Je, wakati umefika wa Misikiti kugeuzwa Sunday-school na Gwajima?

Je, wakati umefika wa Misikiti kugeuzwa Sunday-school na Gwajima?

Koma we ww n dini gan?unaweza kuongelea kitu ambacho huna taaluma nacho?mapenzi yenu ya siasa chafu yasikupeleke kuongelea dini za wengne ambazo huzijui

Muhamedi siyo mwokozi, bali Yesu Kristo Ndiye.

Usipoteze muda kwa siasa za imani. Muda umekwisha. Yesu atakaye wahukumu walio hai na wafu anarudi upesi.
Ninakupenda ndugu yangu. acha siasa katika Roho yako ambayo ni mali ya Mungu. Twende mbinguni mwana wa Mungu kwa kumwamini Yesu Kristo na kumfanya awe Bwana na Mwokozi wako ambaye ndiye njia kweli na uzima. Mtu haendi Mbinguni ila kwa njia ya Yesu Kristo.

Hakufanya dhambi, aliishi maisha matakatifu lakini alifanyika dhambi, akauawa kifo cha aibu cha msalabani kwa niaba yetu mimi na wewe ili tukimpokea na kumwamini tusihukumiwe. Kwa damu aliyomwaga msalabani, mateso aliyoyachukua, dhihaka, dharau na maumivu makali aliyopitia katika safari ya msalabani ilikuwa analipa gharama ya dhambi zetu. Alijitolea kuteseka yeye ili sisi tupone. Alikufa akazikwa na alifufuka na kupaa mbinguni. Kutoka huko atarudi tena duniani. Kila jicho litamwona.

Twende pamoja mtu wa Mungu. Mungu anatupenda na bado anatuita.

.https://youtu.be/ZcQrhECSMio
 
Acha ujinga wewe? Hayobaliyouasema gwajima unaona Yana uhalali katika auala Hilo au na wewe umejaa mahaba kwa gwajima?

Ninamhubiri Kristo kwamba ni mwokozi wa Ullimwengu. Alikuja duniani kwa kuwaokoa wanadamu wakiwemo wafuasi wa muhamed. Muhamedi siyo mwokozi. Hata yeye anajua kwamba hana uwezo huo diyo sababu hajawahi kusema anaokoa. Hana pa kupeleka roho za wafu lakini Yesu Krsito Ndiye. Yeye ni njia kweli na uzima. Mtu haendi Mbinguni ila kwa njia ya Yesu Kristo.

Wengine wote ni wezi na wanyang'anyi.
 
Yesu unamtambua we na ujinga wako
Muhamedi siyo mwokozi, bali Yesu Kristo Ndiye.

Usipoteze muda kwa siasa za imani. Muda umekwisha. Yesu atakaye wahukumu walio hai na wafu anarudi upesi.
Ninakupenda ndugu yangu. acha siasa katika Roho yako ambayo ni mali ya Mungu. Twende mbinguni mwana wa Mungu kwa kumwamini Yesu Kristo na kumfanya awe Bwana na Mwokozi wako ambaye ndiye njia kweli na uzima. Mtu haendi Mbinguni ila kwa njia ya Yesu Kristo.

Hakufanya dhambi, aliishi maisha matakatifu lakini alifanyika dhambi, akauawa kifo cha aibu cha msalabani kwa niaba yetu mimi na wewe ili tukimpokea na kumwamini tusihukumiwe. Kwa damu aliyomwaga msalabani, mateso aliyoyachukua, dhihaka, dharau na maumivu makali aliyopitia katika safari ya msalabani ilikuwa analipa gharama ya dhambi zetu. Alijitolea kuteseka yeye ili sisi tupone. Alikufa akazikwa na alifufuka na kupaa mbinguni. Kutoka huko atarudi tena duniani. Kila jicho litamwona.

Twende pamoja mtu wa Mungu. Mungu anatupenda na bado anatuita.

.https://youtu.be/ZcQrhECSMio
 
Hata Sisi wakristo wenzake tunashangaa na kauli za gwajima juu udini wake..... itakuwa ni UJINGA na udini wa Hali ya juu kama huyu mjinga mcheza-porn Kama ataingia bungeni.

