Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 806
- 1,537
Kuangalia Vijana wao wakifanya mazoezi. Hatutaki maswali ya kipuuzi! Kwani huko kwenu mnaogopa wazee na mbuzi?Kwa kweli Mimi ni mwanasimba kindaki ndaki lakini nimesikitishwa na timu yangu kuja usiku wa manane kuja kufanya mazoezi ya mwisho huku ikaza busi la wazee ( vigagua) idadi inayozidi wachezaji
Swali ni Je !! Uongozi wa Simba ulileta wachezaji wafanye mazoezi.....au ulileta waganga wafanye mazoezi!????
Technically
Simba wamechungulia mechi ...wamekutana na kichapo.. ....makolo wakaona ..Chakufia nini ngoja nikimbie mtaniView attachment 3263150
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Tulia uandike vizuri na usisahau kuambatanisha na picha za vigagua ili tuamini kuwa umeshahama kwa shemejio sasa upo kwa shamba la Haji as a shamba boyhuku ikaza busi la wazee ( vigagua) idadi inayozidi wachezaji
YapKwa kweli Mimi ni mwanasimba kindaki ndaki lakini nimesikitishwa na timu yangu kuja usiku wa manane kuja kufanya mazoezi ya mwisho huku ikaza busi la wazee ( vigagua) idadi inayozidi wachezaji
Swali ni Je !! Uongozi wa Simba ulileta wachezaji wafanye mazoezi.....au ulileta waganga wafanye mazoezi!????
Technically
Simba wamechungulia mechi ...wamekutana na kichapo.. ....makolo wakaona ..Chakufia nini ngoja nikimbie mtaniView attachment 3263150
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Acha porojo we amphibianTimu imeleta bus la wachezaji.....basi lingine limejaa wazee ....mbuzi na kuku.....vyanin vyote hivyo
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
T/MKUU, mimi ni YANGA, sijapendezwa na kitendo cha kuzuia wachezaji wenu wasipige tizi kwa dhahania za kufanyika vitendo vya kishirikina 🚮Mimi ni shabiki wa Simba, ila siungo mkono wazo la kususia mechi. Hii ni dalili ya wazi kabisa ya uoga uliopitiliza.
Ilikuwa ni jambo la aibu Kwa makoloMm pia ni Simba kindaki ndaki.
Na sijapendezwa na timu kususia mechi.
Ndio wamegomewa kuingia uwanjani.
Ila ule uwanja wameshacheza mechi nying.
Wanaumudu. Hiyo kutofanya mazoez kwenye ule uwanja siku 1 kabla ya mechi husik hakuwez ondoa fitness kwa wachezaji.
It's unprofessionalKuangalia Vijana wao wakifanya mazoezi. Hatutaki maswali ya kipuuzi! Kwani huko kwenu mnaogopa wazee na mbuzi?
Waliona itakuwa aibu .....as u know Yanga is the icon of bongo soccerKwa hiyo Yanga waliogopa waganga
Walizingua sanaWajinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini.
Ki vp mkuuWewe ni Falasi sana ila tu umekutana na UBAYA UBWELA
Unataka Hadi pichaBila picha au video ya hilo basi la lililobeba hao wazee , hiki ulichokiandika hapa ni upuuzi tu kama ulivyo upuuzi mwingine
Kwamba huamnAcha porojo we amphibian
Hebu weka hapa picha ya hao wazee na zana zao zote
Acha porojo weka picha hapa