Je wanyama na mimea wana roho (do animal and plants have soul)

Je wanyama na mimea wana roho (do animal and plants have soul)

Jenga utaratibu wa kusoma kwanza kabla hujaandika chochote mahali popote....

Swali lako nimeshalijibu kwenye mada hii hii .....!!

Basi wanyama wana roho ndio maana wao na wanadamu wako kwenye kundi la viumbe hai. Yesu aluwaambia wanafunzi wakw siku alipowatokea baada ya kufufuka(tomaso alikuwepo) kwamba; ".....roho ndiyo itiayo uzima(uhai); mwili haufai kitu.
Sawa?
 
Basi wanyama wana roho ndio maana wao na wanadamu wako kwenye kundi la viumbe hai. Yesu aluwaambia wanafunzi wakw siku alipowatokea baada ya kufufuka(tomaso alikuwepo) kwamba; ".....roho ndiyo itiayo uzima(uhai); mwili haufai kitu.
Sawa?

Uko sawa lakini sio kwa 100% kwasababu namna uhai ulivyopatikana kwa binadamu na viumbe wengine ni tofauti

Lakini uhai sio lazima usababishwe na roho ...

Kinachonifanya niseme hivyo ni chanzo cha uhaio wa wanyama na binadau kuwa tofauti,uhai wa binadamu ni roho kwasababu hiyo ndio ambayo Mungu aliiweka kwenye mwili na kwasababu Mungu ni roho basi kinachomfanya binadamu afanane na Mungu ni hiyo roho

Kwa upande mwingine wanyama na mimea haikuwa hivyo,Mungu alitamka navyo vikawa na hakuna mahali ambapo Mungu aliviopa roho ambayo ndio chanzo cha uhai,lakini kwakuwa navyo ni hai au vina uhai inawezekana uhai wao na wetu ni tofauti na ndio maana hata chanzo chetu ni tofauti

Kudai tu navyo vina roho kwasababu vina uhai wakati huo huo chanzo cha huo uhai ni tofauti na Mungu ambae ni Roho sidhani kama utakuwa sahihi!
 
Uko sawa lakini sio kwa 100% kwasababu namna uhai ulivyopatikana kwa binadamu na viumbe wengine ni tofauti

Lakini uhai sio lazima usababishwe na roho ...

Kinachonifanya niseme hivyo ni chanzo cha uhaio wa wanyama na binadau kuwa tofauti,uhai wa binadamu ni roho kwasababu hiyo ndio ambayo Mungu aliiweka kwenye mwili na kwasababu Mungu ni roho basi kinachomfanya binadamu afanane na Mungu ni hiyo roho

Kwa upande mwingine wanyama na mimea haikuwa hivyo,Mungu alitamka navyo vikawa na hakuna mahali ambapo Mungu aliviopa roho ambayo ndio chanzo cha uhai,lakini kwakuwa navyo ni hai au vina uhai inawezekana uhai wao na wetu ni tofauti na ndio maana hata chanzo chetu ni tofauti

Kudai tu navyo vina roho kwasababu vina uhai wakati huo huo chanzo cha huo uhai ni tofauti na Mungu ambae ni Roho sidhani kama utakuwa sahihi!

Hapa hoja sio namna za roho bali ni kama wanyama nao wana roho au hawana, au sio? Tukirudi kwenye utofauti kati ya binadamu na mnyama ni ndogo sana, wote wanakula na kulala, wanasihisi njaa kama binadamu, wana hisia za kujaamiana ndio maana wanazaliana kama binadamu, wanazaa na kunyonyesha kama binadamu wafanyavyo, wanafurahi na kuhuzunika kama binadamu walivyo.
Hayo yote tukisingizia ni akili basi hata kichaa naye anahisi njaa na kutafuta kipoozeo, vile vile anahitaji kuwa huru na kufurahi hata kama ni kwa namna ya pekee kama kuokota makopo; kutukana watu nk. na mambo hayo yote kwa binadamu na mnyama yanaweza kutendeka wakati wakiwa hai tu(wakiwa na roho), wanapokufa moyo unasimamisha mapigo yake bila kujali huyu ni binadamu au mnyama, na wote wanakuwa hawajitambui, sasa nini kinakuwa kimepungua hadi hali hiyo itokee?
 