Na kama ataingia Bungeni basi tutegemee wabunge wa Viti maalumu kupigwa miti kila siku na huyu shetani
Pornstar gwajima Nia yake lazima aitimize, piga kelele kwa gwajima
 
Usinikumbushe shetani wa kipindi hicho

Aliyetusababishia Watanzania kuuwana Kwa sababu kutofautiana Imani zetu

Kuchomeana Makanisa na misikiti
Kuchomeana vitabu vitukufu
Shetani wa kipindi hicho tunamlaani Kwa nguvu zote kama Taifa na ashindwe akafie kuzimu

Hizo za GWAJIMA wa enzi wa shetani MLA watu, ndizo zilizokuwa zikichochea vurugu, na sasa tumeshamjua huyo Ibilis, hakupenda kuona tukiushi Kwa Amani na upendo kama Taifa moja, Nia yake alitaka kututwika zigo zito lisilobebeka

Sasa, hatuko kabisa huko, tumeshajitambua na tumegundua kuwa, nchi yetu ni yetu sote, Mwislamu na Mkristo na tunategemeana Sana,

Swala la kueneza dini, nalo sio ugomvi, ni swala la kistarabu, hakuna haja ya kutukanana, kwani Mungu anapenda Amani na watu wote

Sasa Tuna GWAJIMA mpya kabisa, sio wa kipindi cha shetani mweneza chuki

Tanzania ni moja na watu wake wanaishi Kwa umoja

Mungu Ibariki Tanzania
Chukulia una miaka labda 35+ yaan Sio kijana.

Labda Umeoa, una watoto n.k


Ivi alimla Mwanakondoo lini????.


Ndo utajua kua Hujui , na kama umeweza kua Kipofu wa kufumbia upumbavu wa Gwajiboy, Basi Mkeo ni anakuvumilia kwa mengi sanaaaa.
 
Kumekuchaaa, wasukuma tuungane...
Simoooooooo...🏃‍♂️

Nafikiri CCM kwa makusudi hawalitaki jimbo la Kawe. Haya ni maamuzi wengi hatukuyatarajia.

Everyday is Saturday... 😎
Huu wakati wetu wasukuma tufanye kweli
 
JE, WAKATI UMEFIKA WA MISIKITI KUGEUZWA SUNDAY-SCHOOL NA GWAJIMA?

Na, Robert Heriel

Miaka mitano nyuma, naam mwaka 2015 Gwajima alionyesha dhamira yake na ndoto yake kubwa ambayo alitanabaisha kuwa anatamani Misikiti kuwa Sunday- School za watoto wa Kikristo, pamoja na masheikh na maimamu wakikimbizana kwenda mbele ya msalaba wa Bwana Yesu. Hii ilikuwa zama zile za ambapo Mzee Lowasa naye alijikita kwenye Dhana ya Ulutheri kuwa moja ya vigezo vya yeyey kuchaguliwa kuwa Rais wa Tanzania.

Moja ya watu waliojitokeza kumpinga Askofu Gwajima, ni pamoja na Imam Bukhary ambaye yupo pichani hapo.

Imamu Bukhary pia alieleza namna Gwajima alivyopinga uwepo wa Mahakama ya Kadhi. Lakini hili hakulitilia mkazo ukilinganisha na tamko la Gwajima linalohusu ndoto yake ya kuwabatiza Masheik nchi nzima, kisha kuigeuza misikiti kuwa Sunday- School ambapo watoto wa Kikristo watajifunzia elimu ya msingi humo.

Sasa Gwajima amepewa nafasi ya kupeperusha bendera ya CCM katika ngazi ya ubunge.

Je, Waislam watakuwa tayari kuona misikiti yao kugeuzwa Sunday-school na wataamua kumchagua Askofu Gwajima atimize adhma hiyo?

Je, Askofu Gwajima aliomba msamaha kwa yale matamko aliyoyatoa 2015, hivyo Waislam wasiwe na wasiwasi na misikiti yao kugeuzwa misikiti?

Je, Masheikh na maimamu wapo tayari kubatizwa na kujisalimisha mbele ya Msalaba wa Bwana Yesu kama Gwajima alivyoeleza 2015?

