Uchaguzi 2020 Je, waliotia nia CCM huku wakiwa wateule wa Rais Magufuli kutumbuliwa. Au waliomba ruhusa kama Rais alivyotaka?

Hao wote ni wasukuma na wanaruhusiwa bila kutumbuliwa ila sio mtu mwingine. Ndipo tulipofikia nchi hii sasa, nyie endeleeni kumpigia jiwe makofi wakati yeye anawapiga makofi.
 
Asumpta alistaafu kwanza.
Huyo mama akipita nitajua Nkenge kuna shida.

Hata mbunge wa sasa wa hilo jimbo hafai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…