Je wanyama na mimea wana roho (do animal and plants have soul)

Je wanyama na mimea wana roho (do animal and plants have soul)

Umerukia kusema haiwezekani ngamia kupita kwenye tundu la sindano bila hata ya kutueleza ngamia ana ukubwa gani na tundu la sindano lina ukubwa gani.

Vipi kama tundu la sindano ni kubwa kupita ngamia?

Hili litakuwa haliwezekani bado?

Ukubwa wa tundu la sindano unaanzia wapi na kuishia wapi?

"Vipi kama tundu la sindano ni kubwa kupita ngamia?"

Jiulize kwanini swali lako lina neno "kama"??
 
"Vipi kama tundu la sindano ni kubwa kupita ngamia?"

Jiulize kwanini swali lako lina neno "kama"??

Kwa sababu inawezekana. Wewe kwa mawazo mgando umefikiri matundu ya sindano yote ni madogo kuliko ngamia.
 
I think everything has a spirit (especially when you involve the fact that we "spirit" drive the body) it's just like a plant driving its growth from a seed to a big tree ..hata kwenye our native religions people have been talking through a medium for centuries..kwenye tamaduni zilizoendelea mapema (Greeks,Egyptians) they used to have gods of earth,fire,crops e.t.c...But I think swali lako linaelekea zaidi kwenye ishu nyingine ya kwamba...kama kila kitu kina roho,what makes us diferent from plants and animals?...the answer is "utashi"..we can reason,they can't..a wild tree or animal will always be wild..humans always evolve.

It is important that you prefixed your statement with "I think...".

That shows not only that you have the appearance of a thinking person, but you have the markings of intelligence and humility in positing this as a personal opinion and not a fact.If at all the entire train is not rather serendipitously stemmed.

Having said that, with you being purportedly the thinking person you presented yourself as, what makes you think that everything has a spirit? Indeed, what is a spirit to you?

How do you know that a spirit drives the body?

How do you know that anything has a spirit at all?

How do you know that this entire idea is not a badly finagled incorrect supposition from the ancients?
 
first of all..i did quote your statement which explained in brief that "spirit is what drives a body"..but ofcourse i have to defend my point too..
So,this can be difficult to explain especially to non-believers since kwa vitabu vya dini tunaamini kwa "imani",na imani ni kujua bayana ya mambo yasiyokuwezekana..in short kwa hali ya kawaida ya kibinadamu.So,achilia mbali imani (japo tutarudi tena hapo).
In short, a spirit is a force, or a part of it.As we all know,a force is something that you cant see,rather you can feel its effect.Na until today,sayansi haijaweza kutuambia hasa,force ni nini? huanzia wapi? sana sana sayansi inaweza kutuambia,matokeo ya force ni nini na inaweza kutabiri kwa kiasi fulani matokeo hayo (not 100%),mfano ni kuruka kwa mnyama ndege angani, nini kinafanya aweze kuruka kwa kasi?,kwa haraka sana? sayansi inajibu mfumo but sio matokeo.
Ndio maana majaribio ya sayansi hufanyika katika "contolled environment" but living organisms do everything without the need of a controlled environment
Back to our spirit,the diference is, a spirit (my own thinking) is a force that has a conscious..meaning,it can control itself.A normal force would pull something or push in a uniform direction,a spirit will reason.Let me give you examples,for instance,sayansi haijaweza kujibu swali la kwa nini tunaota?..au ni nini kinachosababisha usingizi(ile sekunde unayoingia usingizini) au kwa nini tunalala? (ulalaji wa mtu kama mfu) ila inatuambia kwa nini ni muhimu hivyo vitu kutokea.Mfano mwingine ni urithi wa tabia,(i know its genetics) but ikiwa tunaboreshwa na mazingira,kwa nini baadhi ya tabia hubakia hata kizazi na kizazi mfano ufundi wa kitu fulani,ubishi wa familia fulani n.k,au pia the DNA..kwa nini ina muundo ule?inawezaje kubeba taarifa za vizazi hata vizazi kwa kutumia kemikali chache ambazo hata kwenye miamba zipo..what chain reaction caused that? (though science can tell you about the constituents).Mfano wa mwisho ni kuwa na wasiwasi juu ya kitu ambacho hakijatokea bado na baadae huja kutokea,kibongo bongo "machale" example is feelings za mama kwa mtoto ambae yupo mbali nae....

So,to conclude hapo juu ni kwamba,kuna kitu cha ziada ambacho kinachosambabisha matokeo,kwa maisha ya kibinadamu,au yale ya wanyama na mimea.Sijazungumzia vitu vingine (mimea n.k) kwa sababu my spirit is human,but still i cant explain "what tells a plant to bend in darkness to follow the light(despite its hormones,what drives it at first? eyes!?),or what makes them to produce nice fruits or bad fruits)

Kwa sababu ya matokeo haya yanayofanana sana,(and yet they cant be understood fully) kwa nini mimea na vitu vingine hai visiwe na spirit kama sisi?.Kumbuka hapa,tumetoa kabisa ushahidi wa kiimani,other wise uchawi,mizimu... n.k ingeingilia kati :behindsofa:.
 
Tundu la sindano gani hilo mkuu lenye kuweza kupitisha ngamia?

The question is rooted in a lack of imagination.

Tundu la sindano lenye kuweza kupitisha ngamia.

Is that so impossible?
 
Nchi na vyote vijazavyo ni mali ya bwana.......
 
Tuanze na hizo mbili.

Utajuaje kwamba kitu hakiwezekani?

BS You have provided no objective basis (true irrespective of individual belief) whatsoever. Even child rape cannot be objectively wrong if non theism is true. If we are just chemical animals, chemicals causally determine everything. There is no free-will or choice. Why is a child rapist wrong if he has no choice? Why is one chemical illusion of morality the 'right' illusion? Why does your chemical illusion constitute a moral duty upon another chemical animal who has a different illusion of raping children as 'good' for him?


Non theism is mindless.
 
The question is rooted in a lack of imagination.

Tundu la sindano lenye kuweza kupitisha ngamia.

Is that so impossible?

If non theism is true, we are chemical animals. Chemicals causally determine all thoughts and behavior. There is NO FREE-WILL. NO Free-Will = no possibility of Moral truth or duties. We have no choice. Any illusions of morals are just that - illusions of an unreality that has no grounding and doesn't exist.

You non theists need to face logical fact, but you won't. There is no intellectual honesty among you. Just excuses and empty denial of irrefutable logical fact.

No, actual good and evil cannot possibly exist without God and I've demonstrated it. You need to stop protesting the logically inescapable truth that I point out and take responsibility. You have no solution to YOUR own logical incoherence.

(1) You have no objective grounding for moral values whatsoever.
(2) Your chemical animal view of man (no soul) precludes any possibility of free-will - the very foundation of moral choice.
 
Kiranga someone just told me he can get out of his body and go places, re: Astral Projection. Sijui kwanini binadamu tupo gullible to these things?!
 
Back
Top Bottom