Je, wazee wa Simba nao walikuja kufanya mazoezi?

Je, wazee wa Simba nao walikuja kufanya mazoezi?

Mm pia ni Simba kindaki ndaki.
Na sijapendezwa na timu kususia mechi.

Ndio wamegomewa kuingia uwanjani.
Ila ule uwanja wameshacheza mechi nying.

Wanaumudu. Hiyo kutofanya mazoez kwenye ule uwanja siku 1 kabla ya mechi husik hakuwez ondoa fitness kwa wachezaji.
 
Kwa kweli Mimi ni mwanasimba kindaki ndaki lakini nimesikitishwa na timu yangu kuja usiku wa manane kuja kufanya mazoezi ya mwisho huku ikaza busi la wazee ( vigagua) idadi inayozidi wachezaji

Swali ni Je !! Uongozi wa Simba ulileta wachezaji wafanye mazoezi.....au ulileta waganga wafanye mazoezi!????

Technically
Simba wamechungulia mechi ...wamekutana na kichapo.. ....makolo wakaona ..Chakufia nini ngoja nikimbie mtaniView attachment 3263150

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kuangalia Vijana wao wakifanya mazoezi. Hatutaki maswali ya kipuuzi! Kwani huko kwenu mnaogopa wazee na mbuzi?
 
Wewe ni Falasi sana ila tu umekutana na UBAYA UBWELA
 
Bila picha au video ya hilo basi la lililobeba hao wazee , hiki ulichokiandika hapa ni upuuzi tu kama ulivyo upuuzi mwingine
 
huku ikaza busi la wazee ( vigagua) idadi inayozidi wachezaji
Tulia uandike vizuri na usisahau kuambatanisha na picha za vigagua ili tuamini kuwa umeshahama kwa shemejio sasa upo kwa shamba la Haji as a shamba boy
 
Kwa kweli Mimi ni mwanasimba kindaki ndaki lakini nimesikitishwa na timu yangu kuja usiku wa manane kuja kufanya mazoezi ya mwisho huku ikaza busi la wazee ( vigagua) idadi inayozidi wachezaji

Swali ni Je !! Uongozi wa Simba ulileta wachezaji wafanye mazoezi.....au ulileta waganga wafanye mazoezi!????

Technically
Simba wamechungulia mechi ...wamekutana na kichapo.. ....makolo wakaona ..Chakufia nini ngoja nikimbie mtaniView attachment 3263150

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Yap
 
Mimi ni shabiki wa Simba, ila siungo mkono wazo la kususia mechi. Hii ni dalili ya wazi kabisa ya uoga uliopitiliza.
T/MKUU, mimi ni YANGA, sijapendezwa na kitendo cha kuzuia wachezaji wenu wasipige tizi kwa dhahania za kufanyika vitendo vya kishirikina 🚮
 
Mm pia ni Simba kindaki ndaki.
Na sijapendezwa na timu kususia mechi.

Ndio wamegomewa kuingia uwanjani.
Ila ule uwanja wameshacheza mechi nying.

Wanaumudu. Hiyo kutofanya mazoez kwenye ule uwanja siku 1 kabla ya mechi husik hakuwez ondoa fitness kwa wachezaji.
Ilikuwa ni jambo la aibu Kwa makolo

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom