Je, Wanawake mnaweza Kweli kusahau Wapenzi wenu wa Zamani?

Je, Wanawake mnaweza Kweli kusahau Wapenzi wenu wa Zamani?

Ni wachache wameambiwa ukweli kuwa kila unapofanya mapenzi na mwanamke kwa mara ya mwanza ni tayari ndoa. Ila haikusajiriwa.
Je, una ndoa ngap?
Hayo ni maneno ya kwenye vitabu, kama mbususu tumekula nyingi sana.
 
Sitoweza msahau baba watoto wangu kwa sababu alinitoa sehemu ambapo hata ndugu zangu wa karibu hawakujua hali niliyokuwa ninapitia😌nilikuwa napitia hali hatarishi na isiyokuwa na mwelekeo wala mwanga.

Hapa nilipo ni kwa sababu yake,mafanikio ninayoyapata japo kidogo mzizi ni yeye kuletwa na Mungu ili anivushe katika mapito.

Anafamilia yake kwa sasa na watoto wengine na upendo uliopo kati yangu,mkewe na Yeye ni ule upendo wa kiMungu👏

Niliahidi sitokuja fanya mchezo wa kipumbavu wa kutoka nae kimapenzi tena.

Kila ninapowaombea vijana wangu pamoja na wazazi wangu basi babawatoto,mkewe na watoto wao lazima wawepo maombini👏

Sio kila Ex ni m’baya au ni lazima mkutane kimwili.Kuna maEx hupanda mbegu njema yenye kumea kila kukicha katika maisha ya mhusika😊
NAKAZIA kuna ex ambao huwa wanabaki kuwa watu wa karibu ambao mnaweza hata kushirikishana katika masuala mbalimbali hata kusaidiana kwenye changamoto kadha wa kadha. Na katika hili yatupasa kuheshimu mahusiano yaliyopita ili yasivuruge mahusiano yaliyopo.
 
NAKAZIA kuna ex ambao huwa wanabaki kuwa watu wa karibu ambao mnaweza hata kushirikishana katika masuala mbalimbali hata kusaidiana kwenye changamoto kadha wa kadha. Na katika hili yatupasa kuheshimu mahusiano yaliyopita ili yasivuruge mahusiano yaliyopo.
Bila kusahau kunyanduana, pale tu Anatomy zikisisimka..
 
Back
Top Bottom