Je, wanawake wa Tanzania wanaweza kupambania haki zao kama wanawake wa Kenya!?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Wakati harakati za wakenya kupinga Bajeti ya nchi hiyo zikiendelea, nimekuwa navutiwa na ujasiri wa wanawake wa Kenya wanavyopambana mstari wa mbele kupinga Bajeti hiyo.

Wanawake hao wanapaza sauti zao bila ya hofu wala jazba lakini kiufundi Sana wanaonesha hasira zao dhidi ya Serikali ya nchi Yao.

Nikajiuliza, ni lini Tanzania tutapata wanawake wenye ujasiri wa aina hiyo??
 
Aache kunywa savannah ya baridi..na rosti kilo na ndizi mbili..na Iphone macho 3..na lake la nne...na kutoka jioni na kurudi asubuhi na uber...
Aende barabarani akafanye nn! Waacheni dada zetu
 
Aache kunywa savannah ya baridi..na rosti kilo na ndizi mbili..na Iphone macho 3..na lake la nne...na kutoka jioni na kurudi asubuhi na uber...
Aende barabarani akafanye nn! Waacheni dada zetu
Ngoja tuwaache...
 
Kwa hapa Tanzania uoga sio jambo la jinsia Bali ni la wote.
 
NILIWAHI kujaribu lakini kilichonipata ni mwaka wa Saba Sasa...nilikutana na unyanyasaji wa ajabu
 
Mfumo wa uongozi wa Tanzania umemdunisha sana mwanamke na kumfanya kuwa chombo cha kupiga vigelegele tu kwenye masuala ya siasa.

Ni mwanamke gani anaweza kutoka hadharani na kupinga serikali ama hata kumkosoa waziri kama anavyofanya Mpina?
 
Kuna quality mwanamke anakua nayo, bahati mbaya wale walioikosa huwa wanageuka kuwa lizards, na ndio hao huangukia kwenye kundi la rejects
Wewe uko kundi gani la hao rejects? 🤭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…