Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #141
Post yako ina ukakasi sawa na kuwa kumbusha watu matapishi ya mtu flani; kuwa alikuwa amekula chakula gani? Think before you post!!!
"Kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu, kuna just common interest'
wakati kauli hiyo ikitolewa aliyeitoa alikuwa ni mwanasiasa?
Ukiangalia hiyo kauli ipo kisiasa?
Think before you comment!!!
Hujiulizi kwa nini wengine siwakandii?