Je, Warumi alijua kwamba atakufa?

Rip
 
Kwanini unaandika kama unakimbizwa mkuu!?? Hebu tulia uandike vizuri basi, wengi tunataka kujua kuhusiana na yeye
-jirani yako ?
-rafiki yako ?
-Hii habari wewe umeipata wapi!?
 
Dah nomaa! All of us we dunno how much time we've left ndy maana tunaaswa kukesha na kuomba tukisubir nyakat zetu[emoji47]
 
Jamaa alikua ni fan wa Diamondi sanaaa.but tunaomba mwenye picha yake halic
Wapi wewe jamaa alikuwa haters wa diamond vibaya , alikuwa na mikakati na carrymastory, kuna kipind kila ubuyu ukitoka anadirect kwenye accnt ya carrymastory...!! Alikuwa timu konde
 
Asta la vista Warumi.Ulale pema peponi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…