Je, wakati umefika wa Misikiti kugeuzwa Sunday-school na Gwajima?

Je, wakati umefika wa Misikiti kugeuzwa Sunday-school na Gwajima?

Usinikumbushe shetani wa kipindi hicho

Aliyetusababishia Watanzania kuuwana Kwa sababu kutofautiana Imani zetu

Kuchomeana Makanisa na misikiti
Kuchomeana vitabu vitukufu
Shetani wa kipindi hicho tunamlaani Kwa nguvu zote kama Taifa na ashindwe akafie kuzimu

Hizo za GWAJIMA wa enzi wa shetani MLA watu, ndizo zilizokuwa zikichochea vurugu, na sasa tumeshamjua huyo Ibilis, hakupenda kuona tukiushi Kwa Amani na upendo kama Taifa moja, Nia yake alitaka kututwika zigo zito lisilobebeka
Na yule Gwajima aliyekuwa anachochea ukabila na kuwataka Wasukuma kuanzisha vikundi ni Gwajima wa kipindi kipi?!
 
mwenye ile clip pendwa ya Gwajiboy aitupie

hata picha tu
 
Usinikumbushe shetani wa kipindi hicho

Aliyetusababishia Watanzania kuuwana Kwa sababu kutofautiana Imani zetu

Kuchomeana Makanisa na misikiti
Kuchomeana vitabu vitukufu
Shetani wa kipindi hicho tunamlaani Kwa nguvu zote kama Taifa na ashindwe akafie kuzimu

Hizo za GWAJIMA wa enzi wa shetani MLA watu, ndizo zilizokuwa zikichochea vurugu, na sasa tumeshamjua huyo Ibilis, hakupenda kuona tukiushi Kwa Amani na upendo kama Taifa moja, Nia yake alitaka kututwika zigo zito lisilobebeka

Sasa, hatuko kabisa huko, tumeshajitambua na tumegundua kuwa, nchi yetu ni yetu sote, Mwislamu na Mkristo na tunategemeana Sana,

Swala la kueneza dini, nalo sio ugomvi, ni swala la kistarabu, hakuna haja ya kutukanana, kwani Mungu anapenda Amani na watu wote

Sasa Tuna GWAJIMA mpya kabisa, sio wa kipindi cha shetani mweneza chuki

Tanzania ni moja na watu wake wanaishi Kwa umoja

Mungu Ibariki Tanzania
Shetani hajawahi kubadilika tangu alaaniwe na Allah pale alipokataa kumsujudia Adam. Gwajima atabaki shetani tu. Na ukweli Waislamu wa Kawe jitambue. Huyo ni Shetani kweli
 
Wote nyie ni wale wale! Mnataka kura za Waislam kwa maslahi yenu. Waislam sio kondoo wanajitambua!
Baadhi hawajitambui kama wale bakwata waliounga juhudi juzi badala ya kuwapigania mashehe waliyowekwa ndani Wenda weka sifa za kijinga zisizo symtahiki
 
Shetani hajawahi kubadilika tangu alaaniwe na Allah pale alipokataa kumsujudia Adam. Gwajima atabaki shetani tu. Na ukweli Waislamu wa Kawe jitambue. Huyo ni Shetani kweli
Mkuu, siku ukimwona shetani utabaki mzima kweli 😄

Najua unahasira naye Gwaji, lakini si Kwa kiwango cha kumwita yeye ati ni shetani, hembu fikiria kidogo

Atokee tu mtu akuite wewe ni shetani kisa tu ulianguka kwenye dhambi ya kuchepuka, japo kuchepuka Kwa misingi ya mafundisho ya dini ni dhambi, lakini sio kigezo cha mtu akuite wewe ni shetani

Kwanza hutomwelewa, amekusema Sana ataishia kusema, shetani alikutumia ufanye vilivyo kinyume na Mungu

Kwa hiyo, GWAJIMA na yeyote mtenda dhambi sio shetani buana, ila shetani ndio anawatumia
 
Hujui......Wakati huu alikuwa siyo mDini banaa!!...Sijui.......Nyani haoni kundule; ona sasa!!
Screenshot_20200724-175445.jpg
 
JE, WAKATI UMEFIKA WA MISIKITI KUGEUZWA SUNDAY-SCHOOL NA GWAJIMA?

