Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 806
Ni muda mrefu sasa umepita tangu nipotee jamvini, wakuu mambo yalibana sana then ubize wa maisha ulichangia. Niliwamiss sana ndugu zangu, nashukuru mungu kuona mambo yanakwenda vyema, kwa wale memba wageni nachukua nafasi hii kujitambulisha pia kuwakaribisa!
Wakuu kama ilivyo jadi yetu ya kufahamishana, kuelimishana, kufarijiana, kukosoana na kushauriana ilivyo, napenda mnijuze juu ya hoja hapo juu, Napenda kufahamu juu endapo mtu ametendwa or alikwishawahi kutendwa ANAWEZA KUPENDA TENA? Nakama akipenda je atapenda kama alivyopenda awali? Na ni nini madhara yakutendwa katika mahusihano? Tujadili.
Wakuu kama ilivyo jadi yetu ya kufahamishana, kuelimishana, kufarijiana, kukosoana na kushauriana ilivyo, napenda mnijuze juu ya hoja hapo juu, Napenda kufahamu juu endapo mtu ametendwa or alikwishawahi kutendwa ANAWEZA KUPENDA TENA? Nakama akipenda je atapenda kama alivyopenda awali? Na ni nini madhara yakutendwa katika mahusihano? Tujadili.