Je, wakati umefika wa Misikiti kugeuzwa Sunday-school na Gwajima?

Je, wakati umefika wa Misikiti kugeuzwa Sunday-school na Gwajima?

Gwajima hachomoki pale.
Sina nia ya kupiga ramli au ku-beti kuhusu Gwajima kama anachomoka au hachomoki.

Akishindwa itakua aibu yake yeye mwenyewe na chama chake kilichofanya Teuzi kikiongozwa na pole*2.
Maana mpaka sasa rekodi zinaonyesha Gwaji hajawahi Kushinda kwa kura popote. Hata ushindi huu Amepita kwa maamuzi ya Mezani.

Lakini kama ningeulizwa leo nani atashinda nafikiri "Hela ina nguvu sana". Ninge sema mwenye hela nyingi.
Niseme pia Tanzania hatujawahi kufanya uchaguzi. Siku tukiamua wazi kufanya uchaguzi, CcM itabadilishwa jina badala ya chama dola itaitwa chama cha Upinzani.
 
Mimi nafikiria wewe unasukumwa zaidi na hofu ya kupoteza maslahi yako binafsi. Iwe kwa chama chako cha siasa au famlia yako au za marafiki zako.

Nimesoma Madai yako, nasikitika kukuambia wazi madai yako hayana msingi wowote. Hata ukitumia Common sense, Gwajiboy anawezaje kugeuza misikiti kua sunday school? Utaona unachofikiri ni kitu hakina mashiko.

Swali la pili lililo nje ya haya. Tangu umemfahamu Gwajima, ni kauli ngapi za Gwajima amewahi kutamka akazisimamia kwa uaminifu wake?.

Udini umetumika tu hapa kama pretext lakini Wewe unasababu zako nyingine za kumkataa Gwajima ambazo haujaziweka hapa. Umeona ukiziweka hapa hazitapata mashiko, ukaona labda hizi za udini zitasaidia kumchafua. Nice try.

Na nikuthibitishie wako waislamu watakaosoma ulichoandika hapa na bado wakampigia Kura, kwasababu hoja zako hazina akili.
Usije ukajidanganya kua kila mtu anawaza UDini tu kila wakati. Na hili limekua tatizo nyie watu wa Dini mnataka kumuaminisha kila mtu. Na huku mkijiona ndio wenye Nguvu ya kufanya maamuzi.
Nikwambie tu hakuna muislam anaweza kumpigia kura Gwajima, inawezekana hupendi kulisikia hili lakini ndio ukweli, jaribu kutafuta viongozi wa ccm kawe ambao niwaislam, kisha uwaulize juu yakumchagua Gwajima kama wanaweza kumpa kura, Muislam hayupo wakumpa kura gwajima.
 
Usiwe mpumbavu kama wapumbavu wenzako. Nani anaruhusu kutukanwa katika dini yake. Huyu shetani Gwajima alishatamka wazi atageuza madrasa na misikiti kuwa sunday schools kwa ajili ya watoto wa Kikristo. Are you stupid are you dull are you nincompoop?? Let Gwajima stand before Muslims to refute what he wa advocating. Otherwise Muslims should vote him out

Nani mwenye matusi ziadi ya watu wa njia yako. Ona povu ulilotoa hapa!.

Kwa akili yako, kila mtu akiingia bungeni anasimama na kutekeleza agenda yake?

Biblia inasema "Waovu wasio haki, hukimbia ovyo pasipo kufukuzwa!".

Unaogopa waislam kumjua na kumgeukia Mungu?

Huwezi kuzuia mafuriko kwa kipande cha khanga wala kufunika mwanga wa jua kwa ungo. Utajifunika wewe lakini wengine wote jua la haki litawazukia kama ndiyo hofu yako.

BTW, mtu yeyote anayekimbilia kwenye imani asiyoielewa kama wewe hapa, ana matatioz makubwa na kila mtu karibu yake. Hata ungebakia na watu wa imani yako, pasipo Mungu mtaanza kuumana na kulana wenyewe.

Kwa kuwa unahofu na imani yako kwamba Gwajima ataimaliza, na sijui ni kwa nini unadhani ataimaliza akiwa Bungeni. Hilo ni lako. Ila mimi nataka kukuambia, si matusi yako, siyo huyo shetani unayemlinda wala si kuzimu itamzuia Mungu asiwaokoe watu waliopotea.

To start with, check hapa. Utakunywa sumu au utaomba promotion kwa shetani ili umsaidie kuzuia mabadiliko haya?

