Je Warusi wamekosa uzalendo?

Je Warusi wamekosa uzalendo?

Izia maji

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
2,997
Reaction score
5,385
Warusi wengi wameanza kukimbia nchi yao baada ya Rais Putin kutangaza rasmi kuandikisha wanajeshi wa akiba ili kupambana na Ukraine. Tiketi zote za ndege zimenunuliwa kwa hofu kuwa mipaka inaweza kufungwa na hivyo kupelekea kushindwa kutoroka vita.

Putin ametangaza kuanza vita vikali kuipiga Ukraine huku akizionya nchi za magharibi kuwa ina silaha kali na za kisasa za maangamizi ambazo wao hawana.

Hata hivyo NATO imemkebehi Putin kuwa alifanya vibaya hesabu zake kwa kuivamia Ukraine na kwamba atajutia uamuzi wake.
 
Warusi wengi wameanza kukimbia nchi yao baada ya Rais Putin kutangaza rasmi kuandikisha wanajeshi wa akiba ili kupambana na Ukraine. Tiketi zote za ndege zimenunuliwa kwa hofu kuwa mipaka inaweza kufungwa na hivyo kupelekea kushindwa kutoroka vita.

Putin ametangaza kuanza vita vikali kuipiga Ukraine huku akizionya nchi za magharibi kuwa ina silaha kali na za kisasa za maangamizi ambazo wao hawana.

Hata hivyo NATO imemkebehi Putin kuwa alifanya vibaya hesabu zake kwa kuivamia Ukraine na kwamba atajutia uamuzi wake.
Leta uthibitisho
 
Warusi wengi wameanza kukimbia nchi yao baada ya Rais Putin kutangaza rasmi kuandikisha wanajeshi wa akiba ili kupambana na Ukraine. Tiketi zote za ndege zimenunuliwa kwa hofu kuwa mipaka inaweza kufungwa na hivyo kupelekea kushindwa kutoroka vita.

Putin ametangaza kuanza vita vikali kuipiga Ukraine huku akizionya nchi za magharibi kuwa ina silaha kali na za kisasa za maangamizi ambazo wao hawana.

Hata hivyo NATO imemkebehi Putin kuwa alifanya vibaya hesabu zake kwa kuivamia Ukraine na kwamba atajutia uamuzi wake.
Kauri ya NATO ipo sahihi, ila inachochea zaidi hasira ya blaza Putin, ko hapa wakizidi kumchokonoa ipo siku ataachia nuclear kweli maana hajaanza leo kutoa tishio hilo. Acha iendelee kunyesha tuone panapo vuja😎😎😎
 
Warusi wengi wameanza kukimbia nchi yao baada ya Rais Putin kutangaza rasmi kuandikisha wanajeshi wa akiba ili kupambana na Ukraine. Tiketi zote za ndege zimenunuliwa kwa hofu kuwa mipaka inaweza kufungwa na hivyo kupelekea kushindwa kutoroka vita.

Putin ametangaza kuanza vita vikali kuipiga Ukraine huku akizionya nchi za magharibi kuwa ina silaha kali na za kisasa za maangamizi ambazo wao hawana.

Hata hivyo NATO imemkebehi Putin kuwa alifanya vibaya hesabu zake kwa kuivamia Ukraine na kwamba atajutia uamuzi wake.
Source of information au umetunga kutoka usingizi... unaota?
 
Warusi wengi wameanza kukimbia nchi yao baada ya Rais Putin kutangaza rasmi kuandikisha wanajeshi wa akiba ili kupambana na Ukraine. Tiketi zote za ndege zimenunuliwa kwa hofu kuwa mipaka inaweza kufungwa na hivyo kupelekea kushindwa kutoroka vita.

Putin ametangaza kuanza vita vikali kuipiga Ukraine huku akizionya nchi za magharibi kuwa ina silaha kali na za kisasa za maangamizi ambazo wao hawana.

Hata hivyo NATO imemkebehi Putin kuwa alifanya vibaya hesabu zake kwa kuivamia Ukraine na kwamba atajutia uamuzi wake.
Hata hivyo NATO imemkebehi Putin kuwa alifanya vibaya hesabu zake kwa kuivamia Ukraine na kwamba atajutia uamuzi wake.[emoji3064][emoji2955][emoji3064]
 
Kauri ya NATO ipo sahihi, ila inachochea zaidi hasira ya blaza Putin, ko hapa wakizidi kumchokonoa ipo siku ataachia nuclear kweli maana hajaanza leo kutoa tishio hilo. Acha iendelee kunyesha tuone panapo vuja😎😎😎
Hana huo upepo huyo kiazi
 
Tiketi za ndege kusafiri nchi ambazo ni VISA free kwa Russia mfano Uturuki ziko sold out. Nauli ya ndege kwenda nje imepanda mara mbili leo leo tangu partial mobilization ianze. Hotuba ilisema ni partial mobilization ila hati ya maandishi iliyotolewa haimaanishi hivyo.

Barabara ya kuelekea mpaka wa Finland ina foleni. Finland haijakaza sana kwa Warusi wageni, wale raia jirani wanaweza jaribu kama wana vigezo.

Wiki iliyopita msemaji wa Putin alisema hakuna mobilization, leo imetangazwa. Hotuba ilibidi itolewe jana, haikutolewa bila sababu ikatolewa leo. Sintofahamu ni nyingi
 
Back
Top Bottom