Sangamwalogesha
Member
- Mar 10, 2025
- 57
- 57
Kwa maana Simba hakuna mwenye akili?Hakuna Mwana Simba kama wewe wewe ni Yanga tena Pashkuna na kama hauna Picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maana Simba hakuna mwenye akili?Hakuna Mwana Simba kama wewe wewe ni Yanga tena Pashkuna na kama hauna Picha
Je mabaunsa watatu ndo waliistopisha timu nzima ....+ Na wazee wafupiHii waonyeshe watoto wenzio punguza utoto. Yanga mumeyakanyaga safari hii. Hakuna point za mezani msipoleta timu imekula kwenu. Aliyewatuma mabaunsa kwenda kuifanyia Simba fujo ameikosea pakubwa Yanga.
Kabisa mkuusimba na tiefuefu wanaongozwa na hisia bila logic.. ndo maana wamefanya maamuzi ambayo hayana muendelezo wake mpaka sasa hivi ni kama wamestack hawajui warudie mechi au wagawe point au wampige mtu faini [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana mkuu you quote me wrongUnasumbuliwa na utoto mwingi
No kanuni zitaongeaKwa hiyo ikatokea kesi kwenda FIFA ndio mtajitete hivyo.
Kuwa na akili ni uamuzi tu..
Inakera sana hiiMazee mazee yote yaliyopo kwenye vilabu vya mpira wa miguu ni ya kutimuliwa, yanaedekeza imani za kishirika kama ajira zao vilabuni. Wakacheze bao na kunywa kahawa vijiweni hawana kazi za kufanya kilabuni zaidi ya ushirikina. Kwani wanaajiri? Wanasajili? Wanakuza vipaji? Fukuza wazee wote vilabuni hawana kazi za kufanya ni wanga, wachawi na vigagula, wanadumaza maendeleo ya soka
Kwamba nisiseme ukweli??Kuwa na akili ni uamuzi tu..
Amua sasa kukua.