Jaribu usikie atavyokwambia hata yeye hana nguvu za kumshinda Yesu.

Okoka ili uponywe!.

-https://youtu.be/efxURatmH4g







 
Gwaji boy, sasa kanisa lake itakuaje kama akiingia mjengoni?
Hujui.....Huyu naye si mchungaji?.....Sijui.....Kanisa lake lilikuwaje alipokuwa mjengoni?
 

Attachments

  • Screenshot_20200821-110745.png
    Screenshot_20200821-110745.png
    17.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20200821-105838.png
    Screenshot_20200821-105838.png
    140.7 KB · Views: 1
wewe ndugu ni mpumbavu tu kama walivyo wapumbavu wengine jana lilipotajwa jina la gwajima tu ukaandika unafanya kampeni mtu kwa mtu ili tu asipite kisa mkristo sasa amini usiamini huyo ndiyo mbunge wenu
Ina maana Mkristo miongoni mwa wagombea wote ni Gwajima peke yake, au?! Yule Halima Mdee ambae ndie mpinzani wake mkuu ni Mwislamu?!
 
Umehama hoja mkuu
Sijahama hata milimeta moja chifu kwa sababu hoja yako ni kwamba "kuna Gwajima wa enzi zile" na "Gwajima wa enzi hizi..." pale ulipodai

Hizo za GWAJIMA wa enzi wa shetani MLA watu, ndizo zilizokuwa zikichochea vurugu, na sasa tumeshamjua huyo Ibilis, hakupenda kuona tukiushi Kwa Amani na upendo kama Taifa moja, Nia yake alitaka kututwika zigo zito lisilobebeka

Sasa, hatuko kabisa huko, tumeshajitambua na tumegundua kuwa, nchi yetu ni yetu sote, Mwislamu na Mkristo na tunategemeana Sana,
Ndo maana nikahoji, kama yule Gwajima alieapa kugeuza misikiti kuwa Sunday Schools ni Gwajima wa enzi shetani ameliingilia taifa letu, sasa vipi kuhusu yule Gwajima aliyekuwa anachochea ukabila na kuwataka Wasukuma waunde makundi ya kumtetea Magu?!

Gwaji yule ni wa enzi zipi Chifu?!
 
Mchungaji wa Mungu hawezi kuunga mkono ufisadi na hasidi za CCM. Never. Tutawapima kwa matendo na tabia zao. Mchungaji yeyote mtumishi wa Mungu kamwe hawezi kuwa upande wa watesaji na wauaji.
Nimegundua kwenye michango yako hii kuwa, unamchukuia Kwa sababu tu Yuko CCM

Labda nikuulize, ni kundi lipi miongoni mwa makundi yote ya Kisiasa ama ya kidini ambako watu wote waliojikusanya huko ni watakatifu pekee na Wala hawafanyi matendo mabaya na hakuna hizo fununu za uoigaji? Ni wapi mkuu

Mkuu, usichokikukubali ambacho ndicho ni kweli, ukiwa duniani bado, unahitaji tu rehema za Mwenyezi Mungu Kwa kuwa hakuna mtakatifu duniani, na Ndiyo Maana kila siku huwa tunamwomba Mungu atusamehe

Ukitaka kuwatafuta watakatifu kwenye vyama Vyote hutowapata, watakatifu wako mbinguni

Saa ingine usikute wewe ndiye mtenda maovu vibaya mno,Sema tu hufahamiki hapa
 
JE, WAKATI UMEFIKA WA MISIKITI KUGEUZWA SUNDAY-SCHOOL NA GWAJIMA?

Na, Robert Heriel

Miaka mitano nyuma, naam mwaka 2015 Gwajima alionyesha dhamira yake na ndoto yake kubwa ambayo alitanabaisha kuwa anatamani Misikiti kuwa Sunday- School za watoto wa Kikristo, pamoja na masheikh na maimamu wakikimbizana kwenda mbele ya msalaba wa Bwana Yesu. Hii ilikuwa zama zile za ambapo Mzee Lowasa naye alijikita kwenye Dhana ya Ulutheri kuwa moja ya vigezo vya yeyey kuchaguliwa kuwa Rais wa Tanzania.

Moja ya watu waliojitokeza kumpinga Askofu Gwajima, ni pamoja na Imam Bukhary ambaye yupo pichani hapo.

