Je wanyama na mimea wana roho (do animal and plants have soul)

Je wanyama na mimea wana roho (do animal and plants have soul)

Habari nzima ya roho kuwapo ni mapokeo ya kale tu yasiyo na uthibitisho kwamba ni kweli.

Right up there with mermaids and the Loch Ness monster.

Kwahiyo ni kipi sasa kilichofanya hadi watu wakafikiria kuwa kuna roho?
 
Mimea ina uhai. Uhai ni spirt ambayo ni roho. Roho ni mind.Specifically ni subconsious mind
They create themeselves they live they die and they regenerat . Hili ni somo kuu ambalo sio rahisi kuelezea hapa
Uhai = roho = mind, mind ina uhusiano wowote na ubongo?
Kama ndivyo, mimea ina ubongo?
 
Animals don't have moral beliefs, nor do they have consciences. Also, animals are not made in the image of God as mankind is (Genesis 1:26) and are not under the moral laws intended for people. Therefore, they can't sin. Animals work off of instinct--not off of moral purpose or obligation to honor God and not with any spiritual connection to God.
 
Habari nzima ya roho kuwapo ni mapokeo ya kale tu yasiyo na uthibitisho kwamba ni kweli.

Right up there with mermaids and the Loch Ness monster.
Your posts don't add anything, answer anything, or shed any light on anything.
 
Hivi mi na wewe nani mwenye maswali na majibu ya hovyo?
Kutokunijibu ama kujibu haitanisaidia kwa maana huwa unajibu usichokijua.
Bakia kwenye mada.

Do animals have spirit/souls. Give us evidence of your answer and stop spinning
 
Eiyer roho ni nini???

It is the part of the conscious person, that aspect of awareness that animates our bodies. Biblically, it is sometimes used synonymously with soul (Job. 7:11; Isa. 26:9). It is often used in reference to a person's most inward thoughts (1 Cor. 2:11). Spirit does not have flesh and bones (Luke 24:39). The spirit of a man is created by God (Zech. 12:1).

The word is also used in reference to the 3[SUP]rd[/SUP] person of the Trinity, the Holy Spirit (Matt. 12:32), and also fordemonic spirits (Mark 1:23; 5:8; Luke 4:33).
 
Hivi mi na wewe nani mwenye maswali na majibu ya hovyo?
Kutokunijibu ama kujibu haitanisaidia kwa maana huwa unajibu usichokijua.

Now where is your evidence to justify non theism?
Or is your non theism just mindless?
 
Roho ni nini?

It is the part of the conscious person, that aspect of awareness that animates our bodies. Biblically, it is sometimes used synonymously with soul (Job. 7:11; Isa. 26:9). It is often used in reference to a person's most inward thoughts (1 Cor. 2:11). Spirit does not have flesh and bones (Luke 24:39). The spirit of a man is created by God (Zech. 12:1).

The word is also used in reference to the 3[SUP]rd[/SUP] person of the Trinity, the Holy Spirit (Matt. 12:32), and also fordemonic spirits (Mark 1:23; 5:8; Luke 4:33).
 
Dawa yenu,

Mungu hadi leo anaumba lakini sio direct bali anaumba indirect

Utaratibu ni ule ule ambao ulifanyika kwa adam lakini leo ni kwa njia tifauti kidogo ambayo ni kwa kujamiiana

Binadamu wanapojamiiana hutoka manii ambayo ni matokeo ya vyakula tulivyokula na vyakula ni matokeo ya udongo

Kwahiyo unaweza kuona jambo ni lile lile ila ni kwa namna nyingine tu!
Sir Eiyer,

Those people won't comprehend this. It is Greek to them.
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana 'wasomi' huwa kwanza wanafanya definition. Mie bado najiuliza:
"Soul" ni nini hasa? Ndio "roho" kwa kiswahili?
"Spirit" ni nini hasa? Ndio "roho" kwa kiswahili?
"Uhai" ni nini?
"Nafsi" ni nini?
"Roho" ni nini hasa?
"pepo/mapepo" nayo ni nini?
"Wanyama" ni nini? (binaadamu ni mnyama?),
"Mimea" ni nini hasa?

Social behavior is not morality. A pack of hyenas, the KKK, the MAFIA, drug gangs and slave traders exhibit social behavior. We are talking about morality, not social behavior.

Animals have no moral duties. When a cheetah kills a gazelle he does not murder the gazelle. When a hyena takes food from another animal, he does not steal the food. When animals force sex on other animals, they don't 'rape'.
 
Habari nzima ya roho kuwapo ni mapokeo ya kale tu yasiyo na uthibitisho kwamba ni kweli.

Right up there with mermaids and the Loch Ness monster.

Because ex nihilo nihilo fit (something cannot come from nothing). If nothing ever existed, nothing would exist now.

Nothingness has no capacities or being.

At what point do you take responsibility for being proven wrong over and over? Never?
I understand. Non theists never do. Non theism is mindless.
 
Hey damsel:hand:

If we are 100% chemical animals and our chemicals cause child rape, why is child rape morally wrong?
Why is the child rapist morally culpable when he has no free-will choice?

Answer the questions
 
Mkuu,

Ngoja nikuambie kitu

Roho na nafsi ni vitu viwili tofauti kabisa

Roho ni spirit
Nafsi ni soul

Hili ni tatizo la wengi na wengine wanabisha huku wakiwa sahihi bila kuwa na sababu

Kwahiyo mkuu wanyama wanaweza kuwa na uhai na wasiwe na spirit ila wakawa ni nafsi hai [soul]

Jambo hili tulishalijadili sana hapa : https://www.jamiiforums.com/dini-im...yansi-kutokuwa-ndio-mamlaka-ya-mwisho-21.html

Kama huna access kwenye jukwaa la dini muombe Invisible kwa kumtumia PM na atakupa na utajionea mengi humo kwa faida yako!
Right on ........
 

If we are 100% chemical animals and our chemicals cause child rape, why is child rape morally wrong?
Why is the child rapist morally culpable when he has no free-will choice?

Answer the questions

Hey damsel....are you in distress?
 
Back
Top Bottom