Je, Walinzi wa Rais aliyefariki huhamia haraka kwa Makamu ambaye atakuwa Rais au ndiyo itakuwa imeshakula kwao?

Je, Walinzi wa Rais aliyefariki huhamia haraka kwa Makamu ambaye atakuwa Rais au ndiyo itakuwa imeshakula kwao?

Mi nitammisi yule jamaa mrefu mweusi ambaye mara nyingi kwenye matukio ya Rais akiwa kwenye watu wengi daima yeye huvaa miwani meusi huku akiwa anaongea na mic ya mkononi.

Afu yule mlinzi mwingine mpemba mwenye sigda, najua anaweza akabaki na Mama Samia kwakuwa wote ni wa njia moja.
Yule mwenye sigda anakunja sura mwanzo mwisho[emoji1]
 
Ana sifa zifuatazo:

1. Kunusa Hatari ( Machale )
2. Kujua Chakula chenye Sumu
3. Shabaha kwa umbali wowote
4. Karate Bruce Lee anasubiri
5. Ngumi za Kukudedisha kwa upesi
6. Ameiva kwa Pumzi na Mazoezi
7. Kama Chatu akishiba lazima atasinzia

Kazi kweli kweli ila ana Maadili na Msiri.
Nasikia anatakiwa awe na uwezo wa kuiwahi risasi kabla haijamfikia Boss wake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole saana aliyekuambia hivyo alikudharau saana ulivyomuamini
Huyo jamaa alikuwa askari polisi, kuna mishe alimsaidia Magu kwenye hard time otherwise Magu angekata kamba siku hiyo, baada ya hapo Magu akamuamini na kwenda nae white house.
 
Wale mabaunsa wakatafute kazi ya ulinzi kwenye makampuni ya ulinzi hasa wale wa chama. Samia atalindwa na wanawake wenzake. Madume ya nini hata akose raha? Ajifunze toka kwa Gadaffi kuwa wadada wanaweza. Kiutendaji na uadilifu ajifunze kwa Angela Merkel.
Kwani nchi imepinduliwa , acha wivu tafuta pesa wale watakula mema ya nchi mpaka wastaafu au ccm itoke madarakani
 
Watz wana Roho mbaya, wanataka kuona watu wengine wanateseka, hio ni akili mbaya sana, Tamani maisha mazuri ya watu na ujifunze ili na wewe upate maisha mazuri, wote wakiwa masikini utajifunza kwa nani?
Ni vizuri kama mngetamani siku moja mpate kuwa walinzi wa viongozi, au viongozi wakuu ili mfanye kazi kubwa, mpate maendeleo kama USA, Uk au Europe
 
Mi nitammisi yule jamaa mrefu mweusi ambaye mara nyingi kwenye matukio ya Rais akiwa kwenye watu wengi daima yeye huvaa miwani meusi huku akiwa anaongea na mic ya mkononi.

Afu yule mlinzi mwingine mpemba mwenye sigda, najua anaweza akabaki na Mama Samia kwakuwa wote ni wa njia moja.
Sio mpemba Ni mndengereko wa rufiji
 
Back
Top Bottom