Je, Waziri wa Utawala Bora, Mohamed Mchengerwa ni mkwe wa Rais Samia?

Je, Waziri wa Utawala Bora, Mohamed Mchengerwa ni mkwe wa Rais Samia?

Bado ipo inpitika vizuri tu siku hizi kuna noah zinatoka Ngarambe-Utete.[emoji23][emoji23]Mzee baba kumbe ulifika mpaka kule Kingupira selou!
Daaa mwanangu nilifika pale nikaweka kambi nikatoka hapo nikaenda upande wa pili kuna Ngarambi.

Nikaweka kambi na kutoka hapo nikapiga hadi kandawale hadi Njinjo.
 
Daaa mwanangu nilifika pale nikaweka kambi nikatoka hapo nikaenda upande wa pili kuna Ngarambi.

Nikaweka kambi na kutoka hapo nikapiga hadi kandawale hadi Njinjo.
Dah!![emoji1]
Ngarambi KILWA nimezaliwa pale.
 
Kuna rumours za wanamitandao na wanaharakati wanaodai kuwa Mohamed Mchengerwa aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Utawala Bora ni mkwe wa Rais, ameoa binti yake ambaye ni Mbunge viti maalum kutoka Zanzibar. Pia Mohamed inadaiwa kuwa ni Msimamizi Mkuu wa utendaji wa TISS.

Tumekuwa tukiwaandama marais waliopita kuwa wanateua ndugu zao, je na rais wetu anapita mulemule?

Binafsi sina shaka na uteuzi wake kutokana na CV yake. Pamoja na vigezo vingine, mtu huteuliwa kutokana na CV yake.
View attachment 1740159
Mkuu kama mteuliwa anajiweza kiutendaji hivi kunakuwa na tatizo gani?Ifike time tuache huu mtazamo hafifu juu ya haya.

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Kuna rumours za wanamitandao na wanaharakati wanaodai kuwa Mohamed Mchengerwa aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Utawala Bora ni mkwe wa Rais, ameoa binti yake ambaye ni Mbunge viti maalum kutoka Zanzibar. Pia Mohamed inadaiwa kuwa ni Msimamizi Mkuu wa utendaji wa TISS.

Tumekuwa tukiwaandama marais waliopita kuwa wanateua ndugu zao, je na rais wetu anapita mulemule?

Binafsi sina shaka na uteuzi wake kutokana na CV yake. Pamoja na vigezo vingine, mtu huteuliwa kutokana na CV yake.
View attachment 1740159
Unataka kutuambia mtu mwenye sifa za kutosha kuteuliwa akiwa una undugu naye unamwacha tu kisa mna uhusiano!? how pathetic!! mmeishiwa hoja
 
Hakuna tatizo kumteua ndugu / mkwe / Rafiki kwenye uongozi ikiwa anaeteuliwa atafanya kazi vizuri kwa ajili ya maslahi ya taifa. Mana mtu yoyote yule hupenda kufanya kazi na watu anaoelewana nao kwa karibu.
Tatizo linakuja pale kuteua Rafiki zako kwa ajili ya kutengeneza mtandao wa kupiga madili
 
Nani ajuaye kesho?
Hakuna tatizo kumteua ndugu / mkwe / Rafiki kwenye uongozi ikiwa anaeteuliwa atafanya kazi vizuri kwa ajili ya maslahi ya taifa. Mana mtu yoyote yule hupenda kufanya kazi na watu anaoelewana nao kwa karibu.
Tatizo linakuja pale kuteua Rafiki zako kwa ajili ya kutengeneza mtandao wa kupiga madili
 
Hivi mama kamuwachia aendelee kukamua?
wee we we Mama kasema tukutane baada ya jumatatu ya Pasaka
naona ndio zamu yao, maana VP kasema Makatibu na Manaibu wana viugomvi vya ajabuajabu, huyo atang'oka tu hawezi kaa na waziri Mnyiramba
 
Angemteua mwanae ambae nae ni mbunge na msomi mzuri bado ingekuwa shida tu. Pale ilikuwa lazima aweke mtu wake ambae anamuamini.
 
Back
Top Bottom