Je, Waziri wa Utawala Bora, Mohamed Mchengerwa ni mkwe wa Rais Samia?

Je, Waziri wa Utawala Bora, Mohamed Mchengerwa ni mkwe wa Rais Samia?

wee we we Mama kasema tukutane baada ya jumatatu ya Pasaka
naona ndio zamu yao, maana VP kasema Makatibu na Manaibu wana viugomvi vya ajabuajabu, huyo atang'oka tu hawezi kaa na waziri Mnyiramba
Ngoja pasaka iishe tushuhudie huo mtanange
 
Angemteua mwanae ambae nae ni mbunge na msomi mzuri bado ingekuwa shida tu. Pale ilikuwa lazima aweke mtu wake ambae anamuamini.
Hajafanya kosa hapo maana unajiwekea mtu unaye muamini kuwa piga ua hawezi kukuzunguka
 
Kuna rumours za wanamitandao na wanaharakati wanaodai kuwa Mohamed Mchengerwa aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Utawala Bora ni mkwe wa Rais, ameoa binti yake ambaye ni Mbunge viti maalum kutoka Zanzibar. Pia Mohamed inadaiwa kuwa ni Msimamizi Mkuu wa utendaji wa TISS.

Tumekuwa tukiwaandama marais waliopita kuwa wanateua ndugu zao, je na rais wetu anapita mulemule?

Binafsi sina shaka na uteuzi wake kutokana na CV yake. Pamoja na vigezo vingine, mtu huteuliwa kutokana na CV yake.
View attachment 1740159
Msimamia uchaguzi🤣🤣
 
Kuna ka harufu kama jamaa kaunga unga elimu - Kampala International University??
 
Subirini uchaguzi wa mtaa uone wakatavyooshooshaa...mkwe tena

Ova
 
Back
Top Bottom