Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Kwa kweli Mimi ni mwanasimba kindaki ndaki lakini nimesikitishwa na timu yangu kuja usiku wa manane kuja kufanya mazoezi ya mwisho huku ikaza busi la wazee ( vigagua) idadi inayozidi wachezaji
Swali ni Je !! Uongozi wa Simba ulileta wachezaji wafanye mazoezi.....au ulileta waganga wafanye mazoezi!????
Technically
Simba wamechungulia mechi ...wamekutana na kichapo.. ....makolo wakaona ..Chakufia nini ngoja nikimbie mtani
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Swali ni Je !! Uongozi wa Simba ulileta wachezaji wafanye mazoezi.....au ulileta waganga wafanye mazoezi!????
Technically
Simba wamechungulia mechi ...wamekutana na kichapo.. ....makolo wakaona ..Chakufia nini ngoja nikimbie mtani
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app