Hapa hoja sio namna za roho bali ni kama wanyama nao wana roho au hawana, au sio? Tukirudi kwenye utofauti kati ya binadamu na mnyama ni ndogo sana, wote wanakula na kulala, wanasihisi njaa kama binadamu, wana hisia za kujaamiana ndio maana wanazaliana kama binadamu, wanazaa na kunyonyesha kama binadamu wafanyavyo, wanafurahi na kuhuzunika kama binadamu walivyo.
Hayo yote tukisingizia ni akili basi hata kichaa naye anahisi njaa na kutafuta kipoozeo, vile vile anahitaji kuwa huru na kufurahi hata kama ni kwa namna ya pekee kama kuokota makopo; kutukana watu nk. na mambo hayo yote kwa binadamu na mnyama yanaweza kutendeka wakati wakiwa hai tu(wakiwa na roho), wanapokufa moyo unasimamisha mapigo yake bila kujali huyu ni binadamu au mnyama, na wote wanakuwa hawajitambui, sasa nini kinakuwa kimepungua hadi hali hiyo itokee?

Mti unasikia njaa?

Mti unasikia usingizi

Hivi unajua kama kuna wanyama hawajamiiani?

Unajua kama kuna wanyama ambao huyo huyo ni dume na huyo huyo ni jike?

Pamoja na hayo yote sijaona haya yanahusianaje na uwepo wa roho ....

Hata hivyo,unaweza kuniambia ni wapi ambapo umesoma au kupata ushahidi kuwa wanyamana miti nao wana roho?
 
Samahani mkuu Eiyer, kuna jambo linanitatiza kila siku. Halihusiani sana na maada iliyopo mezani ila naomba ufafanuzi wako tafadhali.

Napenda kujua endapo kazi ya uumbaji inaendelea au laa! Je Mungu bado anafanya uumbaji hadi leo hii? Je nami aliniumba kama alivyofanya kwa Adamu? Yaani alinifanyanga kwa udongo halafu akanipulizia pumzi ya uhai kama Adamu?
mkuu, vitabu vinatuambia uumbaji ulifanyika kwa siku sita halafu siku ya saba Mungu akapumzika ila hatuambiwi kama baada ya hiyo siku ya saba aliendelea na uumbaji au vipi. Hisia zangu zinaniambia huenda baada ya kuwaumba Adamu na Eva, Mungu aliweka tu system yaani kama aliseti tu mitambo hivyo utaratibu wa kuumba watu hautahusisha yeye kufinyanga udongo na kupulizia pumzi kama alivyofanya kwa Adamu. Napenda ujua kama uumbaji unaendelea au vipi.
natanguliza shukrani
 
Last edited by a moderator:
Mti unasikia njaa?

Mti unasikia usingizi

Hivi unajua kama kuna wanyama hawajamiiani?

Unajua kama kuna wanyama ambao huyo huyo ni dume na huyo huyo ni jike?

Pamoja na hayo yote sijaona haya yanahusianaje na uwepo wa roho ....

Hata hivyo,unaweza kuniambia ni wapi ambapo umesoma au kupata ushahidi kuwa wanyamana miti nao wana roho?
Mkuu unajichanganya mwenyewe tu, hoja yangu ni pumzi ya uhai yaani roho.
Nafsi hai inakamilika hivi....
PUMZI YA UHAI + MAVUMBI YA ARDHI= NAFSI HAI ambayo ni mtu kamili anayeweza kufanya jambo au kitu kama wewe na mimi tunavyoweza kuandika na kuelewana.
Labda kwa kupata usahihi unaodhani watu hatuujui ungeeleza jambo linalowatofautisha binadamu na wanyama ni ipi? roho ina kazi gani kwa banadamu?
 
Samahani mkuu Eiyer, kuna jambo linanitatiza kila siku. Halihusiani sana na maada iliyopo mezani ila naomba ufafanuzi wako tafadhali.