Imamu Bukhary pia alieleza namna Gwajima alivyopinga uwepo wa Mahakama ya Kadhi. Lakini hili hakulitilia mkazo ukilinganisha na tamko la Gwajima linalohusu ndoto yake ya kuwabatiza Masheik nchi nzima, kisha kuigeuza misikiti kuwa Sunday- School ambapo watoto wa Kikristo watajifunzia elimu ya msingi humo.

Sasa Gwajima amepewa nafasi ya kupeperusha bendera ya CCM katika ngazi ya ubunge.

Je, Waislam watakuwa tayari kuona misikiti yao kugeuzwa Sunday-school na wataamua kumchagua Askofu Gwajima atimize adhma hiyo?

Je, Askofu Gwajima aliomba msamaha kwa yale matamko aliyoyatoa 2015, hivyo Waislam wasiwe na wasiwasi na misikiti yao kugeuzwa misikiti?

Je, Masheikh na maimamu wapo tayari kubatizwa na kujisalimisha mbele ya Msalaba wa Bwana Yesu kama Gwajima alivyoeleza 2015?

Je, Gwajima aliomba radhi kwa masheikh na maimamu kwa kauli zake kuhusu kuwapiga maji viongozi hao?

Kama Gwajima hakuomba msamaha kipindi kile ili asamehewe na Waislam, Je akiomba sasa hivi haoni kwamba ataonekana ni kwa sababu anataka kura?

Je Watanzania waishio Kawe wapo tayari kumuunga mkono Gwajima na kumchagua kuwa kiongozi wao licha ya kauli zake za kibaguzi dhidi ya waislam?

Baada ya maswali hayo.

Maoni yangu;

Binafsi Taikon nisingeweza kumchagua Gwajima hata kama ningekuwa nimechanganyikiwa, hata kama ningekuwa nimelewa kwa kunywa pombe, hata kama ningeshikiwa mtutu wa Bunduki.

Mimi ni Mkristo, lakini sipendi mtu mwenye mambo ya kibaguzi ya kidini. Taifa letu nila dini zote. Kwa bahati upande wa Baba yangu karibu wote ni Waislam. Baba yangu ni muislam, mashangazi wote ni Waislma. Kuwabagua waislam ni kubagua Baba zangu. Kuwabagua Wakristo ni kuwabagua mama zangu.

Mimi nisingemuunga Mkono Gwajima hata kama ningeambiwa ninyimwe pepo, ningekuwa tayari. Gwajima hafai kuchaguliwa kuwa kiongozi wa kisiasa.

Ifahamike kuwa, Gwajima ni mtu mzima, anaelimu ya kutosha, hivyo kile akisemacho anajua atahari zake, amedhamiria kwa ndani kabisa. Yeye ni mtu mzima kile akiongeacho ndicho kinachozunguka akili yake, ndicho kilichojaza moyo wake.

Gwajima atashindwa kutimiza lengo lake kwa sababu ya mipaka ya mamlaka lakini kama akiwa na nguvu zaidi anaweza kufanya kile akitakacho.

Wana KAWE Kama walivyo Watanzania wengine hawatakubali kumchagua mtu atakayeleta upuuzi ndani ya jamii. Mtu anapoongea jambo jua anaweza kulitekeleza, akishindwa ni kutokana na kutokuwa na nguvu.

Wakristo wote wenye akili kamwe hawawezi mchagua Gwajima achilia mbali ndugu zetu Waislam, na wale wasioamini katika dini.

Kuhusu msamaha.
Tunaweza kumsamehe, lakini hatutampa uongozi na kama yeye amedhamiria asamehewe basi asijisikie vibaya sisi kutompa uongozi.

Hata hivyo CCM nao wanashangaza mno, hivi wamekosa wa kumpa tiketi yao mpaka wampe Gwajima.

Je, CCM hawajui ubaguzi alionao Gwajima?
Hawakusikia kauli zake za kugeuza misikiti kuwa sunday-school na kuwasilimisha masheikh na maimamu?
Je, wamesahau matusi yake kwa Mzee wetu wa Heshima Kadinali pengo?
Je, hawasikii skendo zake za umalaya Mpaka video za uchi? Je CCM wameamua kuuza jimbo kwa urahisi kwa HALIMA Mdee?

Je, CCM hawakusikia tuhuma za Gwajima kuhusiana na kuchochea ukabila kwa vipeperushi na audio yake akihamasisha wasukuma kuungana na kunada vikundi vya watu 2000, mpaka jeshi la polisi likamkemea na kumuonya?

