Labda Siku atakayomjibu hovyo Boss wake ambayo naiona haiko mbali ndipo ataondolewa katika Wizara aliyoko ili Watanzania tupumzike na Dharau zake, Kiburi chake na Ushamba wake.
Labda Siku atakayomjibu hovyo Boss wake ambayo naiona haiko mbali ndipo ataondolewa katika Wizara aliyoko ili Watanzania tupumzike na Dharau zake, Kiburi chake na Ushamba wake.
Hakuna jambo linaudhi kama kufundisha / kuwaeleza jambo wanafunzi wasio na utambuzi wa uelewa, hakika utaishia kuwatukana tu.
Binafsi namuelewa sana Dr. Mwigulu.
Hakuna jambo linaudhi kama kufundisha / kuwaeleza jambo wanafunzi wasio na utambuzi wa uelewa, hakika utaishia kuwatukana tu.
Binafsi namuelewa sana Dr. Mwigulu.