Je, Waziri wa Utawala Bora, Mohamed Mchengerwa ni mkwe wa Rais Samia?

Je, Waziri wa Utawala Bora, Mohamed Mchengerwa ni mkwe wa Rais Samia?

Trust None

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
1,260
Reaction score
4,419
Kuna rumours za wanamitandao na wanaharakati wanaodai kuwa Mohamed Mchengerwa aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Utawala Bora ni mkwe wa Rais, ameoa binti yake ambaye ni Mbunge viti maalum kutoka Zanzibar. Pia Mohamed inadaiwa kuwa ni Msimamizi Mkuu wa utendaji wa TISS.

Tumekuwa tukiwaandama marais waliopita kuwa wanateua ndugu zao, je na rais wetu anapita mulemule?

Binafsi sina shaka na uteuzi wake kutokana na CV yake. Pamoja na vigezo vingine, mtu huteuliwa kutokana na CV yake.
Screenshot_20210401-093247.png
 
Kuna rumours za wanamitandao na wanaharakati wanaodai kuwa Mohamed Mchengerwa aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Utawala Bora ni mkwe wa Rais, ameoa binti yake na pia ni Msimamizi Mkuu wa utendaji wa TISS. Tumakeuwa tukiwaandama marais waliopita kuwa wanateua ndugu zao, je na rais wetu anapita mulemule?

Binafsi sina shaka na uteuzi wake kutokana na CV yake. Pamoja na vigezo vingine, mtu huteuliwa kutokana na CV yake.
View attachment 1740159
Kuna siku nilimsikia muheshimiwa raisi akisema wanaume wa Zanzibar wambeya, sasa sijui alimaanisha na watu kama nyie?
 
Hata mie nikipata nafasi natengeneza kwangu kwanza
Jiwe aliwahi kusema kuwa anaanza kwanza kuwapatia kwanza wabunge wa ccm wakishiba ndiyo anawakumbuka wapinzani
 
Wrong Question ?

Nadhani swali sahihi ni kama anaweza ?

Kama kuna wawili wote wanaweza na wanavigezo sawa ila mmoja unamfahamu zaidi (hadi amekuwa mkwe wako) sioni ubaya kumchukua unless otherwise matatumia kujuana kwenu kuibia taifa..
 
Na vile vile ni mkuu wa ile idara upande wa mjengoni pale.
Naomba niishie hapo
 
Back
Top Bottom