Je, CCM wanafikiri watamsafisha Gwajima na watu kumuona Msafi kwa kauli zake hizo za ajabu?

Nauliza CCM wameamua kuuza Jimbo tena awamu hii?

Bora wangempa yule dogo aliyeshika namba moja kwenye kura za maoni. Lakini kwa Gwajima atapigwa mapema mno. Kabla Magari ya Mbeya hayajafika IRINGA Gwajima atakuwa ameshachezea.

Niwaombe Watanzania waishio KAWE wasimchague Gwajima, pia na majimbo mengine yenye wagombea wenye historia ya kauli za kibaguzi, iwe ubaguzi wa dini, ukabila, au ubaguzi wa namna yoyote ile.

Hii itakuwa fundisho kwa watu wa namna hii.

Kama kanisani kwake ndiko wanapenda ubaguzi apeleke huko huko.
Kama ni nyumbani kwake apeleke huko.

Asituletee mambo ya hovyo kwenye jamii yetu inayoishi kwa amani na upendo.

Kama alijichafua mwenyewe anapaswa ajisafishe, hakuna wa kumsafisha, yeye sio mtoto mdogo ili asafishwe. Angesafishwa kama angekuwa amechafuliwa. Lakini kwa mdomo wake alijichafua.

Mtu mzima haogeshwi.

HALIMA MDEE jikite kwenye sera kati ya hizi
1. Uhuru na Umoja
2. Upendo na mshikamano
3. KAWE ya watu wote
4. Sote ni ndugu n.k

Hiyo imeisha.

Katika haya Gwajima Mdomo hautakusaidia, pesa zako ni zako, jimbo nila wananchi. Kawe sio ya watu kama wewe.
Katika Hili nimejipambanua, wala sihitaji unafiki, Gwajima asiungwe Mkono, na watu wote waseme Amina.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300


Robert, uko sahihi kabisa, na nakuhakikishia hakuna Muislamu au Mtanzania aliye na akili atakaye mchagua mtu kama huyu. Namshauri Halima katika campaign yake ayazungumzie mabaya yote ta Gwajima, Uchaguzi huu wa gwajima umemrahisisha sana Halima kubeba ushindi asubuhi na mapema, hata basi la Mbeya halijafika mikumi.
 
Nimegundua kwenye michango yako hii kuwa, unamchukuia Kwa sababu tu Yuko CCM

Labda nikuulize, ni kundi lipi miongoni mwa makundi yote ya Kisiasa ama ya kidini ambako watu wote waliojikusanya huko ni watakatifu pekee na Wala hawafanyi matendo mabaya na hakuna hizo fununu za uoigaji? Ni wapi mkuu

Mkuu, usichokikukubali ambacho ndicho ni kweli, ukiwa duniani bado, unahitaji tu rehema za Mwenyezi Mungu Kwa kuwa hakuna mtakatifu duniani, na Ndiyo Maana kila siku huwa tunamwomba Mungu atusamehe

Ukitaka kuwatafuta watakatifu kwenye vyama Vyote hutowapata, watakatifu wako mbinguni

Saa ingine usikute wewe ndiye mtenda maovu vibaya mno,Sema tu hufahamiki hapa
Niliyoandika nimeshaandika. Ccm ni genge la mashetani. Ukubali ukatae. Ukijiunga nao tegemea aibu na fedheha tu.
 
Halafu wewe na kienglish chako cha form two (zile shule za kata) inawezekana wala si mkazi wa Kawe. Nyie ndo mnaosombwa na malori kwenda kwa tapeli anayeiita askofu.
Miye nilisombwa na jahazi toka zenji mpaka ununio toka mwala 1970,hvyo kawe ni kama nyumbani
 
Gwajima ni mdini Na mkabila.

Nadhani kete iliyompitisha ni wazo lake la kutaka kuanzisha mtandao wa wasukuma nchi nzima.....!!
 
Waislamu hawana chao CCM tena, wewe tazama hao wagombea ubunge ndio utaona asilimia 70 ni wakristo.Magufuli ni mdini na anapendelea sana wakristo kwenye vyeo na mpaka kwenye uteuzi.
 
Wote ndio wale wale tu hata Lisu alikuwa mstari wa mbele kupinga makama ya kadhi na maneno ya kejeli kwa waislam vipi yeye akipewa urais misikiti si itakiwa baa
 
Nani mwenye matusi ziadi ya watu wa njia yako. Ona povu ulilotoa hapa!.

Kwa akili yako, kila mtu akiingia bungeni anasimama na kutekeleza agenda yake?

