Je wanyama na mimea wana roho (do animal and plants have soul)

Je wanyama na mimea wana roho (do animal and plants have soul)

Kwa hiyo naweza kuamini kwamba hakuna roho ?maana si ni imani pia?.Kwa nn wewe imani yako umeelekeza postively?kwa nn isiwe kinyume?Huoni kwamba unalazimisha kile unachodhani kipo kiwepo?

Mimi nina back up ya imani yangu,wewe unayo ya kwako?
 
Nimekujibu kwasababu moja tu nayo ni kwamba kuna watu wanaweza kusoma hii post yako na kujiuliza maswali kuhusu jibu langu,ukija na maswali yako ya bla bla ya kuthibitisha bla bla sitakujibu kwasababu hii sio mada kwaajili ya hayo

Mtoa mada anataka kujua kama viumbe vingine vina roho au laa!
Hivi mi na wewe nani mwenye maswali na majibu ya hovyo?
Kutokunijibu ama kujibu haitanisaidia kwa maana huwa unajibu usichokijua.
 
Eiyer mwenzio keshasema mimea na wanyawa hawana Roho!.Mbona hamueleweki?

Ila wewe utakuwa una matatizo na kibaya zaidi hujajua ni matatizo gani

Kwanini unasema "mwenzako"? Ni mwenzangu kwenye nini hasa?

Wapo wanasayansi wanatofautiana kwenye jambo lile lile,na hao unawashangaa pia na kudai hawaeleweki?

Hutaki tuwe na mawazo huru kwasababu ipi?
 
Binadamu si wanazaliwa kila siku mkuu?

mkuu Mungu alipoumba viumbe aliumba na uwezo wa viumbe ku reproduce, ndo perfection yenyewe hiyo. kuzaliana ni ukamilifu wa uumbaji wa Mungu, na ni matokeo ya ukamilifu huo. so iyo ni process iliyowekwa withini mwanadamu pale tu alipoumbwa mwanamke na Mungu akasema "zaeni na muijaze dunia" . so the reproduction process was commissioned to human being. Ndo maana mwanamke hawezi kuzaa bila Mwanaume
 
mkuu Mungu alipoumba viumbe aliumba na uwezo wa viumbe ku reproduce, ndo perfection yenyewe hiyo. kuzaliana ni ukamilifu wa uumbaji wa Mungu, na ni matokeo ya ukamilifu huo. so iyo ni process iliyowekwa withini mwanadamu pale tu alipoumbwa mwanamke na Mungu akasema "zaeni na muijaze dunia" . so the reproduction process was commissioned to human being. Ndo maana mwanamke hawezi kuzaa bila Mwanaume

Unataka kusema hao wanaozaliwa wana tofauti yoyote na Adam?

Kama hawana tofauti,si watakuwa wameumbwa?

Hiyo process ya kuzaliana iko kwenye mfumo wa kanuni,badala ya Mungu kuendelea kuumba moja kwa moja [direct] anaumba inderect lakini bado anaumba tu lakini sio moja kwa moja bali kwa kutumia kanuni!
 
Unataka kusema hao wanaozaliwa wana tofauti yoyote na Adam?

Kama hawana tofauti,si watakuwa wameumbwa?

Hiyo process ya kuzaliana iko kwenye mfumo wa kanuni,badala ya Mungu kuendelea kuumba moja kwa moja [direct] anaumba inderect lakini bado anaumba tu lakini sio moja kwa moja bali kwa kutumia kanuni!

mkuu, Mungu alimuumba adam na eve tu, hawa wengine wote ni matokeo ya uumbaji.
 
mkuu, Mungu alimuumba adam na eve tu, hawa wengine wote ni matokeo ya uumbaji.

Matokeo ya uum baji maana yake nini?

Unataka kusema kama ilivyo kivuli ni matokeo ya nyumba kumulikwa na mwanga vivyo hivyo wewe ni matokeo ya Adam kwa maana hiyo hiyo?

Kama kivuli sio nyumba basi na sisi [kwa maana hiyo hiyo] sio binadamu kama Adam sio?
 
Matokeo ya uum baji maana yake nini?

Unataka kusema kama ilivyo kivuli ni matokeo ya nyumba kumulikwa na mwanga vivyo hivyo wewe ni matokeo ya Adam kwa maana hiyo hiyo?

