Je, wana Simba SC Wenzangu mpaka hapa bado tu hatujajua Wasaliti wetu kwa Wachezaji na Uthibitisho kuwa Tunafungwa nao kwa mengi ya Nje ya Uwanja?

Je, wana Simba SC Wenzangu mpaka hapa bado tu hatujajua Wasaliti wetu kwa Wachezaji na Uthibitisho kuwa Tunafungwa nao kwa mengi ya Nje ya Uwanja?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
NILIMWAMBIA CHAMA AONDOKE SIMBA SC

"Baada ya ligi kuisha tu mimi ndo nilimwambia Chama aondoke kwenye timu ambayo yeye ndo anaibeba. Yaani wachezaji 10 anawabeba yeye mgongoni,nikamwambia aje huku ambako kuna wachezaji wazuri ambao hawatomchosha kama kule.

Wewe angalia kikosi chetu kuna mtu anaitwa Bhoka ana balaa zito sana na yule watu watamfaidi kwenye viwanja vikubwa ndo watamjua vizuri Bhoka" Hersi Said, Rais wa klabu ya Yanga.

Chanzo: SR Sports TZ

Kama anadiriki kabisa kusema aliongea na Chama alishindwa kumwambia Manula, Kapombe na Inonga watuumize?
 
NILIMWAMBIA CHAMA AONDOKE SIMBA SC

"Baada ya ligi kuisha tu mimi ndo nilimwambia Chama aondoke kwenye timu ambayo yeye ndo anaibeba. Yaani wachezaji 10 anawabeba yeye mgongoni,nikamwambia aje huku ambako kuna wachezaji wazuri ambao hawatomchosha kama kule.

Wewe angalia kikosi chetu kuna mtu anaitwa Bhoka ana balaa zito sana na yule watu watamfaidi kwenye viwanja vikubwa ndo watamjua vizuri Bhoka" Hersi Said, Rais wa klabu ya Yanga.

Chanzo: SR Sports TZ

Kama anadiriki kabisa kusema aliongea na Chama alishindwa kumwambia Manula, Kapombe na Inonga watuumize?
kwahiyo injinia ndiyo kikwazo cha simba kufaya vizuri...
 
NILIMWAMBIA CHAMA AONDOKE SIMBA SC

"Baada ya ligi kuisha tu mimi ndo nilimwambia Chama aondoke kwenye timu ambayo yeye ndo anaibeba. Yaani wachezaji 10 anawabeba yeye mgongoni,nikamwambia aje huku ambako kuna wachezaji wazuri ambao hawatomchosha kama kule.

Wewe angalia kikosi chetu kuna mtu anaitwa Bhoka ana balaa zito sana na yule watu watamfaidi kwenye viwanja vikubwa ndo watamjua vizuri Bhoka" Hersi Said, Rais wa klabu ya Yanga.

Chanzo: SR Sports TZ

Kama anadiriki kabisa kusema aliongea na Chama alishindwa kumwambia Manula, Kapombe na Inonga watuumize?

Ela za tajiri Mo haziwatoshi hadi mnakula hela za hersi, inakuaje?
 
NILIMWAMBIA CHAMA AONDOKE SIMBA SC

"Baada ya ligi kuisha tu mimi ndo nilimwambia Chama aondoke kwenye timu ambayo yeye ndo anaibeba. Yaani wachezaji 10 anawabeba yeye mgongoni,nikamwambia aje huku ambako kuna wachezaji wazuri ambao hawatomchosha kama kule.

Wewe angalia kikosi chetu kuna mtu anaitwa Bhoka ana balaa zito sana na yule watu watamfaidi kwenye viwanja vikubwa ndo watamjua vizuri Bhoka" Hersi Said, Rais wa klabu ya Yanga.

Chanzo: SR Sports TZ

Kama anadiriki kabisa kusema aliongea na Chama alishindwa kumwambia Manula, Kapombe na Inonga watuumize?
Walichokuwa wakifanya ndicho hicho alichokisema hapo, wao wanaongea na Chama, kisha Chama anamaliza kwa wale wenzie wanne.

Ova
 
Umeanza lini kushiriki kwenye hayo malezi ya kumlea Mwenyekiti wako Mangungu? Umesahau kama uliwahi kumpa siku 14 za kumtaka kuondoka kwenye kiti chake? Bado hazijaisha tu!!
Nilimuongezea Siku zingine 365 je, zimeisha?
 
mtu anakwambia bada ya ligi kuisha, kwa akili za kipummbavu unataka lazimisha tuamini alikuwa ana mwambia cheza chini ya kiwango tupigwe

simba kuchukua mara 4 ilikuwa kwa mipango, timu inakuwa na viporo 8

timu inaenda cheza mechi na timu isha shuka daraja.
 
Back
Top Bottom