Genio the great
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 298
- 842
Naangaliaga vijana wanaosema kataa ndoa.
Unajua ndoa nipana sana unaweza Ukawa unahis hujaoa kwasb tu hujaenda kanisan Wala msikitini
Ila kiukweli ulishaoa bila kujua Kwa kutokujua kwako tafsiri ya ndoa.
Ngoja Niko naandaa Uzi wa ndoa uliojaa nyama zote ukikamilika niumwage jukwaani Ili tujue nani kaoa na Nan hajaoa hadi Sasa.
Unajua ndoa nipana sana unaweza Ukawa unahis hujaoa kwasb tu hujaenda kanisan Wala msikitini
Ila kiukweli ulishaoa bila kujua Kwa kutokujua kwako tafsiri ya ndoa.
Ngoja Niko naandaa Uzi wa ndoa uliojaa nyama zote ukikamilika niumwage jukwaani Ili tujue nani kaoa na Nan hajaoa hadi Sasa.