Na, Robert Heriel

Miaka mitano nyuma, naam mwaka 2015 Gwajima alionyesha dhamira yake na ndoto yake kubwa ambayo alitanabaisha kuwa anatamani Misikiti kuwa Sunday- School za watoto wa Kikristo, pamoja na masheikh na maimamu wakikimbizana kwenda mbele ya msalaba wa Bwana Yesu. Hii ilikuwa zama zile za ambapo Mzee Lowasa naye alijikita kwenye Dhana ya Ulutheri kuwa moja ya vigezo vya yeyey kuchaguliwa kuwa Rais wa Tanzania.

Moja ya watu waliojitokeza kumpinga Askofu Gwajima, ni pamoja na Imam Bukhary ambaye yupo pichani hapo.

Imamu Bukhary pia alieleza namna Gwajima alivyopinga uwepo wa Mahakama ya Kadhi. Lakini hili hakulitilia mkazo ukilinganisha na tamko la Gwajima linalohusu ndoto yake ya kuwabatiza Masheik nchi nzima, kisha kuigeuza misikiti kuwa Sunday- School ambapo watoto wa Kikristo watajifunzia elimu ya msingi humo.

Sasa Gwajima amepewa nafasi ya kupeperusha bendera ya CCM katika ngazi ya ubunge.

Je, Waislam watakuwa tayari kuona misikiti yao kugeuzwa Sunday-school na wataamua kumchagua Askofu Gwajima atimize adhma hiyo?

Je, Askofu Gwajima aliomba msamaha kwa yale matamko aliyoyatoa 2015, hivyo Waislam wasiwe na wasiwasi na misikiti yao kugeuzwa misikiti?

Je, Masheikh na maimamu wapo tayari kubatizwa na kujisalimisha mbele ya Msalaba wa Bwana Yesu kama Gwajima alivyoeleza 2015?

Je, Gwajima aliomba radhi kwa masheikh na maimamu kwa kauli zake kuhusu kuwapiga maji viongozi hao?

Kama Gwajima hakuomba msamaha kipindi kile ili asamehewe na Waislam, Je akiomba sasa hivi haoni kwamba ataonekana ni kwa sababu anataka kura?

Je Watanzania waishio Kawe wapo tayari kumuunga mkono Gwajima na kumchagua kuwa kiongozi wao licha ya kauli zake za kibaguzi dhidi ya waislam?

Baada ya maswali hayo.

Maoni yangu;

Binafsi Taikon nisingeweza kumchagua Gwajima hata kama ningekuwa nimechanganyikiwa, hata kama ningekuwa nimelewa kwa kunywa pombe, hata kama ningeshikiwa mtutu wa Bunduki.

Mimi ni Mkristo, lakini sipendi mtu mwenye mambo ya kibaguzi ya kidini. Taifa letu nila dini zote. Kwa bahati upande wa Baba yangu karibu wote ni Waislam. Baba yangu ni muislam, mashangazi wote ni Waislma. Kuwabagua waislam ni kubagua Baba zangu. Kuwabagua Wakristo ni kuwabagua mama zangu.

Mimi nisingemuunga Mkono Gwajima hata kama ningeambiwa ninyimwe pepo, ningekuwa tayari. Gwajima hafai kuchaguliwa kuwa kiongozi wa kisiasa.

Ifahamike kuwa, Gwajima ni mtu mzima, anaelimu ya kutosha, hivyo kile akisemacho anajua atahari zake, amedhamiria kwa ndani kabisa. Yeye ni mtu mzima kile akiongeacho ndicho kinachozunguka akili yake, ndicho kilichojaza moyo wake.

Gwajima atashindwa kutimiza lengo lake kwa sababu ya mipaka ya mamlaka lakini kama akiwa na nguvu zaidi anaweza kufanya kile akitakacho.

Wana KAWE Kama walivyo Watanzania wengine hawatakubali kumchagua mtu atakayeleta upuuzi ndani ya jamii. Mtu anapoongea jambo jua anaweza kulitekeleza, akishindwa ni kutokana na kutokuwa na nguvu.

Wakristo wote wenye akili kamwe hawawezi mchagua Gwajima achilia mbali ndugu zetu Waislam, na wale wasioamini katika dini.

Kuhusu msamaha.
Tunaweza kumsamehe, lakini hatutampa uongozi na kama yeye amedhamiria asamehewe basi asijisikie vibaya sisi kutompa uongozi.

