Je, wapinzani ni wakombozi?

Je, wapinzani ni wakombozi?

Nyani,

Ukisoma utaona sija entertain kabisa swala la kuibadili CCM ili iwe safi iendelee kutawala.Ninachosema ni kuwa instituonal change is imminent, regardless of who is in power, kwa hiyo tukibadili katiba sasa hivi siyo tunabadili katiba ili tui reform CCM, tutabadili katiba ili mtu yeyote atakayekuja kuwa in power abanwe na katiba explicitly.Kwamba mambo ya kupiga midili mikubwa mikubwa bila kushirikisha wawakilishi wa wananchi yakome, mambo ya kupeleka majeshi Comoro bila ridhaa ya wabunge yakome.This way hata jinsi ya kuwang'oa CCM itakuwa rahisi kwa sababu CCM washazoea za kunyonga (kuiba hela za uchaguzi BOT ETC) ikija system fair and square itakayokata mirija yao watatapatapa.

Lakini sisi tunaongelea kuing'oa CCM kabla ya kuikatia mirija yake inayoipa kiburi, hatuwezi kufanikiwa.

Ndiyo maana nasema institutional change inabidi ziende simultaneously na regime change au zitokee kabla ya regime change, kwa sababu regime yenyewe inaelea over the foundation of these lax institutions, usipoondoa foundation hiyo hata hiyo regime change itakuwa ndoto.

Si zitapigwa simu tu tume ya uchaguzi kama alivyopiga Nyerere na matokeo yatageuzwa hata kama upinzani umeshinda?

Lakini ukiwa na sheria zinazozuia rais kuteua Tume ya Uchaguzi, ukiwa na ma judge wenye integrity ambao hawatamuogopa rais, then thats a big step towards regime change.

Alah! We are on the same page. I personally I've had it up to here and I want both of them to take place simultaneously (though it may be a tall order)....I just can't stand them anymore....I just want them to go away...
 
Nadhani swali la msingi ambalo bila ya shaka linakuwa wazi katika hoja ya Pundit ni kuwa tuiindoe CCM ili kiwe nini? au tuiondoe CCM alimradi imeondoka halafu tufikirie tufanye nini wakishaondoka?

Kama CCM haitaki kubadili katiba na mambo (institutions) mengine, tuiondoe ili tuweze kufanya hayo mabadiliko maana kuwepo kwao madarakani ni kizingiti cha mabadiliko ambayo baadhi yetu tunayataka na ambayo tuna imani yatakuwa na faida ktk mustakabali wa taifa.
 
Mbona wakoloni tuliwaondoa na hatukuhoji (labda wapo waliohoji) wala kusubiri kubadili institutions walizozijenga? Hatukutaka kusubiri hadi waanze kuzibadilisha wenyewe na wala jitihada hazikulenga ktk kubadili institutions...lakini tukawatimua. Sasa nakubali kuwa baada ya kuwatimua tulitakiwa kuzibadili lakini hatukufanya hivyo. Hilo lilikuwa ni kosa na shame on us tukilirudia tena.
 
Kama CCM haitaki kubadili katiba na mambo (institutions) mengine, tuiondoe ili tuweze kufanya hayo mabadiliko maana kuwepo kwao madarakani ni kizingiti cha mabadiliko ambayo baadhi yetu tunayataka na ambayo tuna imani yatakuwa na faida ktk mustakabali wa taifa.

I am with you on this, intitutional changes are paramount, either before or parallel with regime change.But lets not kid ourselves that we will achieve much, say with regime change without institutional changes.

Tutabadili chupa wakati mvinyo utakuwa ule ule.
 
Mbona wakoloni tuliwaondoa na hatukuhoji (labda wapo waliohoji) wala kusubiri kubadili institutions walizozijenga? Hatukutaka kusubiri hadi waanze kuzibadilisha wenyewe na wala jitihada hazikulenga ktk kubadili institutions...lakini tukawatimua. Sasa nakubali kuwa baada ya kuwatimua tulitakiwa kuzibadili lakini hatukufanya hivyo. Hilo lilikuwa ni kosa na shame on us tukilirudia tena.

That's correct!

Mambo ya kusubiria mpaka institution zijengwe na wale ambao hawako tayari kujenga hizo institution ni kosa la msingi ambalo inabidi lisifanywe tena.
 
You have the option to do a simultaneos effort encompassing the two.
 
I am with you on this, intitutional changes are paramount, either before or parallel with regime change.But lets not kid ourselves that we will achieve much, say with regime change without institutional changes.
Tutabadili chupa wakati mvinyo utakuwa ule ule.

Mkuu pundit,

we'll also be just doing the same thing if we wait for ccm to make these institutional changes. Get rid of roadblocks (ccm) on our way and .........
 
Tatizo ni kwamba una interpret ninachokisema in a rather simplistic way, kwamba nina advocate kuacha regimes madarakani.Hasha.

