Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Mnara umenipa signal kuwa mchezo unakwenda kuisha kwa dau la milioni 10 kwa kila mjumbe wa kamati kuu CHADEMA ili kwa sharti la kupiga kura kwa kipenzi cha Maza.
Je, vipi hali ya uchumi ya wajumbe wa kamati kuu CHADEMA ?
Watwaweza kuchomoka kwenye huu mtego?. Ijulikane mtoa pesa sio mjinga kwamba ule pesa zake halafu usitimize makubaliano.
Niko pale nawazoom.
Dau la milioni 10 each?Mnara umenipa signal kuwa mchezo unakwenda kuisha kwa dau la milioni 10 kwa kila mjumbe wa kamati kuu CHADEMA ili kwa sharti la kupiga kura kwa kipenzi cha Maza.
Je, vipi hali ya uchumi ya wajumbe wa kamati kuu CHADEMA ?
Watwaweza kuchomoka kwenye huu mtego?. Ijulikane mtoa pesa sio mjinga kwamba ule pesa zake halafu usitimize makubaliano.
Niko pale nawazoom.
Ni Dkt Magufuli tu. Wengine woteeeeeee, watanzania tuna bei hasa wajumbe wa siasa.Mnara umenipa signal kuwa mchezo unakwenda kuisha kwa dau la milioni 10 kwa kila mjumbe wa kamati kuu CHADEMA ili kwa sharti la kupiga kura kwa kipenzi cha Maza.
Je, vipi hali ya uchumi ya wajumbe wa kamati kuu CHADEMA ?
Watwaweza kuchomoka kwenye huu mtego?. Ijulikane mtoa pesa sio mjinga kwamba ule pesa zake halafu usitimize makubaliano.
Niko pale nawazoom.
Ulishamsikia hata mjumbe mmoja wa kamati kuu akitangaza upande aliopo kwa hawa wagombea wawili?Mnara umenipa signal kuwa mchezo unakwenda kuisha kwa dau la milioni 10 kwa kila mjumbe wa kamati kuu CHADEMA ili kwa sharti la kupiga kura kwa kipenzi cha Maza.
Je, vipi hali ya uchumi ya wajumbe wa kamati kuu CHADEMA ?
Watwaweza kuchomoka kwenye huu mtego?. Ijulikane mtoa pesa sio mjinga kwamba ule pesa zake halafu usitimize makubaliano.
Niko pale nawazoom.
Wajumbe wapo wangapi?Mnara umenipa signal kuwa mchezo unakwenda kuisha kwa dau la milioni 10 kwa kila mjumbe wa kamati kuu CHADEMA ili kwa sharti la kupiga kura kwa kipenzi cha Maza.
Je, vipi hali ya uchumi ya wajumbe wa kamati kuu CHADEMA ?
Watwaweza kuchomoka kwenye huu mtego?. Ijulikane mtoa pesa sio mjinga kwamba ule pesa zake halafu usitimize makubaliano.
Niko pale nawazoom.
Wakijigeuza kuwa mbuzi basi watacheza ngoma ya CCM.Lkn wakijali umma ulio nyuma yao watakuwa binadamu safi.Mnara umenipa signal kuwa mchezo unakwenda kuisha kwa dau la milioni 10 kwa kila mjumbe wa kamati kuu CHADEMA ili kwa sharti la kupiga kura kwa kipenzi cha Maza.
Je, vipi hali ya uchumi ya wajumbe wa kamati kuu CHADEMA ?
Watwaweza kuchomoka kwenye huu mtego?. Ijulikane mtoa pesa sio mjinga kwamba ule pesa zake halafu usitimize makubaliano.
Niko pale nawazoom.
Ngoja tuoneWakijigeuza kuwa mbuzi basi watacheza ngoma ya CCM.Lkn wakijali umma ulio nyuma yao watakuwa binadamu safi.
Yes. Kazi setu simple sana . Kazini siku 15 kwa mwezi mmoja unadhani siku 15 zingine tufanye nini kama si kusaka habari za umbeaWalinzi Kwa umbea
Kutoka kwa AbdalaDau la milioni 10 each?
Hizo pesa ni kutoka world bank.loan au hazina yetu hii hii?
Inasemekana wako 1,200Wajumbe wapo wangapi?