Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
CountrywideHuo ujasiri tutapata wapi kama nyie vichwa mnakimbiliaga uvunguni.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CountrywideHuo ujasiri tutapata wapi kama nyie vichwa mnakimbiliaga uvunguni.....
Mm nipo kundi la wateule wa kuchuja rejects. How do you feel?Wewe uko kundi gani la hao rejects? 🤭
Umenitag kitu sijaelewa, weka maelezo
Na wewe ukiwa mmojawapo wa rejects, mana ushakuwa na experience. Mi niko pouwa zaidi ya janaMm nipo kundi la wateule wa kuchuja rejects. How do you feel?
Soma nilipokutag comment ya juuUmenitag kitu sijaelewa, weka maelezo
😄Nyie wanaume mmejificha, sisi ndio tukapigwe na mabomu ya machozi?
Sasa nimekuambia sijaelewa, ww ni kazi yako kunieleweshaSoma nilipokutag comment ya juu
Mwanaume hawi reject ndio maana anaenda kuoa na kutoa mahari, labda wanaume wahindiNa wewe ukiwa mmojawapo wa rejects, mana ushakuwa na experience. Mi niko pouwa zaidi ya jana
Ila anakuwa toleo jipya 🤣Mwanaume hawi reject ndio maana anaenda kuoa na kutoa mahari, labda wanaume wahindi
Najua umeelewa tuendelee na mengine Mr rejectUmenitag kitu sijaelewa, weka maelezo
Ww eleza, mm huwa sishindwi kujibuNajua umeelewa tuendelee na mengine Mr reject
Wakati harakati za wakenya kupinga Bajeti ya nchi hiyo zikiendelea, nimekuwa navutiwa na ujasiri wa wanawake wa Kenya wanavyopambana mstari wa mbele kupinga Bajeti hiyo.
Wanawake hao wanapaza sauti zao bila ya hofu wala jazba lakini kiufundi Sana wanaonesha hasira zao dhidi ya Serikali ya nchi Yao.
Nikajiuliza, ni lini Tanzania tutapata wanawake wenye ujasiri wa aina hiyo??