Ninachosema ni kuwa hata kama tukibadili chama tawala leo lakini kama hatuna deeper institutional changes basi tutajikuta tunarudi square one kirahisi tu.Tena mtu mwingine anaweza kuleta argument kuwa hivyo vyama vya upinzani kwa sababu havijaweza kujijenga sana vikawa rather easily manipulated na watu influential ndani ya vyama.


Vyama vijengwe zaidi, networks ziimarishwe, institutions ziwezeshwe, wananchi waongeze uelewa na ushiriki, CCM iondolewe.Hapo vyama vitakuwa havina choice bali kuleta maendeleo.Lakini ukitoa mwanya wa longolongo ni human nature kuanza ku backslide na kuja na vi slogan vitakavyokuwa version mpya ya "kasi mpya..." or some bs like that.

They say a man is only as honest as his options, let us not give any options for abuse and have a guaranteed good government instead of playing Russian Roulette with our country.

Pundit:

Nakubaliana na mawazo yako kimsingi. Lakini si unakumbuka ukiwa mtoto ulivyotaka kuoga maji ya baridi. Kwanza uli-test maji kwa kidole kimoja. Baadaye kwa kiganja. Na mpaka pale mwili uliposisimka ndipo uliweza kujimwagia maji mwili mzima.

Kuna watu waliamini kabisa bila kuwepo Nyerere nchi haiwezi kujiendesha yenyewe. Nchi inajiendesha yenyewe bila kuwepo kiongozi mmoja anayesimama kama kiranja mkuu.

Kuna watu wanaoamini kuwa bila CCM, basi matatizo yaliotokea Rwanda, Uganda au Congo Zaire yatatupata pia. Wao hawawezi kuona mfano wa Zambia au Malawi.

Kwa maoni yangu, taasisi zilizopo zinatosha. Tatizo ni kuwa vyama vya upinzani kwa watanzania wengi ni umande na wanaogopa kuuvaa umande kwenda shule au shamba.
 
Pundit:

Nakubaliana na mawazo yako kimsingi. Lakini si unakumbuka ukiwa mtoto ulivyotaka kuoga maji ya baridi. Kwanza uli-test maji kwa kidole kimoja. Baadaye kwa kiganja. Na mpaka pale mwili uliposisimka ndipo uliweza kujimwagia maji mwili mzima.

Kuna watu waliamini kabisa bila kuwepo Nyerere nchi haiwezi kujiendesha yenyewe. Nchi inajiendesha yenyewe bila kuwepo kiongozi mmoja anayesimama kama kiranja mkuu.

Kuna watu wanaoamini kuwa bila CCM, basi matatizo yaliotokea Rwanda, Uganda au Congo Zaire yatatupata pia. Wao hawawezi kuona mfano wa Zambia au Malawi.

Kwa maoni yangu, taasisi zilizopo zinatosha. Tatizo ni kuwa vyama vya upinzani kwa watanzania wengi ni umande na wanaogopa kuuvaa umande kwenda shule au shamba.

Bin Maryam,

I feel you on this. Kuna watu wanasema "be careful what you wish for, you may receive it".Basically I am envisioning watu washaitoa CCM na tuna upinzani kwenye power bila institutional changes. Watakubali kuji clip wings in the interest of government efficiency and integrity au ndiyo tutaona kama mambo aliyoleta Kibaki alipochaguliwa mara ya kwanza?

My fear is that human nature is too unrealiable, that is why we need clear institutional changes at least simultaneously with regime change, if not before.
 
That's correct!

Mambo ya kusubiria mpaka institution zijengwe na wale ambao hawako tayari kujenga hizo institution ni kosa la msingi ambalo inabidi lisifanywe tena.

sio kujenga anamaanisha kama vile kubadili katiba na mfumo wa utawala.
 
Bin Maryam,

I feel you on this. Kuna watu wanasema "be careful what you wish for, you may receive it".Basically I am envisioning watu washaitoa CCM na tuna upinzani kwenye power bila institutional changes. Watakubali kuji clip wings in the interest of government efficiency and integrity au ndiyo tutaona kama mambo aliyoleta Kibaki alipochaguliwa mara ya kwanza?

My fear is that human nature is too unrealiable, that is why we need clear institutional changes at least simultaneously with regime change, if not before.

Pundit,

Umejaribu kuimagine kile kinachoendelea sasa hivi:

Watoto kufa hospitalini bila dawa au magonjwa yanayotibika wakati richmonduli/dowans pekee wakilipwa billions of dollars kwa sababu zisizoeleweka kabisa!

That is worse to me than a monster under my bed!
 
Pundit,

Umejaribu kuimagine kile kinachoendelea sasa hivi:

Watoto kufa hospitalini bila dawa au magonjwa yanayotibika wakati richmonduli/dowans pekee wakilipwa billions of dollars kwa sababu zisizoeleweka kabisa!

That is worse to me than a monster under my bed!

Things like this make me wanna pull my hair...
 
Tulipowaondoa wakoloni tulifanya wakati huo huo kuingiza watu wapya. Tulifanya hivyo tukiamini kuwa wakoloni ndiyo kizuizi cha maendeleo yetu na hivyo wao wakiondoka tukishika sisi wenyewe basi mambo yatakuwa mazuri.

