Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Wao ndo wanahitaji hvo anakususia shehena lote, hana usumbufu ushirikiano kama wote afu wanazingatia sana privacy sanaNa mkijua ni mke wa mtu, huwa mnabomoa vibaya 😐,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao ndo wanahitaji hvo anakususia shehena lote, hana usumbufu ushirikiano kama wote afu wanazingatia sana privacy sanaNa mkijua ni mke wa mtu, huwa mnabomoa vibaya 😐,
Mabaya yapo ila sio kutombewa Aloooooo yanafuta kila kitu.Ni kwakuwa tunakuwa wabinafsi.
Ninaimani kwenye mahusiano kuna mazuri na mabaya hutokea na ninauhakika ukitafakari mazuri basi kuna asilimia kadhaa ya chuki na ubinafsi itapungua
Na iwe hivyo, 🙏🙏Asante mkuu..
Baada ya kuachana nilikazaga fuvu na upumbavu +chuki zilitawala nikawa mbinafsi nikiongozwa na hisia za mapenzi zisizo na maana nikasahau fadhila na mchango mkubwa sana katika maisha yangu.
Ninamuombea sana yule binadamu kuliko kawaida
Kwani wewe hupigagi game nje ya mahusiano yako?acha kujizima data kiongoziMabaya yapo ila sio kutombewa Aloooooo yanafuta kila kitu.
Amina mkuu.🫶Na iwe hivyo, 🙏🙏
na mke yupo Mvuti, ni mdigo, jina: MamujeeUnaponza wenzio Huku wewe umeoa.
Sio wewe kweli ulie-fungua Uzi wa GS sio general studies ni Gono sugu.na mke yupo Mvuti, ni mdigo, jina: Mamujee
ps: wamenipiga na UTI ya kurogwa aisee
uzi una views nyingi kuliko wachangiajiSio wewe kweli ulie-fungua Uzi wa GS sio general studies ni Gono sugu.
Siujui bruh napitwa na vingi Sana.Gono ya Kenya
Haya nyie heshimianeni akija kwetu tunamwambia mtukane mumeo🤣🤣🤣napiga huku anasema "https://jamii.app/JFUserGuide you nyafwili" plus slapping kama million hv😥😥, Ukiwa na roho ndogo, kuoa ni ngumu sana,,, 😀😀
kuna uzi humu upo , Gono bishi toka Kenya, limeingilia Mombasa hukoSiujui bruh napitwa na vingi Sana.
Jidanganye,siku ukiujua ukweli hautosadikiUlikuwa una-date na Malaya Mkuu.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
kwanini ? Mdigo mwenyewe haongeiUmeoa mdigo 🧐? Haujaugua pressure kweli?
Uliponaje Sasa Kamanda ?kuna uzi humu upo , Gono bishi toka Kenya, limeingilia Mombasa huko
cheza vizuri Tabata hapo