Je, watoto watanichukia

Je, watoto watanichukia

Unampigaje mbele ya watoto? Wewe ni boya
 
Ndio Rahaa na Karhaa za PinguZaMaisha,,,tueleze na mzuri yake pia inawezekana tukakupokea majukumu kama hutojali
 
Si tulikubaliana ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu!!!
 
Huyo mkeo mwehu tu Kama wewe,anavumiliaje kukaa na mme anayepiga!!! Unarahisisha kabisaa eti vibao viwili vitatu......nyoooooko weeee
Wewe baba Ako alikua hakunyuki mbwa wewe,? MBNA Mungu anatoa vipigo kwa watoto wake na still anawapenda....acha kutuletea siasa zako.....
 
Ndio maana wanaume wamekuwa wavivu kuoa maana wanakutana na tabia za hovyo sana kutoka huu upande wa pili wa jinsia.

Wanawake wa siku hizi adabu ya ndoa ni sifuri kabisa.
 
Hapo lazima watoto wajue we mbaya tu kwan hamuwez ongea chumbani kwenu yakaisha mpaka umpige alokuambia mwanamke anapigw nani?
Kuna muda inafika mwanamke anajaa kwenye space yako unajaribu kumpa kila aina ya warning anapuuza namna rahisi ni kumchapa makofi.

Mimi sikupigi nakuondoa hapo ndani uende kwenu ukafunzwe adabu kwanza ndipo urejee ukikataa nakupiga na utaondoka na watoto watabakia na dada siwezi ruhusu watoto wangu kukaa na mama asiyejitambua kimaadili utawafunza upumbavu watoto wangu.
 
Kwa nini umpige MTU mzima mwenzako?
Kama hamuelewani si muachane?

Kimsingi Mwanaume anayepiga na Mwanamke anayekubali kupigwa huwaga wote nawaona hamnazo!

MTU mzima na Akili zake unampigaje?
Samahani mkuu

Una nyuzi ngapi ambazo husapoti mwanamke kupigwa humu?!

Au mawazo ya jana si ya leo?
 
Wewe baba Ako alikua hakunyuki mbwa wewe,? MBNA Mungu anatoa vipigo kwa watoto wake na still anawapenda....acha kutuletea siasa zako.....
Kwa hiyo wewe ni baba kwa mke wako???? Piga wanao siyo mkeo maskini wewe,wanaume mliofulia mna makasirikoooo balaaaa
 
Ndio maana wanaume wamekuwa wavivu kuoa maana wanakutana na tabia za hovyo sana kutoka huu upande wa pili wa jinsia.

Wanawake wa siku hizi adabu ya ndoa ni sifuri kabisa.
Na wengine wamefika mbaaali zaidi wanaolewaaaa
 
Habari zenu Wana Jf

Tumekuwa tuna ugomvi Mara kadhaa na wife me sio muongeaji Sana..nikionaga ugomvi ni mkubwa nakaa kimya au naondoka lkn Kama mmegombana usiku ujue uwezi kulala ataongea na kulaumu kila kitu.

Wife ana tabia mkigombana tu au ukampiga vibao viwili vitatu anakimbilia kuwakumbatia watoto huku analia....inabid nijishushe tu mbele ya watoto wasione mshua anazingua


Human shields, jiepushe kumpiga mkeo mbele ya watoto.
 
Habari zenu Wana Jf

Tumekuwa tuna ugomvi Mara kadhaa na wife me sio muongeaji Sana..nikionaga ugomvi ni mkubwa nakaa kimya au naondoka lkn Kama mmegombana usiku ujue uwezi kulala ataongea na kulaumu kila kitu.

Wife ana tabia mkigombana tu au ukampiga vibao viwili vitatu anakimbilia kuwakumbatia watoto huku analia....inabid nijishushe tu mbele ya watoto wasione mshua anazingua
Mna umri gani? Kwani hamuwezi kuzungumza changamoto zenu bila kugombana? Watoto hawapaswi kushuhudia malumbano ya wazazi, na ikiwezekana subirini watoto walale ndio mzungumze au zungumzeni nje ya nyumbani pasipo kugombana

Nakumbuka kuna siku Mr alinisemesha kwa ukali mbele ya watoto ilikua balaa, ingawa sikumjibu lakini watoto wa kiume wote walinikimbilia wakanikumbatia kama vile wananilinda halafu huyu mdogo wa mwisho akamwambia baba yake you are not a good dad, na tangu siku hiyoakawa anamsimulia kila mtu kwamba baba amemfokea mama, ilimchukua muda kusahau maana kila akiwasemesha watoto wanamuukizakwa nini umemfokea mama

Tangu siku hiyo tulijifunza kutokuzungumza kwa malumbano au kwa hisia mbele za watoto, na mara nyingi hata kama tunatofautiana basi tunajitahidi watoto wasijue kabisa

Pia mshauri mkeo aache tabia ya kujiliza mbele za watoto, anawapa trauma ambayo haiwahusu na anawajengea picha ambayo sio nzuri, kwa wakati mwingine itafanya watoto waone kama vile mama anaonewa muda wote na pia itawajengea picha kwamba wewe ni mbaya, kwa kifupi inaathiri makuzi ya watoto wenu

Tafuteni suluhu ya mambo yenu pasipo kuwaumiza watoto la sivyo na nyie mnakua tu kama watoto, akili za kitoto
 
Habari zenu Wana Jf

Tumekuwa tuna ugomvi Mara kadhaa na wife me sio muongeaji Sana..nikionaga ugomvi ni mkubwa nakaa kimya au naondoka lkn Kama mmegombana usiku ujue uwezi kulala ataongea na kulaumu kila kitu.

Wife ana tabia mkigombana tu au ukampiga vibao viwili vitatu anakimbilia kuwakumbatia watoto huku analia....inabid nijishushe tu mbele ya watoto wasione mshua anazingua
huyo mkeo anahitaji mafunzo/ushauri. Mtafutie watu wamkalishe wamweleze madhara ya tabia yake;

1-ukubwani hao watoto hawatakujali, kukuthamini wala kukuheshimu wewe baba. Watamthamini, kumjali na kumheshimu mama yao tu.

2-Itakuwa bahati sana hata wakifanikiwa socially even academically maana mama yao anawawekea uzio wa kukanywa pale wanapokosea. watajiona wana haki ya kufany akila aina ya upuuzi. Siku mama yao atakaposhtuka itakuwa late sana.
 
Mkuu mwanaume ni msimamo mke akizingua lazima achezee kipigo kidog
Hii kauli inathibitisha huyu ni mpigaji. Uzuri wa watoto wanajifunza Kwa kuona Na kusikia hawahitaji wajazwe maneno.
As long as uko tayari Kwa chochote it's okay but fikiria mental health ya hao watoto.
 
Back
Top Bottom