Je, Watanzania kushangilia vita ya Ukraine na Russia kama mpira wa miguu ni mapungufu ya akili?

Je, Watanzania kushangilia vita ya Ukraine na Russia kama mpira wa miguu ni mapungufu ya akili?

Nafikiri ww ndio mjinga na mpumbafu wa akili.Watanzania sio kwamba wanashangilia hiyo vita,Bali wanafuatilia tu kwa ukaribu.Utakumbuka hata vita yetu na Uganda ,namkumbuka baba na ndugu zangu wakubwa walikuwa wanafuatilia kupitia redio mkulima.Utasikia BBC na sauti ya ujerumani wakiongea kwa mbwembwe.Kwamba leo vikosi vya Tanzania vikiwa na vifaru vyenye mizinga vimeiteka Entebe.Mwaka 1990 Sadam Hussein alipoivamia Kuwait taarifa za BBC na VOA na Sauti ya ujerumani zilikuwa nyingi pia.Mwaka 2003 pia vita ya USA na Iraque ilikuwa gumzo.Kabla ya hapo vita ya Iran na Iraque pia ilikuwa gumzo duniani.Vita ya siraha za sumu.Vita ilipiganwa miaka nane.Bomu linapigwa mtu anaoza dak moja.Vita ya USA na Libya pia ilikuwa moto.Wewe unasema wanashangilia au wanafuatilia kujua mshindo ni yupi.Inaonekana haujui kabisa Mambo ya vita.
Bila shaka wewe unaumwa sonona.
Kuna kufuatilia na kuna kushangilia.
Huko mitandaoni kuna memes nyingi za dhihaka na kushangilia hii vita.
FB_IMG_16459652356537200.jpg
 
Acha ushamba,hata huko G7,G20,story ni Russia vs ucraine war.sasa usijifanye ww ni smarter sanaaaa!! Kuliko hao waliowqchonganisha!!
 
Bila shaka wewe unaumwa sonona.
Kuna kufuatilia na kuna kushangilia.
Huko mitandaoni kuna memes nyingi za dhihaka na kushangilia hii vita.
View attachment 2135323View attachment 2135325View attachment 2135326View attachment 2135327

View attachment 2135328

View attachment 2135329
We ndio haupo sawa kabisa.Huo ni utani wa kawaida tu wa maisha.Yaan unataka kutufanya wote tuwe na matatizo ya akili Kama uliyonayo.Yaan watu wasifanye utani kwa kuwa Kuna vita.Ondoka kwenye akili mgando ,utaugua akili si muda mrefu.
 
Ukipita Facebook, Twitter, Instagram au kwenye usafiri wa umma utakuta watu wako wanabishana nani atakuwa mshindi na kufurahia kipigo anachokipata Mrusi au Ukrainian.

Je, ni umaskini wa akili au mali ndio hupelekea watu kushangilia mauaji?

Kuna uwezekano kama mbongo angemiliki nyuklia dunia ingepotezwa ghafla.
Mbona mnawasiwasi kwani kushapikia league ya Europe ni upungufu wa akili?? vita vinapiganwa ushabikie usishabikie vinapigwa hivyo acha watu wazungumze kuimarisha afya ya akili
 
Wa TZ ni moja ya watu wa ovyo kabisa kwenye ulimwengu
 
Unaelewa kwamba Rwanda walikuwa wanachinjana wao kwa wao kwa sababu za kijinga kama mmoja ana pua ndefu na mwingine fupi? Umoja wa Africa na Jumuiya ya Africa Mashariki walikuwa wapi wakati ndugu zao weusi kama wao wakichinjana kama kuku mipakani mwao?
Mbona wao walishangilia mauaji ya Kimbari Rwanda, kwa miezi mitatu watu wanachinjwa kama kuku, uliona Mataifa yenye nguvu duniani yakiingilia kuzuia?
 
kama kuna kijana wa kiume umri wako,anafurahia kifo cha jpm!!!unashangaa kufurahia vita ukrain???

kuna vichaa wengi taifa hili.
 
