Je, Walinzi wa Rais aliyefariki huhamia haraka kwa Makamu ambaye atakuwa Rais au ndiyo itakuwa imeshakula kwao?

sijui umeandika nin yaan, kuna watu humu mnatafutaga likes kwa nguvu tuu. sas kwa ujinga wako unazan inakula kwao kivip sasa ?????
 
😂😂😂 wale wanaweza kustaafu au wakapewa majukumu mengine na watalipwa mishahara na huduma nyingine bure maisha yao yote...
 
Yule siyo mpemba kwao ni mafia/rufiji siku moja Jiwe alimtambulisha barabarani. Alikuwa anapata wakati mgumu na shida sana wakati wa mfungo kwasababu wakati huo mara nyingi ziara za Jiwe zilikuwa sokoni.
 
Yule mpambe arudi kambini.

Samia ana mpambe wake wa Kike.

Wengine waje huku mtaani waje tujumuike kwenye kujiajiri!
Kuna watu wanafikiri mtu akitoka kwenye nafasi anarudi kupigika kifukara pamoja nao mitaani
 
Tena nimedokezwa hivi sasa anakuja na best cream ya Vijana wa CDF Mabeyo kutoka pale Sangasanga ( Kizuka ) Mkoani Morogoro ila wamepata Mafunzo ya kisasa kabisa kutoka nchi zilizoiva Kimedani na Kijasusi pia.
Si useme tu Israel taifa teule.
 
Sio suala la kuweza ni suala la ujinsia

Mwanaume hawezi kubeba mkoba wa mwanamke wenye taulo

Bosi mwanamke akianguka mwanaume hawezi kumuingia mwilini
 
Kuna watu wanafikiri mtu akitoka kwenye nafasi anarudi kupigika kifukara pamoja nao mitaani
Endapo wakirudi mtaani, hawatapigika wale wenye mitazamo mizuri tu. Kumbuka sio wote wenye mitazamo mizuri
 
Before and after,
Mwaka 2015 na 2021
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…