Je, Gwajima aliomba radhi kwa masheikh na maimamu kwa kauli zake kuhusu kuwapiga maji viongozi hao?

Kama Gwajima hakuomba msamaha kipindi kile ili asamehewe na Waislam, Je akiomba sasa hivi haoni kwamba ataonekana ni kwa sababu anataka kura?

Je Watanzania waishio Kawe wapo tayari kumuunga mkono Gwajima na kumchagua kuwa kiongozi wao licha ya kauli zake za kibaguzi dhidi ya waislam?

Baada ya maswali hayo.

Maoni yangu;

Binafsi Taikon nisingeweza kumchagua Gwajima hata kama ningekuwa nimechanganyikiwa, hata kama ningekuwa nimelewa kwa kunywa pombe, hata kama ningeshikiwa mtutu wa Bunduki.

Mimi ni Mkristo, lakini sipendi mtu mwenye mambo ya kibaguzi ya kidini. Taifa letu nila dini zote. Kwa bahati upande wa Baba yangu karibu wote ni Waislam. Baba yangu ni muislam, mashangazi wote ni Waislma. Kuwabagua waislam ni kubagua Baba zangu. Kuwabagua Wakristo ni kuwabagua mama zangu.

Mimi nisingemuunga Mkono Gwajima hata kama ningeambiwa ninyimwe pepo, ningekuwa tayari. Gwajima hafai kuchaguliwa kuwa kiongozi wa kisiasa.

Ifahamike kuwa, Gwajima ni mtu mzima, anaelimu ya kutosha, hivyo kile akisemacho anajua atahari zake, amedhamiria kwa ndani kabisa. Yeye ni mtu mzima kile akiongeacho ndicho kinachozunguka akili yake, ndicho kilichojaza moyo wake.

Gwajima atashindwa kutimiza lengo lake kwa sababu ya mipaka ya mamlaka lakini kama akiwa na nguvu zaidi anaweza kufanya kile akitakacho.

Wana KAWE Kama walivyo Watanzania wengine hawatakubali kumchagua mtu atakayeleta upuuzi ndani ya jamii. Mtu anapoongea jambo jua anaweza kulitekeleza, akishindwa ni kutokana na kutokuwa na nguvu.

Wakristo wote wenye akili kamwe hawawezi mchagua Gwajima achilia mbali ndugu zetu Waislam, na wale wasioamini katika dini.

Kuhusu msamaha.
Tunaweza kumsamehe, lakini hatutampa uongozi na kama yeye amedhamiria asamehewe basi asijisikie vibaya sisi kutompa uongozi.

Hata hivyo CCM nao wanashangaza mno, hivi wamekosa wa kumpa tiketi yao mpaka wampe Gwajima.

Je, CCM hawajui ubaguzi alionao Gwajima?
Hawakusikia kauli zake za kugeuza misikiti kuwa sunday-school na kuwasilimisha masheikh na maimamu?
Je, wamesahau matusi yake kwa Mzee wetu wa Heshima Kadinali pengo?
Je, hawasikii skendo zake za umalaya Mpaka video za uchi? Je CCM wameamua kuuza jimbo kwa urahisi kwa HALIMA Mdee?

Je, CCM hawakusikia tuhuma za Gwajima kuhusiana na kuchochea ukabila kwa vipeperushi na audio yake akihamasisha wasukuma kuungana na kunada vikundi vya watu 2000, mpaka jeshi la polisi likamkemea na kumuonya?

Je, CCM wanafikiri watamsafisha Gwajima na watu kumuona Msafi kwa kauli zake hizo za ajabu?

Nauliza CCM wameamua kuuza Jimbo tena awamu hii?

Bora wangempa yule dogo aliyeshika namba moja kwenye kura za maoni. Lakini kwa Gwajima atapigwa mapema mno. Kabla Magari ya Mbeya hayajafika IRINGA Gwajima atakuwa ameshachezea.

Niwaombe Watanzania waishio KAWE wasimchague Gwajima, pia na majimbo mengine yenye wagombea wenye historia ya kauli za kibaguzi, iwe ubaguzi wa dini, ukabila, au ubaguzi wa namna yoyote ile.