Hata hivyo CCM nao wanashangaza mno, hivi wamekosa wa kumpa tiketi yao mpaka wampe Gwajima.

Je, CCM hawajui ubaguzi alionao Gwajima?
Hawakusikia kauli zake za kugeuza misikiti kuwa sunday-school na kuwasilimisha masheikh na maimamu?
Je, wamesahau matusi yake kwa Mzee wetu wa Heshima Kadinali pengo?
Je, hawasikii skendo zake za umalaya Mpaka video za uchi? Je CCM wameamua kuuza jimbo kwa urahisi kwa HALIMA Mdee?

Je, CCM hawakusikia tuhuma za Gwajima kuhusiana na kuchochea ukabila kwa vipeperushi na audio yake akihamasisha wasukuma kuungana na kunada vikundi vya watu 2000, mpaka jeshi la polisi likamkemea na kumuonya?

Je, CCM wanafikiri watamsafisha Gwajima na watu kumuona Msafi kwa kauli zake hizo za ajabu?

Nauliza CCM wameamua kuuza Jimbo tena awamu hii?

Bora wangempa yule dogo aliyeshika namba moja kwenye kura za maoni. Lakini kwa Gwajima atapigwa mapema mno. Kabla Magari ya Mbeya hayajafika IRINGA Gwajima atakuwa ameshachezea.

Niwaombe Watanzania waishio KAWE wasimchague Gwajima, pia na majimbo mengine yenye wagombea wenye historia ya kauli za kibaguzi, iwe ubaguzi wa dini, ukabila, au ubaguzi wa namna yoyote ile.

Hii itakuwa fundisho kwa watu wa namna hii.

Kama kanisani kwake ndiko wanapenda ubaguzi apeleke huko huko.
Kama ni nyumbani kwake apeleke huko.

Asituletee mambo ya hovyo kwenye jamii yetu inayoishi kwa amani na upendo.

Kama alijichafua mwenyewe anapaswa ajisafishe, hakuna wa kumsafisha, yeye sio mtoto mdogo ili asafishwe. Angesafishwa kama angekuwa amechafuliwa. Lakini kwa mdomo wake alijichafua.

Mtu mzima haogeshwi.

HALIMA MDEE jikite kwenye sera kati ya hizi
1. Uhuru na Umoja
2. Upendo na mshikamano
3. KAWE ya watu wote
4. Sote ni ndugu n.k

Hiyo imeisha.

Katika haya Gwajima Mdomo hautakusaidia, pesa zako ni zako, jimbo nila wananchi. Kawe sio ya watu kama wewe.
Katika Hili nimejipambanua, wala sihitaji unafiki, Gwajima asiungwe Mkono, na watu wote waseme Amina.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Mmeanza kumchapa mwanaccm mwenzenu. Sijui kama atachomoka.
 
Mkuu, siku ukimwona shetani utabaki mzima kweli 😄

Najua unahasira naye Gwaji, lakini si Kwa kiwango cha kumwita yeye ati ni shetani, hembu fikiria kidogo

Atokee tu mtu akuite wewe ni shetani kisa tu ulianguka kwenye dhambi ya kuchepuka, japo kuchepuka Kwa misingi ya mafundisho ya dini ni dhambi, lakini sio kigezo cha mtu akuite wewe ni shetani

Kwanza hutomwelewa, amekusema Sana ataishia kusema, shetani alikutumia ufanye vilivyo kinyume na Mungu

Kwa hiyo, GWAJIMA na yeyote mtenda dhambi sio shetani buana, ila shetani ndio anawatumia
Mchungaji wa Mungu hawezi kuunga mkono ufisadi na hasidi za CCM. Never. Tutawapima kwa matendo na tabia zao. Mchungaji yeyote mtumishi wa Mungu kamwe hawezi kuwa upande wa watesaji na wauaji.
 
JE, WAKATI UMEFIKA WA MISIKITI KUGEUZWA SUNDAY-SCHOOL NA GWAJIMA?

Na, Robert Heriel

Miaka mitano nyuma, naam mwaka 2015 Gwajima alionyesha dhamira yake na ndoto yake kubwa ambayo alitanabaisha kuwa anatamani Misikiti kuwa Sunday- School za watoto wa Kikristo, pamoja na masheikh na maimamu wakikimbizana kwenda mbele ya msalaba wa Bwana Yesu. Hii ilikuwa zama zile za ambapo Mzee Lowasa naye alijikita kwenye Dhana ya Ulutheri kuwa moja ya vigezo vya yeyey kuchaguliwa kuwa Rais wa Tanzania.