Matokeo yake ni yapi? Wale tuliowaingiza si walifanya vizuri mwanzo lakini baadaye wameanza kugeuka na kuitwa wakoloni weusi? Na kuna watu wamefikia kudiriki hadi kusema "bora mkoloni"!

Sasa, tunapotamania kuiondoa CCM na utawala wake huku tukitumaini kuwa wale watakaoingia watakuwa bora zaidi. Matumaini hayo yanajiandaa kufeli kama sheria ya pili ya thermodynamic (the law of entropy) of which my esteemed friend Pundit is very familiar with inavyotuhakikishia.

Kwa hiyo naamini tunapanga na kufikiria kuing'oa CCM ni lazima tuwe very focused kuwa hatuing'oi CCM ili tubadilishe tu (cosmetic change) bali tubadilishe kwa kilichobora. Lakini pia hatuna budi kutambua hata hicho kilichobora nacho kitavuruga (the law of entropy). Jukumu letu basi ni kuhakikisha hicho kilichobora kinazuiwa kuvuruka kwa kiasi kikubwa kama wale tuliowatoa.

To me the question is, tunajuaje kilichobora ambacho chapaswa kuchukua nafasi badala ya CCM na viongozi wake? Je tunatafuta chama au watu?
 
Naona wengi tunaelekea katika jibu la matatizo ya maendeleo katika nchi zetu. Tatizo lililopo kubwa sana ni tatizo la kikatiba basi. Tatizo la kikatiba ndilo tatizo linalopelekea hata kuwa na viongozi wenye viburi, viongozi wasiokuwa tayari kubadilika, viongozi wasiokuwa tayari kutenda yale waliohapa kuyatenda.Viozingo MAFISADI nk.

Katika hili suala bila kuwa focused hata wapinzani wakiingia mambo yataendelea kuwa yale yale.

Mnasikia kila siku waziri wa katiba akisema katiba haiwezi kubadilika mpaka sijui kipindi gani. Haya yote ni kwa sababu ameisha onja utamu uliopo akiwa na katiba isiyoweza kufanya viongozi wawajibike kwa umma.

Hivyo hivyo tukiondoa CCM leo watakao ingia bila kuwa na katiba iliyokuwa focused inayoainisha nini kifanyike ujue tumeliwa.

Lakini ikitokea ikaonekana watawala waliopo hawako tayari kukubaliana na matakwa ya wananchi kilichopo ni kutafuta njia ya kusonga mbele lakini ukijua kuwa bado hatujafika mwisho wa mapambano.

Msingi mkuu wa kumletea mwananchi/mtanzania maendeleo utaanzia kwenye sheria mama ambayo ni katiba ya nchi.
 
Wengi wetu hapa tuko ktk ukurasa mmoja ila baadhi ya wenzetu wako ktk aya tofauti. Binafsi sikatai institutional changes kuwa
ni muhimu na lazima zitokee. CCM kama ingekuwa inataka hayo mabadiliko yangekuwa yameshatokea kuanzia serikali ya awamu ya kwanza. Mpaka sasa haijaonyesha nia yoyote ile ya kuongoza mabadiliko hayo na kwa mtizamo wangu imekuwa kizingiti. Sasa kama tunayataka hayo mabadiliko na kuna kizingiti njiani kwa nini tusikiondoe?

Mimi sitaki tena CCM waongoze taifa hata kwa siku moja zaidi kwani hawastahili hata kidogo. No! No! No! God Damn them! They have blood on their hands.

Ningependelea mabadiliko ya kikatiba yaende sambamba na ya kiutawala. Lakini kama hilo haliwezekani basi ni bora waondoke kwanza halafu tutadili na hayo mengine baadae. How much longer do you people want CCM to rule?
 
Nadhani swali la msingi ambalo bila ya shaka linakuwa wazi katika hoja ya Pundit ni kuwa tuiindoe CCM ili kiwe nini? au tuiondoe CCM alimradi imeondoka halafu tufikirie tufanye nini wakishaondoka?

Mguu wenye kansa tunaukata kwanza ili kuepusha kifo. Baada ya hapo ndo tutajua tuweke mguu wa bandia,robot au atembelee magongo.

CCM wamesha-prove kuwa hawana uwezo wa kuongoza kwa sasa.Miaka 46ya madaraka imewalevya. Hivi watanzania tunahitaji nini zaidi!!
 
..."be careful what you wish for, you may receive it".Basically I am envisioning watu washaitoa CCM na tuna upinzani kwenye power bila institutional changes...

Tuseme tumedai regime change tumepata. Halafu hakuna institutional change. Chupa mpya mvinyo ule ule, kama ulivyo sema kwa utaalam mkubwa. Sawa.

Sasa hivi hatujapata institutional change wala hatujapata regime change. Sawa?

Kipi bora, chupa mpya mvinyo ule ule au mvinyo ule ule na chupa zee, lina mi cracks kwenye mdomo huwezi hata kunywa mvinyo ule ule?

Nini ubaya wa kuwa na li Sisiem jipya?
 
Back
Top Bottom