Je Warusi wamekosa uzalendo?

Je Warusi wamekosa uzalendo?

Kama atatumia shida iko wapi MKUU
PUT IN hata kaa atumie NYUK sababu anaakili kamili
DUNINI mjinga mmoj tu ndio aliweza tumia NYUK baada ya kuona anaenda kupoteza!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjapan alimpiga nyumbani kabisa, mzee baba akaona isiwe tabu , akadondosha nuclear na mjapan akaacha kupigana, sahivi wakipigana atakutana na mtu ambae na yeye anaweza kumpiga kwake kwa namna nyingi (vikwazo vinawapiga wao)
 
Sasa ngoma itanoga,tumechoka na maneno matupu vitendo zero
Nalog off  Z
 
Akiachia na wao wanaachia
Warusi sio wajinga hawawezi achia huu ujinga kwamba Putin atumie makombora ya nukes ili na wao wauwawe.
Wakitumia nukes ina maana na nch8 zingine zenye nukes zitaishambulia Russia. Watakaokufa ni pamoja na Russia.
Putin analijua hilo. Kuwa na codes za nukes ndio haimaanishi ndio utumie anyhow 🤔
 
We unaona sawa marekani akubali nchi yake ipigwe nuclear kwaajili ya kuitetea ukrein viongozi watakuwa na utindio wa ubongo mzozo huu kilichobakia itumike democrasia kumaliza
Sahihi kabisa , ni ngumu U.S.A kukubali hiyo hali itokee nchini mwake.
 
We unaona sawa marekani akubali nchi yake ipigwe nuclear kwaajili ya kuitetea ukrein viongozi watakuwa na utindio wa ubongo mzozo huu kilichobakia itumike democrasia kumaliza
Unadhani US hana nuclear? hahaha, hata itokee nini Russia hawezi hata kujaribu kuilenga marekani kwa nuclear, sema tu wao uhamasisha kustop mashambulizi yanayohusisha nuclear weapons, ni mbwembwe za putin, soon mtaona wanakaa mezani na kuyamaliza na hatoichukua ukraine.
 
mtoa mada nikupe pole inaonekana wewe bado ni mgeni na mainstream media za west kipindi operation inaanza media za west zilisema Russia wamebakiza chakula cha kula siku3 kwa wanajeshi wake na wakaongezea kuwa Russia wameishiwa silaha mda wowote wanarudishwa nyuma kilichofanya mpaka putin kutangaza hii partially mobilization ni kitendo cha west kuanza kutumia mpaka civillian satelite kuichunguza russia ukraine na vikosi vyake kwakuwa wanajua civillian satelite aziwezi kuwa target na kingine all Nato na EU intelligence yote ipo kyiv ndio inayotoa order mwanzo alikuwa anapigana kwa kuofia casualties kwa raia na kwenda mdogo mdogo now baada ya kutangaza vita kamili ndio mtaijua Russia rasmi ile mliyokuwa mnatanganziwa
 
Msichokijua kuwa putin anawachezea west mind game kwenye nukes narudia hakuna nchi yoyote siyo ulaya wala marekani mwenye uwezo wà kuthubutu kuingia direct ukraine kupambana na russia hakuna kiongozi atakayekubali nchi yake kuwa majivu kwa ajili ya ukraine
 
Msichokijua kuwa putin anawachezea west mind game kwenye nukes narudia hakuna nchi yoyote siyo ulaya wala marekani mwenye uwezo wà kuthubutu kuingia direct ukraine kupambana na russia hakuna kiongozi atakayekubali nchi yake kuwa majivu kwa ajili ya ukraine
Kweli ushabiki huleta upofu! Kuona huwezi sasa hata kusikia ni tatizo?
 
Msichokijua kuwa putin anawachezea west mind game kwenye nukes narudia hakuna nchi yoyote siyo ulaya wala marekani mwenye uwezo wà kuthubutu kuingia direct ukraine kupambana na russia hakuna kiongozi atakayekubali nchi yake kuwa majivu kwa ajili ya ukraine
Ukraine yenyewe inamamtosha, kama ameshindwa kuigeuza majivu jirani yake mdogo ndio ataweza NATO nzima?
 
Back
Top Bottom