Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,160
- 9,151
Wrong Question ?
Nadhani swali sahihi ni kama anaweza ?
Kama kuna wawili wote wanaweza na wanavigezo sawa ila mmoja unamfahamu zaidi (hadi amekuwa mkwe wako) sioni ubaya k.. umchukua unless otherwise matatumia kujuana kwenu kuibia taifa..
Nakubaliana nawe . Kama ana vigezo shida iko wapi?