Hii itakuwa fundisho kwa watu wa namna hii.

Kama kanisani kwake ndiko wanapenda ubaguzi apeleke huko huko.
Kama ni nyumbani kwake apeleke huko.

Asituletee mambo ya hovyo kwenye jamii yetu inayoishi kwa amani na upendo.

Kama alijichafua mwenyewe anapaswa ajisafishe, hakuna wa kumsafisha, yeye sio mtoto mdogo ili asafishwe. Angesafishwa kama angekuwa amechafuliwa. Lakini kwa mdomo wake alijichafua.

Mtu mzima haogeshwi.

HALIMA MDEE jikite kwenye sera kati ya hizi
1. Uhuru na Umoja
2. Upendo na mshikamano
3. KAWE ya watu wote
4. Sote ni ndugu n.k

Hiyo imeisha.

Katika haya Gwajima Mdomo hautakusaidia, pesa zako ni zako, jimbo nila wananchi. Kawe sio ya watu kama wewe.
Katika Hili nimejipambanua, wala sihitaji unafiki, Gwajima asiungwe Mkono, na watu wote waseme Amina.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa ufupi sana Gwajima ni Msukuma na Magufuli msukukuma. Atakwenda kuhubiri siasa kanisani kinyume na sheria. Amewekwa kwa kazi maalum akifika bungeni.
Nayo ni kuendesha kampeni ya Magufuli for life.
Na kuendeleza udini unaokubuhu awamu hii.
Kitu kimoja mshicho elewa na kufahamu ni kuwa mwaka huu hakuna uchaguzi. Gwajima hawezi kushinda uchaguzi Kawe ila atatangazwa amwahinda kama watavo tangazwa wameshinda wagombea wote wa ccm nchi nzima.
Wameweka wakurugenzi maalum na wengine wapya wanaendelea kuteuliwa ili kukamilisha zoezi.
Wapinzani hawafahamu kuwa mara hii hawapati hata kiti kimoja ingawa watashinda
 
Huyu Porn Star pia aliwazalilisha wakatoliki wote kwa kuutangazia umma kuwa Kadinali Pengo amevimbiwa baada ya kula maharage yaliyooza na kutoa hewa chafu-chafu madhabahuni.
 
Chukulia una miaka labda 35+ yaan Sio kijana.

Labda Umeoa, una watoto n.k

Ivi alimla Mwanakondoo lini????.


Ndo utajua kua Hujui , na kama umeweza kua Kipofu wa kufumbia upumbavu wa Gwajiboy, Basi Mkeo ni anakuvumilia kwa mengi sanaaaa.
😂😂
Kwa hiyo shemeji yangu alimegwa siyo? Mbona unahasira na Mimi kana Kwamba nilimmega Mimi?
Kuwa na adabu buana!

Maoni yako ni ya kijinga mno mkuu!!
 
Huyo
 
Mimi ni muislamu sitamchagua gwajima sababu simpendi lakini mtoa Mara kwa hoja alizozileta na namna alivyozileta yeye na gwajima wote hawajielewi.
Mimi nafikiria wewe unasukumwa zaidi na hofu ya kupoteza maslahi yako binafsi. Iwe kwa chama chako cha siasa au famlia yako au za marafiki zako.

Nimesoma Madai yako, nasikitika kukuambia wazi madai yako hayana msingi wowote. Hata ukitumia Common sense, Gwajiboy anawezaje kugeuza misikiti kua sunday school? Utaona unachofikiri ni kitu hakina mashiko.

Swali la pili lililo nje ya haya. Tangu umemfahamu Gwajima, ni kauli ngapi za Gwajima amewahi kutamka akazisimamia kwa uaminifu wake?.

Udini umetumika tu hapa kama pretext lakini Wewe unasababu zako nyingine za kumkataa Gwajima ambazo haujaziweka hapa. Umeona ukiziweka hapa hazitapata mashiko, ukaona labda hizi za udini zitasaidia kumchafua. Nice try.

Na nikuthibitishie wako waislamu watakaosoma ulichoandika hapa na bado wakampigia Kura, kwasababu hoja zako hazina akili.
Usije ukajidanganya kua kila mtu anawaza UDini tu kila wakati. Na hili limekua tatizo nyie watu wa Dini mnataka kumuaminisha kila mtu. Na huku mkijiona ndio wenye Nguvu ya kufanya maamuzi.
 