Moja ya watu waliojitokeza kumpinga Askofu Gwajima, ni pamoja na Imam Bukhary ambaye yupo pichani hapo.

Imamu Bukhary pia alieleza namna Gwajima alivyopinga uwepo wa Mahakama ya Kadhi. Lakini hili hakulitilia mkazo ukilinganisha na tamko la Gwajima linalohusu ndoto yake ya kuwabatiza Masheik nchi nzima, kisha kuigeuza misikiti kuwa Sunday- School ambapo watoto wa Kikristo watajifunzia elimu ya msingi humo.

Sasa Gwajima amepewa nafasi ya kupeperusha bendera ya CCM katika ngazi ya ubunge.

Je, Waislam watakuwa tayari kuona misikiti yao kugeuzwa Sunday-school na wataamua kumchagua Askofu Gwajima atimize adhma hiyo?

Je, Askofu Gwajima aliomba msamaha kwa yale matamko aliyoyatoa 2015, hivyo Waislam wasiwe na wasiwasi na misikiti yao kugeuzwa misikiti?

Je, Masheikh na maimamu wapo tayari kubatizwa na kujisalimisha mbele ya Msalaba wa Bwana Yesu kama Gwajima alivyoeleza 2015?

Je, Gwajima aliomba radhi kwa masheikh na maimamu kwa kauli zake kuhusu kuwapiga maji viongozi hao?

Kama Gwajima hakuomba msamaha kipindi kile ili asamehewe na Waislam, Je akiomba sasa hivi haoni kwamba ataonekana ni kwa sababu anataka kura?

Je Watanzania waishio Kawe wapo tayari kumuunga mkono Gwajima na kumchagua kuwa kiongozi wao licha ya kauli zake za kibaguzi dhidi ya waislam?

Baada ya maswali hayo.

Maoni yangu;

Binafsi Taikon nisingeweza kumchagua Gwajima hata kama ningekuwa nimechanganyikiwa, hata kama ningekuwa nimelewa kwa kunywa pombe, hata kama ningeshikiwa mtutu wa Bunduki.

Mimi ni Mkristo, lakini sipendi mtu mwenye mambo ya kibaguzi ya kidini. Taifa letu nila dini zote. Kwa bahati upande wa Baba yangu karibu wote ni Waislam. Baba yangu ni muislam, mashangazi wote ni Waislma. Kuwabagua waislam ni kubagua Baba zangu. Kuwabagua Wakristo ni kuwabagua mama zangu.

Mimi nisingemuunga Mkono Gwajima hata kama ningeambiwa ninyimwe pepo, ningekuwa tayari. Gwajima hafai kuchaguliwa kuwa kiongozi wa kisiasa.

Ifahamike kuwa, Gwajima ni mtu mzima, anaelimu ya kutosha, hivyo kile akisemacho anajua atahari zake, amedhamiria kwa ndani kabisa. Yeye ni mtu mzima kile akiongeacho ndicho kinachozunguka akili yake, ndicho kilichojaza moyo wake.

Gwajima atashindwa kutimiza lengo lake kwa sababu ya mipaka ya mamlaka lakini kama akiwa na nguvu zaidi anaweza kufanya kile akitakacho.

Wana KAWE Kama walivyo Watanzania wengine hawatakubali kumchagua mtu atakayeleta upuuzi ndani ya jamii. Mtu anapoongea jambo jua anaweza kulitekeleza, akishindwa ni kutokana na kutokuwa na nguvu.

Wakristo wote wenye akili kamwe hawawezi mchagua Gwajima achilia mbali ndugu zetu Waislam, na wale wasioamini katika dini.

Kuhusu msamaha.
Tunaweza kumsamehe, lakini hatutampa uongozi na kama yeye amedhamiria asamehewe basi asijisikie vibaya sisi kutompa uongozi.

Hata hivyo CCM nao wanashangaza mno, hivi wamekosa wa kumpa tiketi yao mpaka wampe Gwajima.

Je, CCM hawajui ubaguzi alionao Gwajima?
Hawakusikia kauli zake za kugeuza misikiti kuwa sunday-school na kuwasilimisha masheikh na maimamu?
Je, wamesahau matusi yake kwa Mzee wetu wa Heshima Kadinali pengo?
Je, hawasikii skendo zake za umalaya Mpaka video za uchi? Je CCM wameamua kuuza jimbo kwa urahisi kwa HALIMA Mdee?

