Je, Watoto wanaolelewa bila vipigo hawana maadili?

Mpaka Sasa hivi nyie ambao pro-western culture akiwemo na Waziri mwenyewe Bado hamjanipa maelezo yanye mantiki hili kunibadili mtazamo wangu kuhusu viboko.

Haya na wewe hapa hebu tuambie hizo njia mbadala za malezi ni kama zipi?
Tayari una msimamo wako unataka nikupe njia za malezi za nini? We hao watoto wako piga mpaka uwaue au uwatie ulemavu hakuna atayekuuliza.
 
Mtoto wako wa damu hata usipomchapa ukimuelekeza anakuelewa labda kama umebambikwa watoto
 
Ukisikia kufuga watoto ndio kama hivyo yani, mtoto anatakiwa ajimix na wenzie mtaani ajifunze hacks za maisha kama mtoto. Tunakosea sana kuwafungia watoto ndani bila kuwaacha wawe na playtime kitaani. Kama utaona ni shida ruhusu watoto wengine waje kucheza na watoto wako nyumbani hata kwa masaa machache tu.
 
Vipigo au kutokuwa na vipigo haisaidii peke yake kujenga maadili ya mtu inategemea na mambo mengi .Tabia njema ya mtoto anajifunza kutoka kwa wazazi na watu wanaomzunguka
 
Tayari una msimamo wako unataka nikupe njia za malezi za nini? We hao watoto wako piga mpaka uwaue au uwatie ulemavu hakuna atayekuuliza.
Ndio jibu gani Sasa hili unanipa?? Kwani ukinijibu hapa halafu nikaamua Mimi mwenyewe niifuate hiyo njia yako ya kisasa ya malezi au nibaki na hivi ninavyoamini Kuna tatizo???

Na pia nani amekwambia kwamba tunapoadhibu mtoto huwa tunampiga kama tunapiga mwizi?? Mbona mna akili ndogo sana nyie pro-western culture?? Kwanini mna exaggerate kauli za watu???? Halafu nimeona Kuna comment Moja hapo hadi Dkt. Gwajima D naye kacomment hivi hivi, eti mtoto anapigwa mpaka anatiwa ulemavu??? Nani kawaambieni nyie na akili zenu za kuiga iga hizo???

Nakuuliza Tena nitajie njia mbadala hata moja ya kumuadhibu mtoto pale anapoonesha utovu wa nidhamu.... Na sitaki uniambie zile za mara sijui unamnyima juice, sijui unamnyima hela ya kula shule,.... Yaani nataka approach ambayo iko more convenient ya kurumdisha mtoto kwenye mstari pale anapokengeuka.
 
Wazazi wengi wa kibongo hasa Hawa ambao Wana vimaisha maisha wanaonaga kumfungia mtoto geti muda wote na kumjazia makololo Kibao ya kuichezea ndio namna sahihi ya kumkuza mtoto.... Huwa wanaona mtoto wao akijichanganya na madogo wengine hasa wanaotoka familia za kikayumba ni kuwaweka watoto wao kwenye risk ya kuvuta bangi na kujiingiza kwenye tabia nyingine za ajabu ajabu.

Matokeo yake watoto wao wanakuwa kama mabroilers maana hawajui Kashi Kashi zozote za maisha,.. Wakifika ukubwani halafu bahati mbaya wazazi wao wawe hawajaandaa mfumo mzuri wa maisha wanaishia kuteseka sana na wengine ndio wakuwaga machoko.
 
Inawezekana wewe ni product ya kupigwa sana utotoni maana 'violence breeds violence'.
 
NAungana na wewe.

Kupiga mtoto sio suluhu
 
Bro wazungu na jamii nyingne sio kwamba hakuna wezi, ni sheria zao ndo ziko vzuri znawabana sana so mtu akifikria kuiba au kubaka….Adhabu zao ni kali sana.
 
Inawezekana wewe ni product ya kupigwa sana utotoni maana 'violence breeds violence'.
Wewe akili huna na shenzy kabisa.

Unaona Sasa madhara ya kulelewa kama broiler unavyokuja kuwa na akili za kindezi ukubwani???

Nakuuliza swali lenye mantiki, badala ya kujibu kimantiki kama mtu mwenye akili timamu ila wewe unaleta mihemko na kuandika upuuzi hapa?? Halafu ndio unajinasibu kwamba eti umepitia malezi sahihi??

Mtu aliyepitia malezi sahihi hawezi kuwa na ubongo dhaifu kiasi hiki kama wewe, wewe hicho kichwa chako kitakuwa kimejaa kiburi,madeko,makamasi na mafuta ya chips...

AKILI HUNA BLOILER WEWE
 
Nakazia
 

I believe what you've written is the best of you. Congratulations for this roaring achievement!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…