Je wanyama na mimea wana roho (do animal and plants have soul)

Je wanyama na mimea wana roho (do animal and plants have soul)

Ebu fafanua zaidi eliza, self ni nini?
According to Merriam Webster self ni:
the person that someone normally or truly is
: a particular part of your personality or character that is shown in a particular situation
: the personality or character that makes a person different from other people : the combination of emotions, thoughts, feelings, etc., that make a person different from others
 
Last edited by a moderator:
Mimea ina uhai. Uhai ni spirt ambayo ni roho. Roho ni mind.Specifically ni subconsious mind
They create themeselves they live they die and they regenerat . Hili ni somo kuu ambalo sio rahisi kuelezea hapa
 
Uko kwa kuanzia kwamba mambo ya kitabibu ni mambo ya kisayansi, yanayothibitishwa kwa kanuni za kisayansi.

Na mpaka sasa hujathibitisha kwamba roho ipo kwa kanuni za kisayansi.

Nimekuuliza kipimo kinachopima uwepo wa roho ni kipi?

Hujajibu.

kwanini unapenda kila.kitu kithibitishwe kwa kanuni za kisayansi.
yaani sayansi.imeozesha kabisa uwezo wako wa kufikiri.
thibitisha upendo kwa kutumia kanuni za kisayansi ...
 
kwanini unapenda kila.kitu kithibitishwe kwa kanuni za kisayansi.
yaani sayansi.imeozesha kabisa uwezo wako wa kufikiri.
thibitisha upendo kwa kutumia kanuni za kisayansi ...

Wewe unaweza kuthibitisha kwa kanuni gani?

Kuna kuthibitisha gani kusiko kwa kisayansi?
 
Mimea ina uhai. Uhai ni spirt ambayo ni roho. Roho ni mind.Specifically ni subconsious mind
They create themeselves they live they die and they regenerat . Hili ni somo kuu ambalo sio rahisi kuelezea hapa

Mfamaji, elezea plse, watu wanahitaji hayo maelezo
 
Last edited by a moderator:
Hii mada Tamuu kila stage inayovuka na kuleta swali jingine la nyuma halijapata jawabu...
 
Uko kwa kuanzia kwamba mambo ya kitabibu ni mambo ya kisayansi, yanayothibitishwa kwa kanuni za kisayansi.

Na mpaka sasa hujathibitisha kwamba roho ipo kwa kanuni za kisayansi.

Nimekuuliza kipimo kinachopima uwepo wa roho ni kipi?

Hujajibu.

kwanini unapenda kila.kitu kithibitishwe kwa kanuni za kisayansi.
yaani sayansi.imeozesha kabisa uwezo wako wa kufikiri.
thibitisha upendo kwa kutumia kanuni za kisayansi ...

thibitisha upendo kwa kisayansi...

Vipi ndo uko kutengeneza kifaa cha kuthibitishia UPENDO kisayansi ?
 
!
!
Nadhani hakuna kitu kinaitwa roho, pia nafikiri kuna uwezekano wa kuwa na maisha baada ya kufa, ndio kusema kuwa tukifa tutarudi kule ambako tulikuwepo kabla hatujazaliwa.
 
Kwanza namna viumbe vingine tofauti na Binadamu viliumbwa kwa Mungu kutamka tu,yaani neno ndilo lililoumba [Yesu],lakini binadamu aliumbwa au kwa lugha nyingine Mungu mkamilifu [nafsi zote tatu] zilihusika kwenye uumbaji wa mwanadamu na hata alivyoumbwa imeelezwa,kwa maana hiyo basi viumbe vingine vina uhai lakini havina roho

Nasema hivyo kwasababu Mungu ni roho na wakati anamuumba binadamu alisema kabisa "tumuumbe mtu kwa mfano wetu [roho]" lakini wakati anamuumba binadamu hakusema hivyo,kwa maana hiyo kama hakumuumba mbuzi au ng'ombe kwa mfano wake na Mungu ni roho basi hao wengine hawana ule mfanano wa Mungu ambao ni roho

Nikija kwenye hoja yako ya uwepo wa viumbe wengine baada ya maisha haya ni kwamba kwanza haijaelezwa kuwa vitafufuliwa hivi ambavyo leo vinakufa bali imeelezwa vitakuwepo kama hivi,sasa kwa maana hii ni kwamba inawezekana vitaumbwa vingine tofauti na hivi na tutaishi navyo milele bila kuharibika!
Kwani wewe unajua roho ni nini?
 
Back
Top Bottom