Je, CCM hawakusikia tuhuma za Gwajima kuhusiana na kuchochea ukabila kwa vipeperushi na audio yake akihamasisha wasukuma kuungana na kunada vikundi vya watu 2000, mpaka jeshi la polisi likamkemea na kumuonya?

Je, CCM wanafikiri watamsafisha Gwajima na watu kumuona Msafi kwa kauli zake hizo za ajabu?

Nauliza CCM wameamua kuuza Jimbo tena awamu hii?

Bora wangempa yule dogo aliyeshika namba moja kwenye kura za maoni. Lakini kwa Gwajima atapigwa mapema mno. Kabla Magari ya Mbeya hayajafika IRINGA Gwajima atakuwa ameshachezea.

Niwaombe Watanzania waishio KAWE wasimchague Gwajima, pia na majimbo mengine yenye wagombea wenye historia ya kauli za kibaguzi, iwe ubaguzi wa dini, ukabila, au ubaguzi wa namna yoyote ile.

Hii itakuwa fundisho kwa watu wa namna hii.

Kama kanisani kwake ndiko wanapenda ubaguzi apeleke huko huko.
Kama ni nyumbani kwake apeleke huko.

Asituletee mambo ya hovyo kwenye jamii yetu inayoishi kwa amani na upendo.

Kama alijichafua mwenyewe anapaswa ajisafishe, hakuna wa kumsafisha, yeye sio mtoto mdogo ili asafishwe. Angesafishwa kama angekuwa amechafuliwa. Lakini kwa mdomo wake alijichafua.

Mtu mzima haogeshwi.

HALIMA MDEE jikite kwenye sera kati ya hizi
1. Uhuru na Umoja
2. Upendo na mshikamano
3. KAWE ya watu wote
4. Sote ni ndugu n.k

Hiyo imeisha.

Katika haya Gwajima Mdomo hautakusaidia, pesa zako ni zako, jimbo nila wananchi. Kawe sio ya watu kama wewe.
Katika Hili nimejipambanua, wala sihitaji unafiki, Gwajima asiungwe Mkono, na watu wote waseme Amina.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Mimi nafikiria wewe unasukumwa zaidi na hofu ya kupoteza maslahi yako binafsi. Iwe kwa chama chako cha siasa au famlia yako au za marafiki zako.

Nimesoma Madai yako, nasikitika kukuambia wazi madai yako hayana msingi wowote. Hata ukitumia Common sense, Gwajiboy anawezaje kugeuza misikiti kua sunday school? Utaona unachofikiri ni kitu hakina mashiko.

Swali la pili lililo nje ya haya. Tangu umemfahamu Gwajima, ni kauli ngapi za Gwajima amewahi kutamka akazisimamia kwa uaminifu wake?.

Udini umetumika tu hapa kama pretext lakini Wewe unasababu zako nyingine za kumkataa Gwajima ambazo haujaziweka hapa. Umeona ukiziweka hapa hazitapata mashiko, ukaona labda hizi za udini zitasaidia kumchafua. Nice try.

Na nikuthibitishie wako waislamu watakaosoma ulichoandika hapa na bado wakampigia Kura, kwasababu hoja zako hazina akili.
Usije ukajidanganya kua kila mtu anawaza UDini tu kila wakati. Na hili limekua tatizo nyie watu wa Dini mnataka kumuaminisha kila mtu. Na huku mkijiona ndio wenye Nguvu ya kufanya maamuzi.
 
Gwajima akimalizana na Masheikh aende kwa Wakatoliki, aeleze kwanini alimsema Kadinali Pengo amekula maharage? hii kauli ilikuwa ya kumdhalilisha mtu binafsi, na taasisi anayoiongoza.
Kuhusu kumshambulia Kardinali pale Gwajina nampa bigup Pengo ni mtu wa hovyo sana.
 
Gwaji boy, sasa kanisa lake itakuaje kama akiingia mjengoni?
 
Mimi nafikiria wewe unasukumwa zaidi na hofu ya kupoteza maslahi yako binafsi. Iwe kwa chama chako cha siasa au famlia yako au za marafiki zako.