Nani mwenye matusi ziadi ya watu wa njia yako. Ona povu ulilotoa hapa!.

Kwa akili yako, kila mtu akiingia bungeni anasimama na kutekeleza agenda yake?

Biblia inasema "Waovu wasio haki, hukimbia ovyo pasipo kufukuzwa!".

Unaogopa waislam kumjua na kumgeukia Mungu?

Huwezi kuzuia mafuriko kwa kipande cha khanga wala kufunika mwanga wa jua kwa ungo. Utajifunika wewe lakini wengine wote jua la haki litawazukia kama ndiyo hofu yako.

BTW, mtu yeyote anayekimbilia kwenye imani asiyoielewa kama wewe hapa, ana matatioz makubwa na kila mtu karibu yake. Hata ungebakia na watu wa imani yako, pasipo Mungu mtaanza kuumana na kulana wenyewe.

Kwa kuwa unahofu na imani yako kwamba Gwajima ataimaliza, na sijui ni kwa nini unadhani ataimaliza akiwa Bungeni. Hilo ni lako. Ila mimi nataka kukuambia, si matusi yako, siyo huyo shetani unayemlinda wala si kuzimu itamzuia Mungu asiwaokoe watu waliopotea.

To start with, check hapa. Utakunywa sumu au utaomba promotion kwa shetani ili umsaidie kuzuia mabadiliko haya?

Jaribu usikie atavyokwambia hata yeye hana nguvu za kumshinda Yesu.

Okoka ili uponywe!.

-https://youtu.be/efxURatmH4g







Kafiri katika ubora wako ha ha ha lol.
 
Wote nyie ni wale wale! Mnataka kura za Waislam kwa maslahi yenu. Waislam sio kondoo wanajitambua!
usijidanganye waislam wana msimo thabit. kumbukumbu za gwajima kuwatukana waislam zipo. halima mdee akijikita hapo huyo mtu hapati kura za waislam
 
Ungejaribu kuficha ujinga wako "nyinyi mna Dini yenu na sisi tuna Dini yetu" ni vitu viwili tofauti alafu unataka uonyeshwe comparison una akili kweli wewe?
Ni wapi Mohamed alimtokea mtu akamsaidia?

Angalia kazi za Yesu zinavyomthibitisha kuwa ni mkuu.



Weka na wewe hapa nani alishawahi kuponywa na Mohamed.
 
hicho kijeba nikihuni kama wahuni wengine tu.
 
Yesu unamtambua we na ujinga wako
Hata lugha yako inadhihirisha namna gani umejaa mashetani. Acha kuabudu shetani wewe anakupoteza. Hana cha kukupa zaidi ya stress hizo za kumlinda kwa mapanga na matusi. Unaona hapa unavyomlinda mungu wako ambaye ni shetani kwa matusi?

Look here, uone unavyotetea shetani.

 
Kafiri katika ubora wako ha ha ha lol.

Ebu angalia shetani unayemwabudu na kumlinda kwa mapanga na matusi. Utanikumbuka siku siyo nyingi. Tubu dhambi uachane na hayo mashetani yasiyokusaidia kitu!.



Angali wenzako waliopata neema ya kujitambua na kukimbia. Lakini wewe kwa kukos amaarifa unashikilia matusi na mapanga eti kumtukania mungu. Kama huyo unayemwabudu ni Mungu, kwa nini hana hata uwezo wa kujitetea hadi umlinde kwa matusi na mapanga?

 
JE, WAKATI UMEFIKA WA MISIKITI KUGEUZWA SUNDAY-SCHOOL NA GWAJIMA?

Na, Robert Heriel

Miaka mitano nyuma, naam mwaka 2015 Gwajima alionyesha dhamira yake na ndoto yake kubwa ambayo alitanabaisha kuwa anatamani Misikiti kuwa Sunday- School za watoto wa Kikristo, pamoja na masheikh na maimamu wakikimbizana kwenda mbele ya msalaba wa Bwana Yesu. Hii ilikuwa zama zile za ambapo Mzee Lowasa naye alijikita kwenye Dhana ya Ulutheri kuwa moja ya vigezo vya yeyey kuchaguliwa kuwa Rais wa Tanzania.