Biblia inasema "Waovu wasio haki, hukimbia ovyo pasipo kufukuzwa!".

Unaogopa waislam kumjua na kumgeukia Mungu?

Huwezi kuzuia mafuriko kwa kipande cha khanga wala kufunika mwanga wa jua kwa ungo. Utajifunika wewe lakini wengine wote jua la haki litawazukia kama ndiyo hofu yako.

BTW, mtu yeyote anayekimbilia kwenye imani asiyoielewa kama wewe hapa, ana matatioz makubwa na kila mtu karibu yake. Hata ungebakia na watu wa imani yako, pasipo Mungu mtaanza kuumana na kulana wenyewe.

Kwa kuwa unahofu na imani yako kwamba Gwajima ataimaliza, na sijui ni kwa nini unadhani ataimaliza akiwa Bungeni. Hilo ni lako. Ila mimi nataka kukuambia, si matusi yako, siyo huyo shetani unayemlinda wala si kuzimu itamzuia Mungu asiwaokoe watu waliopotea.

To start with, check hapa. Utakunywa sumu au utaomba promotion kwa shetani ili umsaidie kuzuia mabadiliko haya?

Jaribu usikie atavyokwambia hata yeye hana nguvu za kumshinda Yesu.

Okoka ili uponywe!.

-https://youtu.be/efxURatmH4g







Sisi tuna dini ya kweli. Mbona unaangalia vitu vichache tu vya Pakistan. Mbona huongelei makanisa yanayobadilishwa kuwa misikiti Ulaya na Marekani. Myopic thinker. Do you think wewe una uwezo hata wa kutamka neno moja likanishawisha kufuata mbwa kama wanavyoitwa na biblia mfano wa Gwajima??.
Sikiliza ndugu sisi hatifuati imani potofu potofu za kishetani kama za akina Gwajima. Kama unataka nikuelimishe juu ya upuuzi uliojaa kwenye makanisa kama ya akinaGwajima njoo inbox.
 
Sisi tuna dini ya kweli. Mbona unaangalia vitu vichache tu vya Pakistan. Mbona huongelei makanisa yanayobadilishwa kuwa misikiti Ulaya na Marekani. Myopic thinker. Do you think wewe una uwezo hata wa kutamka neno moja likanishawisha kufuata mbwa kama wanavyoitwa na biblia mfano wa Gwajima??.
Sikiliza ndugu sisi hatifuati imani potofu potofu za kishetani kama za akina Gwajima. Kama unataka nikuelimishe juu ya upuuzi uliojaa kwenye makanisa kama ya akinaGwajima njoo inbox.

Ni wapi Mohamed alimtokea mtu akamsaidia?

Angalia kazi za Yesu zinavyomthibitisha kuwa ni mkuu.



Weka na wewe hapa nani alishawahi kuponywa na Mohamed.
 
Usinikumbushe shetani wa kipindi hicho

Aliyetusababishia Watanzania kuuwana Kwa sababu kutofautiana Imani zetu

Kuchomeana Makanisa na misikiti
Kuchomeana vitabu vitukufu
Shetani wa kipindi hicho tunamlaani Kwa nguvu zote kama Taifa na ashindwe akafie kuzimu

Hizo za GWAJIMA wa enzi wa shetani MLA watu, ndizo zilizokuwa zikichochea vurugu, na sasa tumeshamjua huyo Ibilis, hakupenda kuona tukiushi Kwa Amani na upendo kama Taifa moja, Nia yake alitaka kututwika zigo zito lisilobebeka

Sasa, hatuko kabisa huko, tumeshajitambua na tumegundua kuwa, nchi yetu ni yetu sote, Mwislamu na Mkristo na tunategemeana Sana,

Swala la kueneza dini, nalo sio ugomvi, ni swala la kistarabu, hakuna haja ya kutukanana, kwani Mungu anapenda Amani na watu wote

Sasa Tuna GWAJIMA mpya kabisa, sio wa kipindi cha shetani mweneza chuki

Tanzania ni moja na watu wake wanaishi Kwa umoja

Mungu Ibariki Tanzania
Gwajima Ni sadist, mbaguzi na mkabila. Juzi Kati hapa miezi kadhaa nyuma alitoa audio clip akitaka kila Msukuma amuunge Magu mkono na amtetee kwa nguvu zote. Wasukuma wawezeshwe kimitaji ili waweze kumiliki biashara zote kubwa nchini.
 
Back
Top Bottom