Serikali ya Tanzania haijwahi kuipa uzito unaostahili suala la afya ya akili kwa raia ila ni wakati sasa kuwekeza kwenye eneo hilo kabla hatujageuka kuwa taifa la mzaha na kuchekelea kila kitu kila wakati.
Bila shaka wewe unaumwa sonona.
Kuna kufuatilia na kuna kushangilia.
Huko mitandaoni kuna memes nyingi za dhihaka na kushangilia hii vita.
View attachment 2135323View attachment 2135325View attachment 2135326View attachment 2135327

View attachment 2135328

View attachment 2135329
 
Watu wanataniana mpk msibani haswa kwa watani zake sembuse huko nchi za mbali ?

#PuttinAnaupigaMwingi
 
Unaelewa kwamba Rwanda walikuwa wanachinjana wao kwa wao kwa sababu za kijinga kama mmoja ana pua ndefu na mwingine fupi? Umoja wa Africa na Jumuiya ya Africa Mashariki walikuwa wapi wakati ndugu zao weusi kama wao wakichinjana kama kuku mipakani mwao?
Hata hao wazungu si wanauana wao kwa wao au? Sasa katika nchi za Afrika zinazokosa hata bajeti ya kuwalipa walimu mishahara kuna mtu atatenga bajeti ya kwenda kupiga vita ya ghafla?

Ni tofauti na hizo zinazojiita dunia ya kwanza, ambao waliingia Libya na Iraq kwa mbwembwe.

Hata Iddi Amini alivyotuvamia, uliona nchi yenye nguvu duniani hata 1 ikija kutusaidia? Sana sana walichekelea tu.
 
Kwani umesikia wazungu wakiitaka dunia ya tatu kuingilia kati.
Hata hao wazungu si wanauana wao kwa wao au? Sasa katika nchi za Afrika zinazokosa hata bajeti ya kuwalipa walimu mishahara kuna mtu atatenga bajeti ya kwenda kupiga vita ya ghafla?

Ni tofauti na hizo zinazojiita dunia ya kwanza, ambao waliingia Libya na Iraq kwa mbwembwe.

Hata Iddi Amini alivyotuvamia, uliona nchi yenye nguvu duniani hata 1 ikija kutusaidia? Sana sana walichekelea tu.
 
Kwani umesikia wazungu wakiitaka dunia ya tatu kuingilia kati.
Kwani nimesema wazungu wanataka tuingilie kati? Nilichosema ni kitendo cha wao kuwa na uwezo wa kuzuia mauaji Rwanda (kijeshi na kiuchumi) lakini bado wakachagua kutofanya hivyo ndio kitendo cha kuchekelea kwenyewe huko. Legeza ubongo kwanza.
 
Binafsi vita vile vinanisikitisha sana, kwani vitatuadhiri sana sisi raia wa Nchi maskini. Sitegemei kupungua bei ya mbolea 'inorganic' kwani Russia ndio mzalishaji mkuu wa ammonium duniani, na amesitisha kuuza nje, lakini chumi za Nchi tajiri zikiyumba adhari ipo kwenye mazao yetu kupata bei ndogo!

Pamoja na Potash, Russia anaexport karibu 20%. (Potash facts)

Hakika tutakiona. Tayari Bei za mbolea zilikuwa juu, ongezea na hili la vikwazo tatizo linakuwa kubwa. Wachina watakuja kununua mahindi hapa, subiri uone.
 
Vyombo vya habari vyote Duniani habari ndo hiyo ya Ukreine na Rusia,tena vyombo vingine vikubwa vinatoa habari kishabiki kama Simba na Yanga.sisi nani iwe hajabu kwetu.
 
Ukipita Facebook, Twitter, Instagram au kwenye usafiri wa umma utakuta watu wako wanabishana nani atakuwa mshindi na kufurahia kipigo anachokipata Mrusi au Ukrainian.

Je, ni umaskini wa akili au mali ndio hupelekea watu kushangilia mauaji?

Kuna uwezekano kama mbongo angemiliki nyuklia dunia ingepotezwa ghafla.
Ni dalili ya udumavu wa akili😀😀
 
Back
Top Bottom