Moja ya watu waliojitokeza kumpinga Askofu Gwajima, ni pamoja na Imam Bukhary ambaye yupo pichani hapo.

Imamu Bukhary pia alieleza namna Gwajima alivyopinga uwepo wa Mahakama ya Kadhi. Lakini hili hakulitilia mkazo ukilinganisha na tamko la Gwajima linalohusu ndoto yake ya kuwabatiza Masheik nchi nzima, kisha kuigeuza misikiti kuwa Sunday- School ambapo watoto wa Kikristo watajifunzia elimu ya msingi humo.

Sasa Gwajima amepewa nafasi ya kupeperusha bendera ya CCM katika ngazi ya ubunge.

Je, Waislam watakuwa tayari kuona misikiti yao kugeuzwa Sunday-school na wataamua kumchagua Askofu Gwajima atimize adhma hiyo?

Je, Askofu Gwajima aliomba msamaha kwa yale matamko aliyoyatoa 2015, hivyo Waislam wasiwe na wasiwasi na misikiti yao kugeuzwa misikiti?

Je, Masheikh na maimamu wapo tayari kubatizwa na kujisalimisha mbele ya Msalaba wa Bwana Yesu kama Gwajima alivyoeleza 2015?

Je, Gwajima aliomba radhi kwa masheikh na maimamu kwa kauli zake kuhusu kuwapiga maji viongozi hao?

Kama Gwajima hakuomba msamaha kipindi kile ili asamehewe na Waislam, Je akiomba sasa hivi haoni kwamba ataonekana ni kwa sababu anataka kura?

Je Watanzania waishio Kawe wapo tayari kumuunga mkono Gwajima na kumchagua kuwa kiongozi wao licha ya kauli zake za kibaguzi dhidi ya waislam?

Baada ya maswali hayo.

Maoni yangu;

Binafsi Taikon nisingeweza kumchagua Gwajima hata kama ningekuwa nimechanganyikiwa, hata kama ningekuwa nimelewa kwa kunywa pombe, hata kama ningeshikiwa mtutu wa Bunduki.

Mimi ni Mkristo, lakini sipendi mtu mwenye mambo ya kibaguzi ya kidini. Taifa letu nila dini zote. Kwa bahati upande wa Baba yangu karibu wote ni Waislam. Baba yangu ni muislam, mashangazi wote ni Waislma. Kuwabagua waislam ni kubagua Baba zangu. Kuwabagua Wakristo ni kuwabagua mama zangu.

Mimi nisingemuunga Mkono Gwajima hata kama ningeambiwa ninyimwe pepo, ningekuwa tayari. Gwajima hafai kuchaguliwa kuwa kiongozi wa kisiasa.

Ifahamike kuwa, Gwajima ni mtu mzima, anaelimu ya kutosha, hivyo kile akisemacho anajua atahari zake, amedhamiria kwa ndani kabisa. Yeye ni mtu mzima kile akiongeacho ndicho kinachozunguka akili yake, ndicho kilichojaza moyo wake.

Gwajima atashindwa kutimiza lengo lake kwa sababu ya mipaka ya mamlaka lakini kama akiwa na nguvu zaidi anaweza kufanya kile akitakacho.

Wana KAWE Kama walivyo Watanzania wengine hawatakubali kumchagua mtu atakayeleta upuuzi ndani ya jamii. Mtu anapoongea jambo jua anaweza kulitekeleza, akishindwa ni kutokana na kutokuwa na nguvu.

Wakristo wote wenye akili kamwe hawawezi mchagua Gwajima achilia mbali ndugu zetu Waislam, na wale wasioamini katika dini.

Kuhusu msamaha.
Tunaweza kumsamehe, lakini hatutampa uongozi na kama yeye amedhamiria asamehewe basi asijisikie vibaya sisi kutompa uongozi.

Hata hivyo CCM nao wanashangaza mno, hivi wamekosa wa kumpa tiketi yao mpaka wampe Gwajima.

