Je wanyama na mimea wana roho (do animal and plants have soul)

Je wanyama na mimea wana roho (do animal and plants have soul)

Wanadamu tunaamini katika maisha baada ya kifo, ingawa maisha haya yanapishana kutokana na dini mbalimbali, lakini kwa ujumla common ground ni kuwa tutaishi baada ya kufa. Msingi wa maisha baada yakifo ni imani kuwa mbali na viungo vyoote tulivyonavyo, pia tuna ROHO.


Karibuni.


CC Ishmael, Eiyer, Punjab Singh, Mkuu wa chuo

Thank you for welcoming here:

Immaterial substances are outside of the scope of science. Animals can be explained purely in material terms, whereas humans cannot since they possess minds, not merely brains that receive.

If, then, humans are found to have immaterial minds, then a part of them exists apart from the body and may be capable of surviving death. On the other hand, if an animal dies there is nothing left of it to survive. Once life has left the matter of the animal's body, it ceases to be a living thing altogether, and becomes merely a carcass. So, it would seem that, barring any other evidence suggesting that there is an immaterial aspect to animals, they do not go to heaven (that is, the heaven which exists now).

Humans can analyze data; animals can only perceive. Animals can be conditioned; humans can be taught ideas.

Why is this important? It illustrates the difference between the merely physical phenomenon of perception and the immateriality of reasoning. No scientist has been able to discover any link between the physical matter of the brain and immaterial thought. In fact, it would be impossible to do so since science can only study physical phenomena. Immaterial substances are outside of the scope of science. Animals can be explained purely in material terms, whereas humans cannot since they possess minds, not merely brains that receive.
 

Your posts don't add anything, answer anything, or shed any light on anything.

You hate me. I get it. So what?

Poor damsel being so self-conscious.

Let not your heart be troubled.

No red-blooded 100% Sukuma man would even entertain the thought of hating you.
 
Poor damsel being so self-conscious.

Let not your heart be troubled.

No red-blooded 100% Sukuma man would even entertain the thought of hating you.

There is no "hate" in your diabolical belief of NO God. Stop using weed. You have no objective basis for moral values or duties without God. That's the pertinent fact you cannot refute.
 
There is no "hate" in your diabolical belief of NO God. Stop using weed. You have no objective basis for moral values or duties without God. That's the pertinent fact you cannot refute.

You are just a damsel in distress.
 
Kwahiyo ni kipi sasa kilichofanya hadi watu wakafikiria kuwa kuna roho?

Kutaka majibu mepesi kwa maswali magumu, ujinga, kutaka kukandamiza wengine kwa hadithi za maisha baada ya kifo, kutokubali kuwa hatujui tusichokijua.
 
our brain is the generator of our consciousness and our brain is going to die along with all of our other organs.

How does consciousness interact with the brain itself?

How does our consciousness operate the brain?

Consciousness can operate beyond the brain, body, and the present, as hundreds of experiments and millions of testimonials affirm. Consciousness cannot, therefore, be identical with the brain.
 
Wanadamu tunaamini katika maisha baada ya kifo, ingawa maisha haya yanapishana kutokana na dini mbalimbali, lakini kwa ujumla common ground ni kuwa tutaishi baada ya kufa. Msingi wa maisha baada yakifo ni imani kuwa mbali na viungo vyoote tulivyonavyo, pia tuna ROHO.

Na ni
msingi wa uwepo wa roho (soul) ndo unaojenga nadharia ya maisha baada ya kifo katika dunia mpya.
Kumekuwa na dhana na mtizamo tofauti katika wanyama na mimea linapokuja swala la roho. Wanazuoni wanaamini kuwa mimea na wanyama hawana roho na sifa hii ya mwanadamu ni kati ya sifa kuu zinazomtofautisha binadamu na wanyama au mimea.

Swali la kujiuliza ni Je,kama msingi wa imani ya uwepo wa roho kwa wanadamu unajengwa na imani ya maisha baada ya kifo. Na kwa kuwa maisha baada ya kifo ni dhana ya kidini kwa wafuasi wa Mungu mmoja.

Na ni roho ndo inaaminika kuwa huendeleza maisha kwa kwenda mbinguni
Je vitabu vya dinivinasemaje kuhusu uwepo wa wanyama na mimea katika dunia ya roho/ mbingu (ntazungumzia biblia, mwenye taarifa nakuran ntaomba achangie mtizamo huo) Isaya 65:25 “mbwa mwitu namwanakondoo watalisha pamoja, na simba atakula majani kama ngo’ombe, na mavumbi yatakuwa chakula cha nyoka.

Hawatadhuru wala kuharibu katika mlima wangu mtakatifu wote” asema Bwana.
Nabii isaya anathibitishakuwa mbinguni kutakuwa na wanyama na anatoa mfano wa mbwa mwitu, kondoo, ng’ombe,simba, na nyoka. Ufunuo 19:14 pia Yesu anaonekana akirudi na jeshi lake la mbinguni huku akiwa juu ya FARASI mweupe.

Lakini pia Ufunuo 22:1-3 inaonyesha kuwa mbinguni patakuwa na miti. Je hii ni uthibitisho kuwa wanyama na mimea pia wana roho kamawanadamu, na kila wanyama na mimea wanapopoteza maisha roho zao huishi na pia huenda mbinguni kama wanadamu ili kungojea ile siku kuu ya Dunia mpya ya waliochaguliwa na Mungu pekee.

Karibuni.


CC Ishmael, Eiyer, Punjab Singh, Mkuu wa chuo

Non living thing= no soul
Plants= vegetative soul
Animal= animated soul
Man = spiritual soul
 
teh teh teh well there is both a simple explanation and a unexplainable one. You seem to do something most people fail to understand, but there's a difference between religion and spiritualism. And science recognizes spiritualism, not religion fairy tales and ignorance.


You did not answer my questions. In science, they have largely ignored how consciousness manifests in our existence. They've done this by assuming that the brain produces consciousness, although how it might do so has never been explained and can hardly be imagined.

Consciousness is the
mental state of being awake and aware of one's self and/or one's surroundings. It is the condition of being able to experience a sensation of awareness of the self and/or the environment. This issue deals with the mind and its relationship to the physical brain. Is the mind a property of the physical brain or is it something different?
 
naomba niishie hapa mdau nisije nikakufuru..
I can elaborate but you want to believe in something and grasp at straws to make you feel better about your flagile and limited lifespan. But it doesnt matter, embrace each day and make it matter. Make the world better for others and you will worrying about the magic thing in the human body that isnt there. You will spend a lifetime worrying about tomorrow without living out today.
Sawa sawa:
BUT
If the brain produces consciousness, can you explain to me, how does the brain produces consciousness?
 
Back
Top Bottom