Je, wazee wa Simba nao walikuja kufanya mazoezi?

Je, wazee wa Simba nao walikuja kufanya mazoezi?

Kwa kweli Mimi ni mwanasimba kindaki ndaki lakini nimesikitishwa na timu yangu kuja usiku wa manane kuja kufanya mazoezi ya mwisho huku ikaza busi la wazee ( vigagua) idadi inayozidi wachezaji

Swali ni Je !! Uongozi wa Simba ulileta wachezaji wafanye mazoezi.....au ulileta waganga wafanye mazoezi!????

Technically
Simba wamechungulia mechi ...wamekutana na kichapo.. ....makolo wakaona ..Chakufia nini ngoja nikimbie mtaniView attachment 3263150

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Walikuja kupiga sarakasi
 
Kwa kweli Mimi ni mwanasimba kindaki ndaki lakini nimesikitishwa na timu yangu kuja usiku wa manane kuja kufanya mazoezi ya mwisho huku ikaza busi la wazee ( vigagua) idadi inayozidi wachezaji

Swali ni Je !! Uongozi wa Simba ulileta wachezaji wafanye mazoezi.....au ulileta waganga wafanye mazoezi!????

Technically
Simba wamechungulia mechi ...wamekutana na kichapo.. ....makolo wakaona ..Chakufia nini ngoja nikimbie mtaniView attachment 3263150

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Weka ushahidi wa hao wazee kuwepo kwenye basi, vinginevyo wacha utoto.
 
Mm pia ni Simba kindaki ndaki.
Na sijapendezwa na timu kususia mechi.

Ndio wamegomewa kuingia uwanjani.
Ila ule uwanja wameshacheza mechi nying.

Wanaumudu. Hiyo kutofanya mazoez kwenye ule uwanja siku 1 kabla ya mechi husik hakuwez ondoa fitness kwa wachezaji.
Tatizo ni kufanyiwa fujo na makomandoo wa Yanga, wakiachiwa watazoea kuifanyia Simba fujo na kujiona wao hawagusiki, lazima kuonyeshana ukubwa Simba siyo ya kuchezewa chezewa na wahuni wavuta bangi.
 
Kwa kweli Mimi ni mwanasimba kindaki ndaki lakini nimesikitishwa na timu yangu kuja usiku wa manane kuja kufanya mazoezi ya mwisho huku ikaza busi la wazee ( vigagua) idadi inayozidi wachezaji

Swali ni Je !! Uongozi wa Simba ulileta wachezaji wafanye mazoezi.....au ulileta waganga wafanye mazoezi!????

Technically
Simba wamechungulia mechi ...wamekutana na kichapo.. ....makolo wakaona ..Chakufia nini ngoja nikimbie mtaniView attachment 3263150

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ushahidi wa picha tafadhari
 
Weka ushahidi wa hao wazee kuwepo kwenye basi, vinginevyo wacha utoto.
Ushahidi huu hapa mkuu
1741629535039.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
simba na tiefuefu wanaongozwa na hisia bila logic.. ndo maana wamefanya maamuzi ambayo hayana muendelezo wake mpaka sasa hivi ni kama wamestack hawajui warudie mechi au wagawe point au wampige mtu faini [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom