Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmhmmh siwezi kukubishia mkuu mana dunia ina mengi nisiyoyajua ila kweli niwe nimeolewa ndoa yangu takatifu naanzaje kumvulia nguo mwanaume asiye mume wangu kama mimi sio kahaba tena asiye na akili?Hapana mkuu siyo makahaba, kuachana na ex ni ngumu sana, Kati ya ma Ex 10, ni mmoja tu ndo mnaweza kuachana milele.
Huwa wasema hivi kwenye nyuzi za design hii...nakupa hongera kubwa na kuwa muelewa pia...Chako WA RiiSitoweza msahau baba watoto wangu kwa sababu alinitoa sehemu ambapo hata ndugu zangu wa karibu hawakujua hali niliyokuwa ninapitia😌nilikuwa napitia hali hatarishi na isiyokuwa na mwelekeo wala mwanga.
Hapa nilipo ni kwa sababu yake,mafanikio ninayoyapata japo kidogo mzizi ni yeye kuletwa na Mungu ili anivushe katika mapito.
Anafamilia yake kwa sasa na watoto wengine na upendo uliopo kati yangu,mkewe na Yeye ni ule upendo wa kiMungu👏
Niliahidi sitokuja fanya mchezo wa kipumbavu wa kutoka nae kimapenzi tena.
Kila ninapowaombea vijana wangu pamoja na wazazi wangu basi babawatoto,mkewe na watoto wao lazima wawepo maombini👏
Sio kila Ex ni m’baya au ni lazima mkutane kimwili.Kuna maEx hupanda mbegu njema yenye kumea kila kukicha katika maisha ya mhusika😊
DaaahKATAA NDOA!
NDOA NI UONGO
NDOA NI UJAMBAZI
NDOA NI UHARAMIA
NDOA NI RUSHWA
NDOA NI UBEPARI
NDOA NI UKABAILA
NDOA NI UCHAWI
NDOA NI NGUVU ZA GIZA
NDOA NI USHIRIKINA
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Ni kweli mkuu, kama umeweza kuepuka hichi kikombe, Hongera Sana 🙏🙏Mmhmmh siwezi kukubishia mkuu mana dunia ina mengi nisiyoyajua ila kweli niwe nimeolewa ndoa yangu takatifu naanzaje kumvulia nguo mwanaume asiye mume wangu kama mimi sio kahaba tena asiye na akili?
FYI tuna 8 yrs tangu tumeachana na bado ninaujasiri wa kuendelea kumheshimu.Sema hajataka mzigo bado..
Kwa jinsi unavyomheshimu, siku akihitaji atakula kama kawaida.
Kauli yangu ni moja tu, Kula Tunda Mara Moja Waachie Wezio 😎😎.📌Habari wana JF!!! Poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝.
• Nimekuwa nikijiuliza kama ni kweli mwanamke anaweza kusahau kabisa "EX" wake, hasa anapopata nafasi ya kukutana naye tena. Nimegundua kwamba "EX" wangu wote, hata kama walikuwa na uchungu kuhusu kutengana, kamwe hawakatai kukutana nami ninapowaomba tena Baraka zao, awe ameolewa au awe hajaolewa wananipa naogelea kama kawaida.
• Sijawahi kukutana na upinzani wowote kutoka kwa "EX" zangu, hata wale ambao hatujawasiliana kwa miaka kadhaa kutokana na umbali au sababu nyingine za kibinadam. Kila mara tunapokutana, tunapata "BURUDIKO," hata kama wapo katika mahusiano mapya.
• Hii inanifanya kuwa na wasiwasi kwa sababu najisikia kama vile wasichana nilio nao katika uhusiano nao wanafanya hivyo hivyo, pia kushindwa kuzuia ombi la kukutana na "EX" zao, hata kama wananithibitishia hawatarudi nyuma. Naona Ni ngumu sana kuamini, hasa inapokuwepo nafasi ya kukutana tena.
Kauli yangu ni moja tu, Kula Tunda Mara Moja Waachie Wezio 😎😎.
😁😁😁mkuu kumbe unanifuatiliaga kimya kimya na huachi alama😀akuuu..sijapenda🤸♀️🤸♀️Huwa wasema hivi kwenye nyuzi za design hii...nakupa hongera kubwa na kuwa muelewa pia...Chako WA Rii
Kwema kiongozi?Mnnnnnh!
Ni siku tele kwa kweli, karibia aftatu.FYI tuna 8 yrs tangu tumeachana na bado ninaujasiri wa kuendelea kumheshimu.
Hajawahi kuleta usumbufu mkuu.
Siku 365 mara 8 sawasawa na siku ngapi?
Utakuja uchomwe vibaya weweNAKAZIA
Sasa ilikuwaje mkaachana?Ni kweli..alinitoa kwenye magumu na kunipa mwanga yule kijana wa watu maskini..Mungu azidi kumfungulia milango ya Baraka na kila analogusa likafanikiwe asione njaa maishani mwake mwote
NI NA KA ZI AAAA....!NAKAZIA
Ahahahhah Operation tokomeza Mapenzi Uchwara.Mkuu ni kweli, itasaidia, kupunguza ugonjwa wa pressure, stroke na kujiua,
Ndo ushamgae Mapenz na ndoa zilivyo na Us*ng* mwingi...Sasa ilikuwaje mkaachana?
Kwema Mkuu. Mungu ni MwemaKwema kiongozi?
NAKAZIAdronedrake : KATAA NDOA NDOA NI UTAPELI
Wewe ndio hujaelewaUmeandika nini sasa? Ushaambiwa ex halafu inakuwaje hamjaachana?