Je, CCM hawajui ubaguzi alionao Gwajima?
Hawakusikia kauli zake za kugeuza misikiti kuwa sunday-school na kuwasilimisha masheikh na maimamu?
Je, wamesahau matusi yake kwa Mzee wetu wa Heshima Kadinali pengo?
Je, hawasikii skendo zake za umalaya Mpaka video za uchi? Je CCM wameamua kuuza jimbo kwa urahisi kwa HALIMA Mdee?

Je, CCM hawakusikia tuhuma za Gwajima kuhusiana na kuchochea ukabila kwa vipeperushi na audio yake akihamasisha wasukuma kuungana na kunada vikundi vya watu 2000, mpaka jeshi la polisi likamkemea na kumuonya?

Je, CCM wanafikiri watamsafisha Gwajima na watu kumuona Msafi kwa kauli zake hizo za ajabu?

Nauliza CCM wameamua kuuza Jimbo tena awamu hii?

Bora wangempa yule dogo aliyeshika namba moja kwenye kura za maoni. Lakini kwa Gwajima atapigwa mapema mno. Kabla Magari ya Mbeya hayajafika IRINGA Gwajima atakuwa ameshachezea.

Niwaombe Watanzania waishio KAWE wasimchague Gwajima, pia na majimbo mengine yenye wagombea wenye historia ya kauli za kibaguzi, iwe ubaguzi wa dini, ukabila, au ubaguzi wa namna yoyote ile.

Hii itakuwa fundisho kwa watu wa namna hii.

Kama kanisani kwake ndiko wanapenda ubaguzi apeleke huko huko.
Kama ni nyumbani kwake apeleke huko.

Asituletee mambo ya hovyo kwenye jamii yetu inayoishi kwa amani na upendo.

Kama alijichafua mwenyewe anapaswa ajisafishe, hakuna wa kumsafisha, yeye sio mtoto mdogo ili asafishwe. Angesafishwa kama angekuwa amechafuliwa. Lakini kwa mdomo wake alijichafua.

Mtu mzima haogeshwi.

HALIMA MDEE jikite kwenye sera kati ya hizi
1. Uhuru na Umoja
2. Upendo na mshikamano
3. KAWE ya watu wote
4. Sote ni ndugu n.k

Hiyo imeisha.

Katika haya Gwajima Mdomo hautakusaidia, pesa zako ni zako, jimbo nila wananchi. Kawe sio ya watu kama wewe.
Katika Hili nimejipambanua, wala sihitaji unafiki, Gwajima asiungwe Mkono, na watu wote waseme Amina.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Umekosea sana kujaribu kuingiza udini kama=tika siasa.
Misikiti ati kugeuzwa kuwa sunday school ni fikra ya kutaka kuleta chaos ndani ya jamii, wakati unajua hilo halitawezekana .
Kila mtu ana haki ya kuabudu ndani ya Jamhuri, mawazo hasi kama haya hayajengi, hata kama unatofautiana naGwajima.
 
Ungejaribu kuficha ujinga wako "nyinyi mna Dini yenu na sisi tuna Dini yetu" ni vitu viwili tofauti alafu unataka uonyeshwe comparison una akili kweli wewe?


Ninaelewa kwamba wewe unaabudu mashetani. Ninakushauri uachane na mashetani umwabudu Mungu. Shetani hana karama njema. Mwisho wake ni kukuua. Unafanya kazi ngumu sana kulinda shetani. Najaribu kukufungua macho uone namna gani shetani unayemwabudu hana msaada kwako. Nidyo maana ukipata tatizo unakimbilia kwa waganga, kupiga ramli, na majini. Hakuna siku utataua kitu chochote kwa nguvu ya muhamed. Hana faida kwako.

Nakuambia mwamini Yesu Kristo ambaye pamoja na kukusaidia katika maisha yako ya hapa duniani, pia anakupeleka Mbinguni baada ya kufa. Mohamed anakupeleka kuzimu, motoni.

Ninajua huna elimu yoyote, lakini unapumzi ya Mungu na ufahamu aliokupa wa kutambua mema na mabaya. Tumia hiyo ukimbie hukumu ya Mungu. Acha kuabudu mashetani.

 
Back
Top Bottom