Kama kivuli sio nyumba basi na sisi [kwa maana hiyo hiyo] sio binadamu kama Adam sio?

mfano wa kivuli hauendani

tofautisha creation na reproduction.

creation- to make something exist that did not exist before

after adam na eve, inayofuatia ni reproduction, na inakuwa controlled na wanadamu wenyewe, kwa mfano leo wanaume woote duniani wakigoma kushiriki na wanawake then ndo mwisho wa reproduction.watu waliopo watakufa na mwisho tutaisha. so hii iko controlled na wanadamu wenyewe
 
Bin adam atakapo kuwa peponi ataishi kwa mfumo wa roho kama viumbe vilivyopo huko, kama Ng'ombe, Tai na Mitende ya Duniani haina Roho basi nategemea kuna/kutakuwa na viumbe kwa mfumo huo eidha kwa kutumia roho za Malaika au Bin adam.

Nani kakwambia!
 
Bin adam atakapo kuwa peponi ataishi kwa mfumo wa roho kama viumbe vilivyopo huko, kama Ng'ombe, Tai na Mitende ya Duniani haina Roho basi nategemea kuna/kutakuwa na viumbe kwa mfumo huo eidha kwa kutumia roho za Malaika au Bin adam.

Unaweza kuthibitisha au unakubali tu haya?
 
mfano wa kivuli hauendani

tofautisha creation na reproduction.

creation- to make something exist that did not exist before

after adam na eve, inayofuatia ni reproduction, na inakuwa controlled na wanadamu wenyewe, kwa mfano leo wanaume woote duniani wakigoma kushiriki na wanawake then ndo mwisho wa reproduction.watu waliopo watakufa na mwisho tutaisha. so hii iko controlled na wanadamu wenyewe

Unajichanganya bado ....

Hiyo maana yako ya ceretion inasambaratisha hoja yako kuwa binadamu kuendelea kuzaliwa sio creation,hebu isome tena halafu uangalie anapotoka mtoto ambae ndio binadamu!
 
Kwanza namna viumbe vingine tofauti na Binadamu viliumbwa kwa Mungu kutamka tu,yaani neno ndilo lililoumba [Yesu],lakini binadamu aliumbwa au kwa lugha nyingine Mungu mkamilifu [nafsi zote tatu] zilihusika kwenye uumbaji wa mwanadamu na hata alivyoumbwa imeelezwa,kwa maana hiyo basi viumbe vingine vina uhai lakini havina roho

Nasema hivyo kwasababu Mungu ni roho na wakati anamuumba binadamu alisema kabisa "tumuumbe mtu kwa mfano wetu [roho]" lakini wakati anamuumba binadamu hakusema hivyo,kwa maana hiyo kama hakumuumba mbuzi au ng'ombe kwa mfano wake na Mungu ni roho basi hao wengine hawana ule mfanano wa Mungu ambao ni roho

Nikija kwenye hoja yako ya uwepo wa viumbe wengine baada ya maisha haya ni kwamba kwanza haijaelezwa kuwa vitafufuliwa hivi ambavyo leo vinakufa bali imeelezwa vitakuwepo kama hivi,sasa kwa maana hii ni kwamba inawezekana vitaumbwa vingine tofauti na hivi na tutaishi navyo milele bila kuharibika!

Kwa nini mungu mkamilifu ahitaji kumuumba binadamu au chochote?

Ukamilifu wa kweli ungeondoa haja yoyote ya kuumba chochote.

Alipungukiwa nini mpaka akaona haja ya kuumba?

Na kama alipungukiwa, ni kweli kwamba alikuwa mkamilifu?
 
Unajichanganya bado ....

Hiyo maana yako ya ceretion inasambaratisha hoja yako kuwa binadamu kuendelea kuzaliwa sio creation,hebu isome tena halafu uangalie anapotoka mtoto ambae ndio binadamu!

mkuu lets agree to disagree katika uumbaji, kwa sababu hoja ya uumbaji iko wazi sana, lakini naona unaiwekea opaque view
 
Kwa nini mungu mkamilifu ahitaji kumuumba binadamu au chochote?

Ukamilifu wa kweli ungeondoa haja yoyote ya kuumba chochote.

Alipungukiwa nini mpaka akaona haja ya kuumba?

Na kama alipungukiwa, ni kweli kwamba alikuwa mkamilifu?

kiranga kwa hiyo wanyama na mimea wana roho au hawana
 
Back
Top Bottom