Je, Walinzi wa Rais aliyefariki huhamia haraka kwa Makamu ambaye atakuwa Rais au ndiyo itakuwa imeshakula kwao?

Je, Walinzi wa Rais aliyefariki huhamia haraka kwa Makamu ambaye atakuwa Rais au ndiyo itakuwa imeshakula kwao?

Acha Uwongo Ndugu Mama ambaye Kimaadili sitomtaja Jina lake japo initials zake ni LM ( unayemzungumzia hapa ) hakuwa Commando ( Kikosi Maalum ) kama ujuavyo au mjuavyo ila alikuwa ameiva tu Mafunzo ya VIP Protection chini cha PSU ndani ya TISS.
LM hivi bado yuko chuoni tabora?
 
Naskia na uyo komandoo nae kadepa so hawawezi kuhamia anaitwa somebody KALOLIView attachment 1729572
Mwamba yupo
IMG_20210320_112101.jpg
 
Hahaaa kwanini JF isiwe na utaratibu wa kuwaondoa member wa namna hii?
Katika post yangu#352 nimeonyesha Uungwana wangu kwa Kuwaomba Radhi Wahusika hivyo naamini na Wahusika wa JF wamenielewa pamoja na wale wenye Akili timamu na siyo Moron wa aina yako.

All - Rounder siyo wa Kwanza Kukosea hapa ( humu ) JF ndiyo maana hata hao Wahusika unaowataka ( kwa Kuwashawishi ) wamenielewa.

Mada iliyopo ni Kuhusu Walinzi wa Rais na Ukomo wao wa Kiutendaji kama pakitokea Mazingira kama haya na Kulazimisha kuhamisha Mjadala mtakavyo nyie ni sehemu ya Uthibitisho wa jinsi gani Vichwani mwenu kumejaa Funza watupu tu.

Imeisha Dua la Kuku halimpati Mwewe.
 
Kwa kuongeza nilichoambiwa na mshkaji wangu Commando ni kwamba mafunzo ya Special forces ni Syllabus kabisa ambayo hupitia na kuna mitihani

So ili uweze ku qualify kuwa Comanndo ni lazima upitie Syllabus yote ambapo it takes More than 24 months its like Degree kwenye elimu ya kawaida

Sasa basi wapo wanawake jeshini hupitia baadhi ya mafunzo ambayo hupitia Comando lakini sio yote

Mfano mwanamke anaweza fundishwa matumizi sahihi ya silaha na akawa mzuri kwenye kutumia Silaha, then akafundishwa mafunzo ya kimapigano lakini ha qualify kuwa Comando maybe hajapitia mafunzo ya Paratroopers

Mwanamke anaweza kuwa mzuri kwenye matumizi ya Silaha lakini hajapitia mafunzo ya urban werfare ha qualify kuwa Comando

So Comando sio tu matumizi ya silaha, visu, kupigana ngumi, vikwazo etc kuna mengi in between hapo
Akhsante kwa Elimu yako zaidi Ndugu.
 
Post yangu #352 ina Majibu yangu Kamili na imejieleza vya Kutosha na kwa mwenye Akili akiisoma atanielewa ila kwa Wapumbavu tu wataendelea Kuhangaika ( Kusumbuka ) na Mimi. Msinichoshe na msinipotezee muda tafadhali. Nasisitiza tena post yangu #352 imemaliza kila Kitu na ipo sijaifuta Kaisomeni.
 
Nimekokea Kukukaza vizuri ukunike au?
Haya yanaonesha namna gani ulivyo mweupe kichwani. Mtu smart hata siku moja huwezi kuta anatumia lugha za matusi kwa wenzake au majivuno ya kuona anajua kila kitu na kwake hakuna kukose. Ukikua utaacha huo ujinga na kama utaendelea nazo maisha yako yatakuwa magumu sana
 
Watu humu wanajidai wana connection sana kitengoni, kumbe bureee kabisaaa 😀😀
Kuna tatizo lolote juu ya hilo? Halafu mbona unataka Kutulazimisha sana tukujue Wewe ni TiSS Agent wakati wapo hapa ( humu ) hadi Wakuu wako na Trainers wako kule Baharini na ID's zao nazijua lakini hawashoboki hovyo na hawana huu Ulimbukeni wa Kiushoga kama ulionao na Kutuonyesha hapa? Haya sawa tumeshakujua kuwa Wewe ni Usalama wa Taifa ( TISS Agent ) je, unasemaje? Umefurahi Mimi kukupa hii Free Promo JF na sasa wanakujua na Watakuogopa?
 
Wale mlodai fulani kafa mmeumbukaje lol!
Post yangu #352 ina Majibu yangu Kamili na imejieleza vya Kutosha na kwa mwenye Akili akiisoma atanielewa ila kwa Wapumbavu tu wataendelea Kuhangaika ( Kusumbuka ) na Mimi. Msinichoshe na msinipotezee muda tafadhali. Nasisitiza tena post yangu #352 imemaliza kila Kitu na ipo sijaifuta Kaisomeni.
 
Story za kwenye kahawa
Post yangu #352 ina Majibu yangu Kamili na imejieleza vya Kutosha na kwa mwenye Akili akiisoma atanielewa ila kwa Wapumbavu tu wataendelea Kuhangaika ( Kusumbuka ) na Mimi. Msinichoshe na msinipotezee muda tafadhali. Nasisitiza tena post yangu #352 imemaliza kila Kitu na ipo sijaifuta Kaisomeni.
 
TISS ndio wanafanya vetting zote
Swali kubwa hapa nani yuko juu ya mwezake, swali langu kwako lingine nani anahusika na kufanya vetting ya uteuzi wa watu fulani either mkuu wa mkoa au DC nk? Anayependekeza jina kuwa huyu anafaa kwa nafasi hii ni TISS ama JWTZ?
 
Kuna tatizo lolote juu ya hilo? Halafu mbona unataka Kutulazimisha sana tukujue Wewe ni TiSS Agent wakati wapo hapa ( humu ) hadi Wakuu wako na Trainers wako kule Baharini na ID's zao nazijua lakini hawashoboki hovyo na hawana huu Ulimbukeni wa Kiushoga kama ulionao na Kutuonyesha hapa? Haya sawa tumeshakujua kuwa Wewe ni Usalama wa Taifa ( TISS Agent ) je, unasemaje? Umefurahi Mimi kukupa hii Free Promo JF na sasa wanakujua na Watakuogopa?
😀😀😀😀😀😀😀.. mkuu mie sio TISS wala sijawai kuwa TISS na sipo kwenye kada yoyote ya mambo ya usalama. Naona ume panic tu kwa kuambiwa ukweli, kuwa ulitoa boko na waliokupa taarifa walikulisha tango. Simple kama hivyo, kubali kosa, songa mbele. Kukubali makosa hakukufanyi kuwa upo weak au hujui mkuu
 
Haya yanaonesha namna gani ulivyo mweupe kichwani. Mtu smart hata siku moja huwezi kuta anatumia lugha za matusi kwa wenzake au majivuno ya kuona anajua kila kitu na kwake hakuna kukose. Ukikua utaacha huo ujinga na kama utaendelea nazo maisha yako yatakuwa magumu sana
Maisha yangu yatakuwa Magumu umeniumba Wewe na mpaka nilivyo sasa nakula Kwako au Umechangia lolote katika Maendeleo yangu na Ustawi wangu mzima wa Kimaisha? Pumbavu hebu nitokee hapa!!
 
Back
Top Bottom