Napenda kujua endapo kazi ya uumbaji inaendelea au laa! Je Mungu bado anafanya uumbaji hadi leo hii? Je nami aliniumba kama alivyofanya kwa Adamu? Yaani alinifanyanga kwa udongo halafu akanipulizia pumzi ya uhai kama Adamu?
mkuu, vitabu vinatuambia uumbaji ulifanyika kwa siku sita halafu siku ya saba Mungu akapumzika ila hatuambiwi kama baada ya hiyo siku ya saba aliendelea na uumbaji au vipi. Hisia zangu zinaniambia huenda baada ya kuwaumba Adamu na Eva, Mungu aliweka tu system yaani kama aliseti tu mitambo hivyo utaratibu wa kuumba watu hautahusisha yeye kufinyanga udongo na kupulizia pumzi kama alivyofanya kwa Adamu. Napenda ujua kama uumbaji unaendelea au vipi.
natanguliza shukrani

Dawa yenu,

Mungu hadi leo anaumba lakini sio direct bali anaumba indirect

Utaratibu ni ule ule ambao ulifanyika kwa adam lakini leo ni kwa njia tifauti kidogo ambayo ni kwa kujamiiana

Binadamu wanapojamiiana hutoka manii ambayo ni matokeo ya vyakula tulivyokula na vyakula ni matokeo ya udongo

Kwahiyo unaweza kuona jambo ni lile lile ila ni kwa namna nyingine tu!
 
Mkuu unajichanganya mwenyewe tu, hoja yangu ni pumzi ya uhai yaani roho.
Nafsi hai inakamilika hivi....
PUMZI YA UHAI + MAVUMBI YA ARDHI= NAFSI HAI ambayo ni mtu kamili anayeweza kufanya jambo au kitu kama wewe na mimi tunavyoweza kuandika na kuelewana.
Labda kwa kupata usahihi unaodhani watu hatuujui ungeeleza jambo linalowatofautisha binadamu na wanyama ni ipi? roho ina kazi gani kwa banadamu?

Sidhani kama najichanganya bali naona hunielewi ...

Nimesema kwa kirefu vile ambavyo chanzo cha uhai wa binadamu na na wanyama ni tofauti

Nimekuambia kuwa uko sawa uhai unasababishwa na roho

Lakini nikakuambia kuwa sio lazima kwasababu wanyama wana uhai basi wana roho kwasababu inawezekana uhai wao chanzo chao kingine

Sababu iliyonifanya niseme hivi ni sababu ya chanzo cha uhai wao ambacho ni tofauti na sisi,sisi chanzo cha uhai wetu ni roho ambayo ni mfanano wetu na Mungu kwasababu Mungu ni roho,kwa upande mwingine wanyama wao uhai wao chanzo chake sio roho kwasababu hawakupewa roho kama binadamu ambayo ndio mfanano wa Mungu kwa binadamu

Kwa maana hiyo sasa,uhai wa wanyama chanzo chake naweza kusema sio roho lakini uhai wa binadamu chanzo chake ni roho!
 
Duh!

Kazi ipo ...

Eliza,unasema nafsi sio spirit kwasababu ipi na kwa misingi ipi na kwa ushahidi upi?

Sijui kama unalielewa hilo swali!
Kubali ulitoa tafsiri sio. Nafsi maana ya ni ego na wala si spirit. Think of spirit as energy rather labda it will start to make sense
 
Dawa yenu,

Mungu hadi leo anaumba lakini sio direct bali anaumba indirect

Utaratibu ni ule ule ambao ulifanyika kwa adam lakini leo ni kwa njia tifauti kidogo ambayo ni kwa kujamiiana

Binadamu wanapojamiiana hutoka manii ambayo ni matokeo ya vyakula tulivyokula na vyakula ni matokeo ya udongo

Kwahiyo unaweza kuona jambo ni lile lile ila ni kwa namna nyingine tu!

Mungu haumbi tena, bali kanuni alizoziweka awali ndizo zinaendeleza uzazi na mambo yote. Ukisema siku hizi watu wanaumbwa kwa kujaamiana vipi kwa miti na wawe? nayo yanajaamiana ili kuendeleza uzazi wao au wewe ukisikia uumbaji moja kwa moja unajifikiria wewe kwanza?
Uzazi wa kujaamiana ni matokeo ya kanuni za asili, kwamba mbegu za uzazi za jinsia mbili tofauti zinapokutana zinazalisha kiumbe kipya bila kujali wahusika walipanga au hawakupanga, hii ndio kanuni inayoendeleza uzazi; ndio maana kwa kanuni hii mtu anaweza kuzaa na ndugu yake wa damu ilhali mungu amezuia hilo.
 
Kubali ulitoa tafsiri sio. Nafsi maana ya ni ego na wala si spirit. Think of spirit as energy rather labda it will start to make sense

Kukubali kwangu sio tatizo .....

Tatizo ni kwamba nikubali kwasababu gani?

