kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Katika mazoezi ni lazima pawepo na washangiliaji hasa wazee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikuja kupiga sarakasiKwa kweli Mimi ni mwanasimba kindaki ndaki lakini nimesikitishwa na timu yangu kuja usiku wa manane kuja kufanya mazoezi ya mwisho huku ikaza busi la wazee ( vigagua) idadi inayozidi wachezaji
Swali ni Je !! Uongozi wa Simba ulileta wachezaji wafanye mazoezi.....au ulileta waganga wafanye mazoezi!????
Technically
Simba wamechungulia mechi ...wamekutana na kichapo.. ....makolo wakaona ..Chakufia nini ngoja nikimbie mtaniView attachment 3263150
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hiyo ni kwa kolo pekeeKatika mazoezi ni lazima pawepo na washangiliaji hasa wazee.
Ulikuwa ni muda wa kulala ...so mliwatesa wazeeKatika mazoezi ni lazima pawepo na washangiliaji hasa wazee.
Weka ushahidi wa hao wazee kuwepo kwenye basi, vinginevyo wacha utoto.Kwa kweli Mimi ni mwanasimba kindaki ndaki lakini nimesikitishwa na timu yangu kuja usiku wa manane kuja kufanya mazoezi ya mwisho huku ikaza busi la wazee ( vigagua) idadi inayozidi wachezaji
Swali ni Je !! Uongozi wa Simba ulileta wachezaji wafanye mazoezi.....au ulileta waganga wafanye mazoezi!????
Technically
Simba wamechungulia mechi ...wamekutana na kichapo.. ....makolo wakaona ..Chakufia nini ngoja nikimbie mtaniView attachment 3263150
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Tatizo ni kufanyiwa fujo na makomandoo wa Yanga, wakiachiwa watazoea kuifanyia Simba fujo na kujiona wao hawagusiki, lazima kuonyeshana ukubwa Simba siyo ya kuchezewa chezewa na wahuni wavuta bangi.Mm pia ni Simba kindaki ndaki.
Na sijapendezwa na timu kususia mechi.
Ndio wamegomewa kuingia uwanjani.
Ila ule uwanja wameshacheza mechi nying.
Wanaumudu. Hiyo kutofanya mazoez kwenye ule uwanja siku 1 kabla ya mechi husik hakuwez ondoa fitness kwa wachezaji.
Ushahidi wa picha tafadhariKwa kweli Mimi ni mwanasimba kindaki ndaki lakini nimesikitishwa na timu yangu kuja usiku wa manane kuja kufanya mazoezi ya mwisho huku ikaza busi la wazee ( vigagua) idadi inayozidi wachezaji
Swali ni Je !! Uongozi wa Simba ulileta wachezaji wafanye mazoezi.....au ulileta waganga wafanye mazoezi!????
Technically
Simba wamechungulia mechi ...wamekutana na kichapo.. ....makolo wakaona ..Chakufia nini ngoja nikimbie mtaniView attachment 3263150
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Umekosa picha ya wazee wachawi?
Ushahidi huu hapa mkuuWeka ushahidi wa hao wazee kuwepo kwenye basi, vinginevyo wacha utoto.
Ushahidi huu hapa mkuuWeka ushahidi wa hao wazee kuwepo kwenye basi, vinginevyo wacha utoto.
Hii hapa mkuu....wazee wafupi wa Simba wakiwa na mbuziUshahidi wa picha tafadhari
HiiUmekosa picha ya wazee wachawi?
Uzao wa amphibians mna hitilafu kwa ubongo
Hata binti wa chekechea hawezi kufanya utoto kama uufanyao we 🐸
Una maanisha nn mkuuHata binti wa chekechea hawezi kufanya utoto kama uufanyao we [emoji196]
Jitahidi uachane na ujinga wa kitoto
Hii waonyeshe watoto wenzio punguza utoto. Yanga mumeyakanyaga safari hii. Hakuna point za mezani msipoleta timu imekula kwenu. Aliyewatuma mabaunsa kwenda kuifanyia Simba fujo ameikosea pakubwa Yanga.
Unasumbuliwa na utoto mwingi