Je, wananchi wanaimani kubwa na vyombo vya dola kama alivyo onyesha Rais?

Je, wananchi wanaimani kubwa na vyombo vya dola kama alivyo onyesha Rais?

Imani ya Wananchi kwa Vyombo vya Dola imeshuka sana mpaka pale Watekaji na Wauaji watakapokamatwa na kupandishwa Kizimbani.
 
nje ya mada: wasukuma pombe na cdf mabeyo ndio wametuletea huyu jambawazi mwanamke katili.
 
Tukio la Mwanza limemuuma sana mama. Amechukizwa na Wananchi walivyozuia watekaji wasitimize uhalifu wao.
Ukitaka kumjua mwenye mbwa muue mbwa.
 
Back
Top Bottom