Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Ishi na mwanamke ila usioeHapana mkuu, wengi sana, si ma ex, si wake za watu, yani ni mwendo wa kuteleza tu [emoji1], Da kila nikiwaza kuoa roho inagoma kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishi na mwanamke ila usioeHapana mkuu, wengi sana, si ma ex, si wake za watu, yani ni mwendo wa kuteleza tu [emoji1], Da kila nikiwaza kuoa roho inagoma kabisa.
Umeandika nini sasa? Ushaambiwa ex halafu inakuwaje hamjaachana?Kama hatujaachana from no where nakubal
wanawake wenye moyo kama wako ni wachache sana 👍Sitoweza msahau baba watoto wangu kwa sababu alinitoa sehemu ambapo hata ndugu zangu wa karibu hawakujua hali niliyokuwa ninapitia😌nilikuwa napitia hali hatarishi na isiyokuwa na mwelekeo wala mwanga.
Hapa nilipo ni kwa sababu yake,mafanikio ninayoyapata japo kidogo mzizi ni yeye kuletwa na Mungu ili anivushe katika mapito.
Anafamilia yake na watoto wengine na upendo uliopo kati yangu,mkewe na Yeye ni ule upendo wa kiMungu👏
Niliahidi sitokuja fanya mchezo wa kipumbavu wa kutoka nae kimapenzi tena.
Kila ninapowaombea vijana wangu pamoja na wazazi wangu basi babawatoto,mkewe na watoto wao lazima wawepo maombini👏
Sio kila Ex ni m’baya au ni lazima mkutane kimwili.Kuna maEx hupanda mbegu njema yenye kumea kila kukicha katika maisha ya mhusika😊
😀😀😀🤔, ukipanda mbegu moja, kuna asilimia nyingi inaweza ikakauka, Nashauri aendelee kupanda zingine ,
😁😁😁😁 Kikubwa kuimwagilia🤔, ukipanda mbegu moja, kuna asilimia nyingi inaweza ikakauka, Nashauri aendelee kupanda zingine ,
😀😀Ngoja ni comment chap kabla job true true hajaandika uzwazwa wake...
Mkuu ulikuwa unakula malaya[emoji1787]
Hahahahahaha nguvu ya pesa .[emoji23]Bila shaka alikutoa kwenye maisha magumu.
KIBUNDA AS USUAL (NGUVU YA PESA)
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Nakaziadronedrake : KATAA NDOA NDOA NI UTAPELI
Aiseee🤔🤔🤔Sitoweza msahau baba watoto wangu kwa sababu alinitoa sehemu ambapo hata ndugu zangu wa karibu hawakujua hali niliyokuwa ninapitia😌nilikuwa napitia hali hatarishi na isiyokuwa na mwelekeo wala mwanga.
Hapa nilipo ni kwa sababu yake,mafanikio ninayoyapata japo kidogo mzizi ni yeye kuletwa na Mungu ili anivushe katika mapito.
Anafamilia yake na watoto wengine na upendo uliopo kati yangu,mkewe na Yeye ni ule upendo wa kiMungu👏
Niliahidi sitokuja fanya mchezo wa kipumbavu wa kutoka nae kimapenzi tena.
Kila ninapowaombea vijana wangu pamoja na wazazi wangu basi babawatoto,mkewe na watoto wao lazima wawepo maombini👏
Sio kila Ex ni m’baya au ni lazima mkutane kimwili.Kuna maEx hupanda mbegu njema yenye kumea kila kukicha katika maisha ya mhusika😊
Ninao mkuuMkuu, huna ma EX nini?? 🤔,