Nuraty J
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 1,729
- 3,831
safi sana, nadhani hatomuangusha mama mkwe,atapiga kaziNdio..ni Mkwe wa Rais ..kamuoa Binti yake na Rais amabye pia ni Mbungee wa Viti Maalum katika Bunge la JMT kutoka ZNZ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
safi sana, nadhani hatomuangusha mama mkwe,atapiga kaziNdio..ni Mkwe wa Rais ..kamuoa Binti yake na Rais amabye pia ni Mbungee wa Viti Maalum katika Bunge la JMT kutoka ZNZ
NepotismSasa mnataka ndugu wa rais wao wasipate kazi sababu ni ndugu wa rais?
Kikubwa utendaji tuu
Chui habadiliki madoaXxxxxxxxx Ooooh ni ile,ooooh ni ileeeeeeeeeeee.
Masters yake nayo ya mwaka mmoja[emoji848]Ina maana huyu jamaa alianza kazi Kama register officer kabla hajapata degree 2002 au ndo alianza mafekechee kitambo
Hakika.Chui habadiliki madoa
Bora kulindwa na mwanao, utakuwa unauhakika zaidi wa usalama wakoHata ingekuwa ni Hawara yake ( kwa Mfano ) kama Kiutendaji ni Mtu angemteua wala nisingehoji kwani naangalia Kazi na si mengineyo. Huwezi Kumfurahisha kila Mswahili ( Mtanzania ) hasa ukiwa ni Rais ( Kiongozi ) nchini Tanzania.
Mlivyo Wanafiki mbona hamhoji Marais wenu waliopita ambao kuanzia Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete nao pia hawakuteua tu Wakwe zao bali walienda mbali zaidi na Kuteua Ndugu zao, Watoto wao wa Nje, Mashemeji na hasa hasa Mahawara zao wengi tu?
Tuhoji tu Mambo yenye Tija Kiutendaji.
Ha ha ha pangewaka moto mitandaoni!Magu angeteua ndg yake kelele zingepigwa balaa ila kwa huyu mama wapinzani wanasema kama huyo ndg yake anachapa kazi hamna tabu.
Siasa ni ukuda sana aisee.
Two wrongs do not make a right.hata kama kweli kuna ubaya gani? mbona toka enzi za marehem Jpm alishakuwa waezir.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni PhD candidate na hajamaliza kusoma badoKumbe ana PhD mbona hajiiti Dr
Sawa sawa, amalizie umri unamruhusuNi PhD candidate na hajamaliza kusoma bado
Sawa sawa, amalizie umri unamruhusu
Tangu ujiunge humu leo ndo nimeona umeongea tijaKikubwa awe na vigezo na ni mtumishi mwema
Kuna rumours za wanamitandao na wanaharakati wanaodai kuwa Mohamed Mchengerwa aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Utawala Bora ni mkwe wa Rais, ameoa binti yake ambaye ni Mbunge viti maalum kutoka Zanzibar. Pia Mohamed inadaiwa kuwa ni Msimamizi Mkuu wa utendaji wa TISS.
Tumekuwa tukiwaandama marais waliopita kuwa wanateua ndugu zao, je na rais wetu anapita mulemule?
Binafsi sina shaka na uteuzi wake kutokana na CV yake. Pamoja na vigezo vingine, mtu huteuliwa kutokana na CV yake.
View attachment 1740159
Utakuta baadae hadi binti naye wote wanakuwa PhD holders. Mtoto anazaliwa baba, mama na bibi wana PhD.PhD kafuata nyayo za Mama Mkwe, mwendo wa kobe bora ufike.