Je, wanaharakati wa kisiasa barani Afrika wanapigania kwa dhati mabadiliko ya kidemokrasia au maslahi yao binafsi?

Je, wanaharakati wa kisiasa barani Afrika wanapigania kwa dhati mabadiliko ya kidemokrasia au maslahi yao binafsi?

1456109.jpg
457901234.jpg
 
Kabla ya demokrasia tulikuwa na mfumo gani wa utawala?
Badala ya demokrasia ungependa tuwe na mfumo gani wa utawala?
Demokrasia ya nchi zetu ilianzishwa ili kujipatia pesa kutoka kwa wahisani Kama ilivyokuwa kupata pesa za wahisani kwa njia ya kuweka watu lockdown kipindi Cha korona.

Huwa nawashangaa watu wanashabikia kwa kufuata mkumbo tangu nilivyogundua kuwa democracy ni fursa kwa watu Sina ushabiki wa kijinga kwenye masuala ya vyma vya siasa.​
 
Nchi nyingi Africa wana siasa bado wanafight ili waweze kujaza matumbo yao. Angalia wakosoaji wakipewa madaraka wanavyobadilika ghafla.
Rais Museveni alipokuwa na miaka 3 ofisini alisema; "Matatizo ya Afrika ni marais kuktawala muda mrefu bila kungatuka". Alipigiwa makofi sana! Leo hii mwenyewe anaikana kauli yake kwa vitendo.

Ni vipi leo wananchi wanaweza kumuamini mwanaharakati yeyote yule hata akiwa na maneno matamu kama asali? Hata Lissu, Lipumba, Membe wangeingia madarakani, sijui kama wangetoka baada ya mihula miwili - miaka 10. Sishawishiki!
 
Back
Top Bottom