Nimesoma Madai yako, nasikitika kukuambia wazi madai yako hayana msingi wowote. Hata ukitumia Common sense, Gwajiboy anawezaje kugeuza misikiti kua sunday school? Utaona unachofikiri ni kitu hakina mashiko.

Swali la pili lililo nje ya haya. Tangu umemfahamu Gwajima, ni kauli ngapi za Gwajima amewahi kutamka akazisimamia kwa uaminifu wake?.

Udini umetumika tu hapa kama pretext lakini Wewe unasababu zako nyingine za kumkataa Gwajima ambazo haujaziweka hapa. Umeona ukiziweka hapa hazitapata mashiko, ukaona labda hizi za udini zitasaidia kumchafua. Nice try.

Na nikuthibitishie wako waislamu watakaosoma ulichoandika hapa na bado wakampigia Kura, kwasababu hoja zako hazina akili.
Usije ukajidanganya kua kila mtu anawaza UDini tu kila wakati. Na hili limekua tatizo nyie watu wa Dini mnataka kumuaminisha kila mtu. Na huku mkijiona ndio wenye Nguvu ya kufanya maamuzi.
Gwajima hachomoki pale.
 
Hivi hawa waislam, wana mchango gani katika taifa ambao ni zaidi ya Watanzania wengine wasio waislam ambao ni wengi zaidi?

Kwa nini uislam umejaa sensitivity na malalamiko hata pasipo sababu?

Ni mfumo gani ndani ya nchi ambao umewabagua waislam kwa kuwa ni waislam?

Ni nani aliyetendewa vibaya kwa sababu ya kuwa na dini ya uislam?

Historia inaonyesha miaka ya nyumba Tanzania iliwahi kuwa na viongozi wakuu wa nchi Waislam ambao walipigiwa kura na watu wa dini zote na waisokuwa na dini. Kwa nini husemi kwamba walitumia kura za watu wasio waislam kwa maslahi yao?

Naomba utafute maarifa ambayo yanapatikana kwa kumcha Bwana, kuliko kuongozwa na hisia zitokanazo na hofu ya udogo wa kiwango.

Jitahidi kuwa Mtanzania anayejali utaifa badala ya ubinafsi na ubaguzi.
Usiwe mpumbavu kama wapumbavu wenzako. Nani anaruhusu kutukanwa katika dini yake. Huyu shetani Gwajima alishatamka wazi atageuza madrasa na misikiti kuwa sunday schools kwa ajili ya watoto wa Kikristo. Are you stupid are you dull are you nincompoop?? Let Gwajima stand before Muslims to refute what he wa advocating. Otherwise Muslims should vote him out
 
Mimi ni CCM lakini kwa kauli hii ya gwajima ni ya kuwagawa watu kwa misingi ya dini.
 
Huyo Askofu tapeli mpigeni chini fasta.....

Kwanza yuko bize anaratibu kikundi chake cha kikabila yy na makonda.....

Nitawashangaa mkimchahua mcheza porn huyu.....

Piga chini hii ng'ombe mdini na mkabila huyo abaki na hicho kikundi cha kigaidi na waumini wake ambao wapo km mang'ombe
 
CCM Wamempora tiketi kijana aliyeshinda kihalali wamempa mtumishi mwenye makando kando.
Tanzania ya leo haitaki mwanasiasa anayewabagua watanzania kidini, kabila na kikanda.
Kauli alizotoa Gwajima mwaka 2015 ni nzito, wana Kawe msikubali kuongozwa na mtu mdini na mkabila
 
Wote nyie ni wale wale! Mnataka kura za Waislam kwa maslahi yenu. Waislam sio kondoo wanajitambua!
Kwani nani amesema Waislam hawajitambui? Kilichoelezwa hapa ni nia ovu ya Gwajima kwa Uislam na Waislam na si zaidi ya hapo. Wewe ni mccm na chama lenu ndiyo linawachukulia Waislam poa kwa kuitumia Bakwata.
 
wewe ndugu ni mpumbavu tu kama walivyo wapumbavu wengine jana lilipotajwa jina la gwajima tu ukaandika unafanya kampeni mtu kwa mtu ili tu asipite kisa mkristo sasa amini usiamini huyo ndiyo mbunge wenu
Sasa mkuu unaposema kisa mkristo, Je halima ni Muislam?. Nikujuze pia halima nimkristo pia lkn wanakawe hatuko tayari kuongozwa na mbaguzi wa dini.
 
Back
Top Bottom