emmanuel mruma
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,778
- 1,718
Hamna kitu kama icho akishaondoka raisi team nzima pia inaondoka...nasio lazima wamakamu wasiende nae unamuona yule dada mnene anaemlinda samia alikuepo nae tangu akiwa makamu wa raisi inshort karibia walinzi wote waliokuwa wa makamu wameendelea kumlinda mpka muda huuHujui Kitu Walinzi wa Raisi ni wa Raisi na Sio Makamu so transition power inahama na Walinzi wanabaki kwenye possition zao so Wa Aliyekufa wanamfuata Mother na Wale wa Mother watamfuata atakayeteuliwa Nchimbi 😉