dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hahaha noma sana😛😛😛, Itakua jamii ya Corona 19 aise, siyo bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha noma sana😛😛😛, Itakua jamii ya Corona 19 aise, siyo bure.
Nasikitiia kusema kua hilo swala lipo.Ngoja ni comment chap kabla job true true hajaandika uzwazwa wake...
Mkuu ulikuwa unakula malaya[emoji1787]
subiri kwanza umeme usharudiItakua mishangazi usiku, huwa inakuja kichawi
🤔🤔, mbona kundi kubwa SanaView attachment 2843535
mke akiwa katika pozi ya picha ya pamoja na familia yake
Kwamba Quantum Gono sio ?toa p hapo chini, weka quantum
Hasa hawa wa kwakoKwahiyo huwa anasemaga haya maneno ?
Naona Hadi vischana vidogo havikupiti Hamisi Mpigamiti.View attachment 2843535
mke akiwa katika pozi ya picha ya pamoja na familia yake
NAKAZIA kuna ex ambao huwa wanabaki kuwa watu wa karibu ambao mnaweza hata kushirikishana katika masuala mbalimbali hata kusaidiana kwenye changamoto kadha wa kadha. Na katika hili yatupasa kuheshimu mahusiano yaliyopita ili yasivuruge mahusiano yaliyopo.Sitoweza msahau baba watoto wangu kwa sababu alinitoa sehemu ambapo hata ndugu zangu wa karibu hawakujua hali niliyokuwa ninapitia😌nilikuwa napitia hali hatarishi na isiyokuwa na mwelekeo wala mwanga.
Hapa nilipo ni kwa sababu yake,mafanikio ninayoyapata japo kidogo mzizi ni yeye kuletwa na Mungu ili anivushe katika mapito.
Anafamilia yake kwa sasa na watoto wengine na upendo uliopo kati yangu,mkewe na Yeye ni ule upendo wa kiMungu👏
Niliahidi sitokuja fanya mchezo wa kipumbavu wa kutoka nae kimapenzi tena.
Kila ninapowaombea vijana wangu pamoja na wazazi wangu basi babawatoto,mkewe na watoto wao lazima wawepo maombini👏
Sio kila Ex ni m’baya au ni lazima mkutane kimwili.Kuna maEx hupanda mbegu njema yenye kumea kila kukicha katika maisha ya mhusika😊
Bila kusahau kunyanduana, pale tu Anatomy zikisisimka..NAKAZIA kuna ex ambao huwa wanabaki kuwa watu wa karibu ambao mnaweza hata kushirikishana katika masuala mbalimbali hata kusaidiana kwenye changamoto kadha wa kadha. Na katika hili yatupasa kuheshimu mahusiano yaliyopita ili yasivuruge mahusiano yaliyopo.
Ni huyo tuuuuu.Mkuu, wataje wote bhana
Kwa baadhi ambao nao hicho kikombe hakitawaacha, nao watapigiwa tuu, hakuna namna(in his voice)Bila kusahau kunyanduana, pale tu Anatomy zikisisimka..