Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzee natibu UTI aisee, nimepewa kimiujizaUliponaje Sasa Kamanda ?
Mana inaonekana ni Gono linaloita na wenzake.
Nyeto Kama unapiga na mkono wa kulia ukaja kupigia kushoto ni sawa na Kununua Malaya.mzee natibu UTI aisee, nimepewa kimiujiza
Mnnnnnh!Sitoweza msahau baba watoto wangu kwa sababu alinitoa sehemu ambapo hata ndugu zangu wa karibu hawakujua hali niliyokuwa ninapitia😌nilikuwa napitia hali hatarishi na isiyokuwa na mwelekeo wala mwanga.
Hapa nilipo ni kwa sababu yake,mafanikio ninayoyapata japo kidogo mzizi ni yeye kuletwa na Mungu ili anivushe katika mapito.
Anafamilia yake kwa sasa na watoto wengine na upendo uliopo kati yangu,mkewe na Yeye ni ule upendo wa kiMungu👏
Niliahidi sitokuja fanya mchezo wa kipumbavu wa kutoka nae kimapenzi tena.
Kila ninapowaombea vijana wangu pamoja na wazazi wangu basi babawatoto,mkewe na watoto wao lazima wawepo maombini👏
Sio kila Ex ni m’baya au ni lazima mkutane kimwili.Kuna maEx hupanda mbegu njema yenye kumea kila kukicha katika maisha ya mhusika😊
Kwahiyo huwa anasemaga haya maneno ?napiga huku anasema "JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala you nyafwili"
Sema hajataka mzigo bado..Niliahidi sitokuja fanya mchezo wa kipumbavu wa kutoka nae kimapenzi tena.
toa p hapo chini, weka quantumNyeto Kama unapiga na mkono wa kulia ukaja kupigia kushoto ni sawa na Kununua Malaya.
#p-Mechanics😁
🤣🤣🤣🤣,Haya nyie heshimianeni akija kwetu tunamwambia mtukane mumeo🤣🤣🤣napiga huku anasema "JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala you nyafwili" plus slapping kama million hv
la Tz linakubali Azuma chapHilo Gono ni tofauti na la Tz.?
Kapime haraka.😥, na sijpima afya mda mrefu, kuna mda mwili unakosa sana nguvu. 🤒
kabisa na jina ni MamujeeMdigo si Mtanga mkuu, au mimi sijaelewa. 🧐🧐
sijui limelipata wapi wakati siunganishi vikojoleoKemea pepo, Kemea U. T. I, Sasa upo mikononi mwa bwana.. 😎