Je, Wanawake mnaweza Kweli kusahau Wapenzi wenu wa Zamani?

Je, Wanawake mnaweza Kweli kusahau Wapenzi wenu wa Zamani?

Sitoweza msahau baba watoto wangu kwa sababu alinitoa sehemu ambapo hata ndugu zangu wa karibu hawakujua hali niliyokuwa ninapitia[emoji18]nilikuwa napitia hali hatarishi na isiyokuwa na mwelekeo wala mwanga.

Hapa nilipo ni kwa sababu yake,mafanikio ninayoyapata japo kidogo mzizi ni yeye kuletwa na Mungu ili anivushe katika mapito.

Anafamilia yake kwa sasa na watoto wengine na upendo uliopo kati yangu,mkewe na Yeye ni ule upendo wa kiMungu[emoji122]

Niliahidi sitokuja fanya mchezo wa kipumbavu wa kutoka nae kimapenzi tena.

Kila ninapowaombea vijana wangu pamoja na wazazi wangu basi babawatoto,mkewe na watoto wao lazima wawepo maombini[emoji122]

Sio kila Ex ni m’baya au ni lazima mkutane kimwili.Kuna maEx hupanda mbegu njema yenye kumea kila kukicha katika maisha ya mhusika[emoji4]
Aminaaaaa!!!!!
 
Sio kila Ex ni mbayaa, hata km mnaachana kwa ugomvi au visa ila kuna moments zinafanya moyoo ufunguke na uwe mpoleee.

Popote ulipooo M barikiwa sanaa, siwezi eleza ni jinsi gani uliacha alama kwangu, nahisi ni kiumbe uliyezaliwa ili uje uniinue na kunipaisha.

Hakukua na mtu ambaye angeweza kuwa au kusimama na mie, sio wazazi, ndugu, jamaa hata marafikii, lakini ulijitokeza wewee kuwa karibu yangu na kunifanya niwe imara zaidi ya mwanzo.

Nakumbuka neno lako kuu "maisha ni vile unaishi, tunaishi mara 1 tyuuh" na msemo wako maarufu "ukipewa kilema, unapewa na mwendo" [emoji24][emoji24][emoji24]

Fanikiwa zaidi na zaidi M, natamani nikuone siku 1ili ushuhudie yale uliyoninenea na hakika kwa 90% yametimiaaaa.

Ex wangu weweee ni wa thamaniiii.
 
Ex wangu Mimi afungwe jiwe kubwa shingoni atupwe baharini sihitaji hata kumkumbuka, alafu haujawahi kukutana na ubaya wewe ndio maana unalopoka yeye ndio atanikumbuka kwa mema yangu Ila kwangu hana jema hata moja yote mabaya meusi meusi na mekundu mekundu, asurubiwe afie msalabani
Kwahyo hajawahi kufanya jema lolote kwako?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahyo hajawahi kufanya jema lolote kwako?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijawahi kuona Jambo Zuri hata moja alilowahi kunitendea hata moja sijawahi kuona Ila mabaya ni zaidi ya elfu kwanza alikua tapeli muongo muongo kibaka kibaka fulani mpenda Pesa za kitonga sababu anajua zipo basi anajizushia hata msiba au ugonjwa hata km hajafiwa na haumwi kashaua watu wengi kwa vifo vya uongo sasa mtu huyo mzuri?
 
Sijawahi kuona Jambo Zuri hata moja alilowahi kunitendea hata moja sijawahi kuona Ila mabaya ni zaidi ya elfu kwanza alikua tapeli muongo muongo kibaka kibaka fulani mpenda Pesa za kitonga sababu anajua zipo basi anajizushia hata msiba au ugonjwa hata km hajafiwa na haumwi kashaua watu wengi kwa vifo vya uongo sasa mtu huyo mzuri?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sanaa, bas poleee
 
Sio kila Ex ni mbayaa, hata km mnaachana kwa ugomvi au visa ila kuna moments zinafanya moyoo ufunguke na uwe mpoleee.

Popote ulipooo M barikiwa sanaa, siwezi eleza ni jinsi gani uliacha alama kwangu, nahisi ni kiumbe uliyezaliwa ili uje uniinue na kunipaisha.

Hakukua na mtu ambaye angeweza kuwa au kusimama na mie, sio wazazi, ndugu, jamaa hata marafikii, lakini ulijitokeza wewee kuwa karibu yangu na kunifanya niwe imara zaidi ya mwanzo.

Nakumbuka neno lako kuu "maisha ni vile unaishi, tunaishi mara 1 tyuuh" na msemo wako maarufu "ukipewa kilema, unapewa na mwendo" [emoji24][emoji24][emoji24]

Fanikiwa zaidi na zaidi M, natamani nikuone siku 1ili ushuhudie yale uliyoninenea na hakika kwa 90% yametimiaaaa.

Ex wangu weweee ni wa thamaniiii.
😊😊😊😊, Dahh, mbona EX anatumiwa mjumbe mtamu hivi?, cocastic una ex mmoja tu?
 
Ex wangu Mimi afungwe jiwe kubwa shingoni atupwe baharini sihitaji hata kumkumbuka, alafu haujawahi kukutana na ubaya wewe ndio maana unalopoka yeye ndio atanikumbuka kwa mema yangu Ila kwangu hana jema hata moja yote mabaya meusi meusi na mekundu mekundu, asurubiwe afie msalabani
Naona umetoa ya moyoni 😀😀, Mkuu ex wako ulimfumania nini? 😒
 
SEMA yote kama mwanamke anakupenda atazaa na wewe, kukupa utelezi kwao sio shida, amini usiamini shauri yako
Kuzaa ni siri zito sana, Mwanamke akikupenda anaweza kukupa hata mimba ambayo siyo yako, ila kama hakupendi anaweza kukunyima mimba hata kama wewe ndo mhusika mkuu.
 
Tunaposema kuoa mwanamke Sio bikira ni Sawa na kuoa mke wa mtu muwe mnaelewa.

Msishupaze shingo.
Siku hizi Bikra zenyewe zinatolewa watoto bado wadogo sana, 12age bikra tayari imesha tolewa 😐
 
Nikiwekewa kaburi futi 6 pale na Ex pale naambiwa chagua unaenda wapi ntaelekea kwenye shimo la futi 6 nisije nikaenda kumtia mtu bisu la shingo, sitaki kukumbuka mtu unamsaidia mpaka Ada ya chuo na mkopo anapewa na Serekali anamaliza chuo anapata kazi anageuza kibao kuna maex ni maex kweli kweli tena red coloured X
Tatizo hauhudhurii vikao, tulishakubaliana mwanamke akisomeshwa sana mwisho ni ufundi cherehani
 
Back
Top Bottom