Au nikubali tu kwasababu wewe umesema?
 
Mungu haumbi tena, bali kanuni alizoziweka awali ndizo zinaendeleza uzazi na mambo yote. Ukisema siku hizi watu wanaumbwa kwa kujaamiana vipi kwa miti na wawe? nayo yanajaamiana ili kuendeleza uzazi wao au wewe ukisikia uumbaji moja kwa moja unajifikiria wewe kwanza?
Uzazi wa kujaamiana ni matokeo ya kanuni za asili, kwamba mbegu za uzazi za jinsia mbili tofauti zinapokutana zinazalisha kiumbe kipya bila kujali wahusika walipanga au hawakupanga, hii ndio kanuni inayoendeleza uzazi; ndio maana kwa kanuni hii mtu anaweza kuzaa na ndugu yake wa damu ilhali mungu amezuia hilo.

Kwanza ungesoma aina la swali nililoulizwa huenda ungeokoa muda wako kuandika maneno mengi ambayo hayakuhitajika

Pamoja na hayo,kila mahali Mungu ameweka kanuni kwa namna yake ya viumbe kuongezeka,hapo juu nilikuwa najibu swali linalohusu namna binadamu wanaongezeka,kama unataka kujua kuhusu mimea nako kuna uumbaji lakini sio wa moja kwa moja kama ilivyokuwa mwanzo bali kuna mbegu ambazo ndizo ninaifanya mimea iwepo

Hiyo nayo ni kanuni ambayo inafanya uumbaji uendelee lakini sio moja kwa moja!
 
Sidhani kama najichanganya bali naona hunielewi ...

Nimesema kwa kirefu vile ambavyo chanzo cha uhai wa binadamu na na wanyama ni tofauti

Nimekuambia kuwa uko sawa uhai unasababishwa na roho

Lakini nikakuambia kuwa sio lazima kwasababu wanyama wana uhai basi wana roho kwasababu inawezekana uhai wao chanzo chao kingine

Sababu iliyonifanya niseme hivi ni sababu ya chanzo cha uhai wao ambacho ni tofauti na sisi,sisi chanzo cha uhai wetu ni roho ambayo ni mfanano wetu na Mungu kwasababu Mungu ni roho,kwa upande mwingine wanyama wao uhai wao chanzo chake sio roho kwasababu hawakupewa roho kama binadamu ambayo ndio mfanano wa Mungu kwa binadamu

Kwa maana hiyo sasa,uhai wa wanyama chanzo chake naweza kusema sio roho lakini uhai wa binadamu chanzo chake ni roho!

Kwanza niseme tu kuwa chanzo cha uhai ni mungu mwenyewe, pili hakuna tofauti kati ya roho na uhai, kama sivyo je inawezekana mtu akawa hai bila roho au kuwa na roho lakini hana uhai?(Rejea ulichosema wakati wa ufafanuzi hapo juu).
Nini maana ya uhai na nini maana ya roho?
 
Kukubali kwangu sio tatizo .....

Tatizo ni kwamba nikubali kwasababu gani?

Au nikubali tu kwasababu wewe umesema?

Nimeshakwambia sema hutaki kuelewa. Nenda kwenye Google translate type Nafsi Kiswahili maana yake inakuja Soul kwa English haiji Spirit. That simple!
 
Kwanza niseme tu kuwa chanzo cha uhai ni mungu mwenyewe, pili hakuna tofauti kati ya roho na uhai, kama sivyo je inawezekana mtu akawa hai bila roho au kuwa na roho lakini hana uhai?(Rejea ulichosema wakati wa ufafanuzi hapo juu).
Nini maana ya uhai na nini maana ya roho?

Sawa,chanzo cha uhai ni Mungu,lakini Mungu ni uhai?

Mungu kuwa ni uhai hakufanyi yeye awe ndio uhai

Kwani ni unadhani hakuna tofauti kati ya uhai na roho?

Hujui kama inawezekana mbwa yupo hai kwasababu ana uhai lakini sio kwamba ana roho?

Binadamu ana uhai lakini sio kwasababu ana roho bali ni kwasababu moja kati ya vilivyiunda roho ni uhai?

Hivi unajua kama kuna roho ya mauti?

Kama unadhani uhai ni roho pekee jua kuwa unajidanganya sana na unapaswa kufikiri zaidi!
 
Back
Top Bottom