mbaya zaidi sababu huyu atakuwa anatembea na nguo ya ndani pekee lakini afadhali huyu anayevaa nguo ya nje bila ya ndani.Dela bila nguo ya ndani halafu anatembea mtaani uwiii? Duu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Ni kawaida ya wazaramo wakishashiba pombe ya mnazi tu ni kutukana watu.Kwako mtu anayefuata utamaduni kutumia tiba za asili ni ujinga? basi wewe utakuwa mjinga mara mbili ya nilivyodhania.
Unafahamu kwamba kutokuwa na uhakika na jambo then unakuja na conclusion juu ya hilo jambo tayari ni non sequitur?
Kitendo cha kufanya hivyo tayari ni logical fallacy namaanisha ujinga kwa jina lingine.
Au unataka kuniambia kwakua kila ndege ana mabawa basi kila kiumbe chenye mabawa ni ndege?
God kaoge anatoka bunda tayari hana malinda.- Ww ni Mzembe, Siku hizi Mashoga wapo Makabila yote Tanzania Hadi hao wakurya mnaowaona ni wababe Mashoga wapo wengi tu