Hay
waungwana kama kuna mtu anayependa kuchorwa jina lake humu mmu aseme sasa
nami nitamchora kama mimi nilivyojichor
a hapa ona maneno haya jamani wanajf hayapendezi
si very gudo haya omba kuchorwa sichori bure na kitu kama unacho unanitumia ndipo nakuchora
nina uwezo wa kuchora sura ya mtu bila hata kumtazama kama anatanipa vigezo muhimu vilivyo
mwilini mwake nami nachora kwa hisia ingia hapa uchorwe
ona mfano huu:
View attachment 75754
angalia hawa nimewapendelea kama utapenda nawe usisite kutuma details zako nami nakuchora
si unapendeza jamani
karibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu