Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 806
- 1,537
Mm pia ni Simba kindaki ndaki.
Na sijapendezwa na timu kususia mechi.
Ndio wamegomewa kuingia uwanjani.
Ila ule uwanja wameshacheza mechi nying.
Wanaumudu. Hiyo kutofanya mazoez kwenye ule uwanja siku 1 kabla ya mechi husik hakuwez ondoa fitness kwa wachezaji.
Na sijapendezwa na timu kususia mechi.
Ndio wamegomewa kuingia uwanjani.
Ila ule uwanja wameshacheza mechi nying.
Wanaumudu. Hiyo kutofanya mazoez kwenye ule uwanja siku 1 kabla ya mechi husik hakuwez ondoa fitness kwa wachezaji.