Sio chapati za kumimina yani lainiiiiPutin aje bongo achukue vijana ana mashabiki maandazi wengi sana ambao hata ukiwauliza Putin anapigania nini Ukraine hawana majibu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio chapati za kumimina yani lainiiiiPutin aje bongo achukue vijana ana mashabiki maandazi wengi sana ambao hata ukiwauliza Putin anapigania nini Ukraine hawana majibu....
Luhansk imekombolewa?!Putin ameshaingia kwenye 18 hapa anaviziwa mchina tu.
Huyu mhuni natamani achakazwe mpk nyodo zake zipungue. Ameua watu wasiokuwa na hatia huko Ukraine..Putin ameshaingia kwenye 18 hapa anaviziwa mchina tu.
Akiachia na wao wanaachiaKauri ya NATO ipo sahihi, ila inachochea zaidi hasira ya blaza Putin, ko hapa wakizidi kumchokonoa ipo siku ataachia nuclear kweli maana hajaanza leo kutoa tishio hilo. Acha iendelee kunyesha tuone panapo vuja😎😎😎
Amani ni muhimu sana hivyo tulinde amani iliyopo hapa nchini kwetuWarusi wengi wameanza kukimbia nchi yao baada ya Rais Putin kutangaza rasmi kuandikisha wanajeshi wa akiba ili kupambana na Ukraine. Tiketi zote za ndege zimenunuliwa kwa hofu kuwa mipaka inaweza kufungwa na hivyo kupelekea kushindwa kutoroka vita.
Putin ametangaza kuanza vita vikali kuipiga Ukraine huku akizionya nchi za magharibi kuwa ina silaha kali na za kisasa za maangamizi ambazo wao hawana.
Hata hivyo NATO imemkebehi Putin kuwa alifanya vibaya hesabu zake kwa kuivamia Ukraine na kwamba atajutia uamuzi wake.
Mjinga sana...watoto wa watu wanapukutika yeye kabana kimyaa....anawasongesha tu....Putin yeye si awe mstari wa mbele
Kazi kuwasakizia wenzake
Huku yeye katulia kremlin
Ova
Mbona unafananisha vitu ambavyo havifanani?Amani ni muhimu sana hivyo tulinde amani iliyopo hapa nchini kwetu
Si unajua kichaa akishafikia mahali akaona anaaibika anaona bora tufe woteHiyo nuclear anayo peke yake?
Urusi imeshindwa vita , Aibu kweli yaani !Warusi wengi wameanza kukimbia nchi yao baada ya Rais Putin kutangaza rasmi kuandikisha wanajeshi wa akiba ili kupambana na Ukraine. Tiketi zote za ndege zimenunuliwa kwa hofu kuwa mipaka inaweza kufungwa na hivyo kupelekea kushindwa kutoroka vita.
Putin ametangaza kuanza vita vikali kuipiga Ukraine huku akizionya nchi za magharibi kuwa ina silaha kali na za kisasa za maangamizi ambazo wao hawana.
Hata hivyo NATO imemkebehi Putin kuwa alifanya vibaya hesabu zake kwa kuivamia Ukraine na kwamba atajutia uamuzi wake.
Kwaiyo umesikiliza wewe ila humu tuletea hadithi tu, kwanini usingeweka hata voice note?Radio Deutsche Welle kipindi cha dunia yetu leo jioni.
Nakushauri na wewe uwe unapata current affairs kutoka radio za kimataifa usibaki nyuma kama mkia!
Source?Warusi wengi wameanza kukimbia nchi yao baada ya Rais Putin kutangaza rasmi kuandikisha wanajeshi wa akiba ili kupambana na Ukraine. Tiketi zote za ndege zimenunuliwa kwa hofu kuwa mipaka inaweza kufungwa na hivyo kupelekea kushindwa kutoroka vita.
Putin ametangaza kuanza vita vikali kuipiga Ukraine huku akizionya nchi za magharibi kuwa ina silaha kali na za kisasa za maangamizi ambazo wao hawana.
Hata hivyo NATO imemkebehi Putin kuwa alifanya vibaya hesabu zake kwa kuivamia Ukraine na kwamba atajutia uamuzi wake.
Unadhani ingekua bongo watu wasingekimbia?
Pumbavu!Kwaiyo umesikiliza wewe ila humu tuletea hadithi tu, kwanini usingeweka hata voice note?
Mpumbavu mwingine!Source?
Sakata la Russia vs Ukraine Deutsche Welle hawako neutral wako biased sana na wanatumia chombo chao kwa propaganda kama ilivyo vyombo vyote vya magharibi na hata hata Russia na wanaowaunga mkono vyombo vyao havipo neutral pia.Radio Deutsche Welle kipindi cha dunia yetu leo jioni.
Nakushauri na wewe uwe unapata current affairs kutoka radio za kimataifa usibaki nyuma kama mkia!